Sakata la kuuzwa bandari za Tanganyika limeipasua nchi kwa udini. Waislamu walalamikia Chadema kwa udini

Sakata la kuuzwa bandari za Tanganyika limeipasua nchi kwa udini. Waislamu walalamikia Chadema kwa udini

Wadini ni wale walioanza kushambulia Hijabu ya Rais badala ya utendaji wake

Wadini ni wale waliopanda majukwaani na Viongozi wa kiimani wao na kuanza kukashifu Viongozi wa kiimani wengine.

mjadala huu ulianza vyema kwa hoja kwa hoja lakini ghafla akaibuka Mamluki mmoja wa Mfumo aliepangwa kuuvuruga kwa kuanza kushambulia Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na kwa hilo kafanikiwa maana Mjadala umehamia kwny Muungano na dini na hivyo kuisiadia Serikali kama ilivyokuwa kawaida yake kusaidia kwa style ya aina yake na sasa katulia anakula Mgao wa kuvuruga mjadala


2015 Wakati kina Bashe wanajipanga kukinukisha ndani ya Ccm kwa kukatwa Lowassa akaibuka kwa style yake kumpa nafasi ya kutoka Ccm na kumpa jukwaa la kufanyia Siasa huku akijua Lowassa angebaki hana pa kwenda lazima wangevurugana ndani kwa ndani kama inavyotokea sasa Ccm Zanzibar

Wahuni sio watu wazuri
Hijab Ni Nini?
 
Shida iko kwa Samia kuuza bandari yetu kwa wajomba zake bila kufuata utaratibu wa manunuzi.

Tpa waarabu
TANESCO waarabu
Tpdc waarabu
Shirika la posta waarabu
Misitu waarabu
Ngorongoro waarabu
Wanyamapori waarabu
Na zaidi.

Hao waarabu samia akawauzie nchi yao ya Zanzibar
Umesahau na JWTZ, maana walisaini MOU pia
 
Ccm wasipokuwa makini watalipasua taifa vipandevipande. Yaani issue ya bandari imekuwa ngumu kwao wameamua kutumia udini kutugawa. Na bahati mbaya kuna watu wameshalipanda gari la udini na wanaona wanapingwa wao.

Ifike hatua sisi watanzania tujitambue tuache kubeba propaganda za kishenzi za udini. Yaani kiongozi akikosea akosolewe kwa jambo lake bila kuangalia ni wa dini gani. Uislam wa rais Samia haumfanyi auze rasilimali za taifa wala ukristo wa Magu haukupaswa kumfanya anyanyase watu.

Tukikubali issue ya udini kutugawa tumekwisha na ccm walishalijua hilo wakiona jambo linawakaba koo wanaingiza udini na ndugu zangu waislamu tumekuwa tukiibeba sana hii agenda ya udini.
Waislam siasa kali kama huyu kwenye video. Halafu mtu anakuwaje Sheikh wa kuaminiwa wakati ana maneno machafu kama haya!? Inabidi akumbushwe KABLA ya kula apige mswaki vizuri sana kusafisha kinywa chale. Sijui kama kuna kiongozo wa kikiristo ana mdomo mchafu hivyo.
 
kama ni kweli basi tunaenda kuliangamiza Taifa letu. tunapaswa tukemee jambo hili sio zuri likiachwa liendelee.

tupo kwenye ulimwengu wa utandawazi, tusifanye mambo kwa mazoea kisha tukavuruga amani na utulivu wa nchi yetu.

narudia tena kusema wakristu wenzangu baadhi sio wote tuache chokochoko ya udini.

binafsi nakemea na kulaani vikali kwa wale wote wanao tumia udini kujenga hoja za taifa. waache mara moja.
Kemeeni wizi wa kuuza bandari
 
Utakuwa mjinga kuamini kwamba hilo kundi ndio waislam wa Tanzania.
Makundi ya namna hii siku zote yapo, na itakuwa ni upotofu mkubwa kuyafanya ndiyo wawakilishi wa dini hiyo hapa nchini.

Makundi ya aina hiyo katika dini zote, kunapotokea fursa kama hii waliyoipata, na ambayo imetolewa na serikali yenyewe, hufurahi sana kupata uwanja wa kuwagawa waTanzania katika makundi hayo wanayoyataka wao.
 
2015 Wakati kina Bashe wanajipanga kukinukisha ndani ya Ccm kwa kukatwa Lowassa akaibuka kwa style yake kumpa nafasi ya kutoka Ccm na kumpa jukwaa la kufanyia Siasa huku akijua Lowassa angebaki hana pa kwenda lazima wangevurugana ndani kwa ndani kama inavyotokea sasa Ccm Zanzibar
Katika yoote uliyoyasema katika andiko lako, hakuna lililoniamsha fikra kama haya uliyoandika katika aya hii niliyo'quote' hapa.

Sasa najiuliza: Laiti kama isingetokea hivyo, pengine tungekuwa hatusumbuki sana na hili dude liitwalo CCM!

