Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili gazeti la kuuzia vitumbua
Akili za wafuasi wa Cdm.....matusi,udini,ukabila nkHili gazeti la kuuzia vitumbua
Gazeti lenyewe la kiislam linalofadhiriwa na warabu wa dpworld ni mjinga na mpumbavu pekee ndio atalinunua.
Gazeti lenyewe la kiislam linalofadhiriwa na warabu wa dpworld ni mjinga na mpumbavu pekee ndio atalinunua.
Udini ni propaganda ya CCM. Amkeni acheni uzuzu....!!Akili za wafuasi wa Cdm.....matusi,udini,ukabila nk
Serikali haijasaidiwa chochote hapa, usijidanganye, hao mamluki wanaoegemea udini wanajijua wameishiwa hoja, bandari na ule mkataba mbovu bado liko palepale..Wadini ni wale walioanza kushambulia Hijabu ya Rais badala ya utendaji wake
Wadini ni wale waliopanda majukwaani na Viongozi wa kiimani wao na kuanza kukashifu Viongozi wa kiimani wengine.
mjadala huu ulianza vyema kwa hoja kwa hoja lakini ghafla akaibuka Mamluki mmoja wa Mfumo aliepangwa kuuvuruga kwa kuanza kushambulia Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na kwa hilo kafanikiwa maana Mjadala umehamia kwny Muungano na dini na hivyo kuisiadia Serikali kama ilivyokuwa kawaida yake kusaidia kwa style ya aina yake na sasa katulia anakula Mgao wa kuvuruga mjadala
mkuu unaweza kufungia vitumbua kwa hili gazeti lisilokuwa na kichwa wala mkia? huyoo atakae kubali kitafunwa chake kifungwe na huo uchafu atakuwa hana akili. mimi ni muislamu lakini huo uchafu siwezi ununua.Hili gazeti la kuuzia vitumbua
Wewe ni mpuuzi chawa wa mama yenu, humdanganyi mtu hapa kwa huu ujinga ulioandika.mbona mambo ya udini udini yanazungumzwa sana katika awamu hii ya 6 kuliko awamu ya 5?!
na wanao lizungumza ni ndugu zangu wakristu wenzangu baadhi sio wote!!
mimi ni mkristu lakini nakereka sana na tabia hii mbaya, hebu tuwaige ndugu zetu mbona wakati wa Hayati JPM walikuwa hawatoi kauli hizi za udini?!
jambo hili linatuchafua sisi wakristu kuwa tuna matatizo na nongwa ambayo kimsingi inaweza kuligawa Taifa letu na itatengeneza mfano mbaya kwa siku zijazo.
tuikemee tabia hiii sio nzuri hata kidogo kwa mustakbali wa Taifa letu.
Mungu mbariki Rais wetu na Serikali yote.
tunawaombea wale wote wenye chuki mungu awabadilishe.
Matusi.... ChAdeMa Ina wafuasi wa hovyo sana........acheni uzuzu....!!
Ngosha... Mwendazake, Mungu alishamchukua. Acha kukasirkia watu.Wewe ni mpuuzi chawa wa mama yenu, humdanganyi mtu hapa kwa huu ujinga ulioandika.
Nyie PAKA wa Lumumba mmezidi Uchawa. Tumieni akili zenu walau nusu tu.Matusi.... ChAdeMa Ina wafuasi wa hovyo sana.