Sakata la kuuzwa bandari za Tanganyika limeipasua nchi kwa udini. Waislamu walalamikia Chadema kwa udini

Sakata la kuuzwa bandari za Tanganyika limeipasua nchi kwa udini. Waislamu walalamikia Chadema kwa udini

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
20230729_111801.jpg
 
Ccm wasipokuwa makini watalipasua taifa vipandevipande. Yaani issue ya bandari imekuwa ngumu kwao wameamua kutumia udini kutugawa. Na bahati mbaya kuna watu wameshalipanda gari la udini na wanaona wanapingwa wao.

Ifike hatua sisi watanzania tujitambue tuache kubeba propaganda za kishenzi za udini. Yaani kiongozi akikosea akosolewe kwa jambo lake bila kuangalia ni wa dini gani. Uislam wa rais Samia haumfanyi auze rasilimali za taifa wala ukristo wa Magu haukupaswa kumfanya anyanyase watu.

Tukikubali issue ya udini kutugawa tumekwisha na ccm walishalijua hilo wakiona jambo linawakaba koo wanaingiza udini na ndugu zangu waislamu tumekuwa tukiibeba sana hii agenda ya udini.
 
MTUME ALITUMWA KWA WATU WASIOJUA KUSOMA.

هُوَ الَّذِي بَعَثَ فِي الْأُمِّيِّينَ رَسُولًا مِّنْهُمْ يَتْلُو عَلَيْهِمْ آيَاتِهِ وَيُزَكِّيهِمْ وَيُعَلِّمُهُمُ الْكِتَابَ وَالْحِكْمَةَ وَإِن كَانُوا مِن قَبْلُ لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ

[ AL - JUMUA' - 2 ]
Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri.
 
Shida iko kwa Samia kuuza bandari yetu kwa wajomba zake bila kufuata utaratibu wa manunuzi.

Tpa waarabu
TANESCO waarabu
Tpdc waarabu
Shirika la posta waarabu
Misitu waarabu
Ngorongoro waarabu
Wanyamapori waarabu
Na zaidi.

Hao waarabu samia akawauzie nchi yao ya Zanzibar
 
Wadini ni wale walioanza kushambulia Hijabu ya Rais badala ya utendaji wake

Wadini ni wale waliopanda majukwaani na Viongozi wa kiimani wao na kuanza kukashifu Viongozi wa kiimani wengine.

mjadala huu ulianza vyema kwa hoja kwa hoja lakini ghafla akaibuka Mamluki mmoja wa Mfumo aliepangwa kuuvuruga kwa kuanza kushambulia Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na kwa hilo kafanikiwa maana Mjadala umehamia kwny Muungano na dini na hivyo kuisiadia Serikali kama ilivyokuwa kawaida yake kusaidia kwa style ya aina yake na sasa katulia anakula Mgao wa kuvuruga mjadala


2015 Wakati kina Bashe wanajipanga kukinukisha ndani ya Ccm kwa kukatwa Lowassa akaibuka kwa style yake kumpa nafasi ya kutoka Ccm na kumpa jukwaa la kufanyia Siasa huku akijua Lowassa angebaki hana pa kwenda lazima wangevurugana ndani kwa ndani kama inavyotokea sasa Ccm Zanzibar

Wahuni sio watu wazuri
 
mbona mambo ya udini udini yanazungumzwa sana katika awamu hii ya 6 kuliko awamu ya 5?!
na wanao lizungumza ni ndugu zangu wakristu wenzangu baadhi sio wote!!
mimi ni mkristu lakini nakereka sana na tabia hii mbaya, hebu tuwaige ndugu zetu mbona wakati wa Hayati JPM walikuwa hawatoi kauli hizi za udini?!
jambo hili linatuchafua sisi wakristu kuwa tuna matatizo na nongwa anapo tawala mtu wa dini nyingine ambayo kimsingi inaweza kuligawa Taifa letu na itatengeneza mfano mbaya kwa siku zijazo.

tuikemee tabia hiii sio nzuri hata kidogo kwa mustakbali wa Taifa letu.
Mungu mbariki Rais wetu na Serikali yote.

tunawaombea wale wote wenye chuki mungu awabadilishe.
 
Wadini ni wale walioanza kushambulia Hijabu ya Rais badala ya utendaji wake

Wadini ni wale waliopanda majukwaani na Viongozi wa kiimani wao na kuanza kukashifu Viongozi wa kiimani wengine.

mjadala huu ulianza vyema kwa hoja kwa hoja lakini ghafla akaibuka Mamluki mmoja wa Mfumo aliepangwa kuuvuruga kwa kuanza kushambulia Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na kwa hilo kafanikiwa maana Mjadala umehamia kwny Muungano na dini na hivyo kuisiadia Serikali kama ilivyokuwa kawaida yake kusaidia kwa style ya aina yake na sasa katulia anakula Mgao wa kuvuruga mjadala
Serikali haijasaidiwa chochote hapa, usijidanganye, hao mamluki wanaoegemea udini wanajijua wameishiwa hoja, bandari na ule mkataba mbovu bado liko palepale..

Majibu sahihi yanatakiwa.
 
mbona mambo ya udini udini yanazungumzwa sana katika awamu hii ya 6 kuliko awamu ya 5?!
na wanao lizungumza ni ndugu zangu wakristu wenzangu baadhi sio wote!!
mimi ni mkristu lakini nakereka sana na tabia hii mbaya, hebu tuwaige ndugu zetu mbona wakati wa Hayati JPM walikuwa hawatoi kauli hizi za udini?!
jambo hili linatuchafua sisi wakristu kuwa tuna matatizo na nongwa ambayo kimsingi inaweza kuligawa Taifa letu na itatengeneza mfano mbaya kwa siku zijazo.

tuikemee tabia hiii sio nzuri hata kidogo kwa mustakbali wa Taifa letu.
Mungu mbariki Rais wetu na Serikali yote.

tunawaombea wale wote wenye chuki mungu awabadilishe.
Wewe ni mpuuzi chawa wa mama yenu, humdanganyi mtu hapa kwa huu ujinga ulioandika.
 
Back
Top Bottom