Kuhusu maswala ya udini, binafsi nasema, it's about time, let chips fall where they belong.
Imetosha sasa kulembalemba na kubembelezana kwingi, huku kukiwa kumejaa unafiki tupu kwenye haya mavyama ya siasa.
Imetosha sasa, sote tujihesabu kuwa waTanzania tu bila ya haya ma-qualifications ya dini au ujana, na hata huo ujinsia.

Let's just be Tanznians. That's it!

Mtu kusemwa mavazi yake tu, inakuwa ni udini?

Akifanya mambo yasiyofaa, watu waogope kusema, kwa vile nyuma yake kuna dini anayohusika nayo?
 
Wewe mavi meusi kaa kimya. Nani alimteka Ulimboka ze Dk, nani alimg'oa meno Absalom Kibanda? Nani alimuua mwandishi nguli.
mashehe wooote wa kiislam ambao hadi leo wapo gerezani, wengine wamefungwa juzi, walikamatwa na kikwete. wangekuwa wamekamatwa na JOhn, pasingetosha. elimu elimu elimu. mimi ningekuwa muislam, ningeuacha uislam kwasababu ya magazeti kama haya na aina ya viongozi kama walio nao. ningeona naisaliti nafsi kuwasikiliza.
 
Wadini ni wale walioanza kushambulia Hijabu ya Rais badala ya utendaji wake

Wadini ni wale waliopanda majukwaani na Viongozi wa kiimani wao na kuanza kukashifu Viongozi wa kiimani wengine.

mjadala huu ulianza vyema kwa hoja kwa hoja lakini ghafla akaibuka Mamluki mmoja wa Mfumo aliepangwa kuuvuruga kwa kuanza kushambulia Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na kwa hilo kafanikiwa maana Mjadala umehamia kwny Muungano na dini na hivyo kuisiadia Serikali kama ilivyokuwa kawaida yake kusaidia kwa style ya aina yake na sasa katulia anakula Mgao wa kuvuruga mjadala


2015 Wakati kina Bashe wanajipanga kukinukisha ndani ya Ccm kwa kukatwa Lowassa akaibuka kwa style yake kumpa nafasi ya kutoka Ccm na kumpa jukwaa la kufanyia Siasa huku akijua Lowassa angebaki hana pa kwenda lazima wangevurugana ndani kwa ndani kama inavyotokea sasa Ccm Zanzibar

Wahuni sio watu wazuri
Usitake kuleta taharuki ati waliishambulia Hijabu ya Rais angalia mukhitadha wa usemi waliotumia. Kwa sisi watanzania wa kawaida tunamuheshimu Rais na kujua kuwa alipopata positions za juu kitaifa aliamua kumtafuta vazi rasmi la kumtambulisha; hapo mwanzo hakuwa anavaa Hijabu. Na yeye siyo wa kwanza. Hata Mwl. Nyerere mwanzoni mwa utawala wake alivaa Suit lakini baadae akatafuta vazi la kumtambulisha- CHOUNI LAI NA KAUNDA SUIT.
nikuambie kitu? Kwanza hizo Hijabu wanaojua Quran vizuri, hiyo siyo takwa la Quran.
Iran wakina Dada wameigomea na sasa Madikiteta wa Kiayatolah wameua na kuwafunga watu ili kuilazimishia Hijabu.
Saudi Arabia Serikali imepiga marufuku hizo Hijabu kwa wanafunzi wa level zote.
Ona hizi video


 
Usitake kuleta taharuki ati waliishambulia Hijabu ya Rais angalia mukhitadha wa usemi waliotumia. Kwa sisi watanzania wa kawaida tunamuheshimu Rais na kujua kuwa alipopata positions za juu kitaifa aliamua kumtafuta vazi rasmi la kumtambulisha; hapo mwanzo hakuwa anavaa Hijabu. Na yeye siyo wa kwanza. Hata Mwl. Nyerere mwanzoni mwa utawala wake alivaa Suit lakini baadae akatafuta vazi la kumtambulisha- CHOUNI LAI NA KAUNDA SUIT.
nikuambie kitu? Kwanza hizo Hijabu wanaojua Quran vizuri, hiyo siyo takwa la Quran.
Iran wakina Dada wameigomea na sasa Madikiteta wa Kiayatolah wameua na kuwafunga watu ili kuilazimishia Hijabu. Dunia nzima inajua huo ni ukiukaji wa haki za binadam; hata Mhe Rais akiwa ni mpigania wa haki za akina mama anajua hilo.
Saudi Arabia Serikali imepiga marufuku hizo Hijabu kwa wanafunzi wa level zote.
Ona hizi video


 
Yaani waislamu wako tayari nchi hii hata ipigwe mnada maadam tu anayeuza ni muislam na anayenunua ni muislamu, issue ya kwamba wataishije baada ya taifa kuuzwa hilo hawajali cha msingi ni muislam mwenzao ameuza na muislam mwingine akanunua.
Hii inashangaza aisee
 
mjadala huu ulianza vyema kwa hoja kwa hoja lakini ghafla akaibuka Mamluki mmoja wa Mfumo aliepangwa kuuvuruga kwa kuanza kushambulia Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na kwa hilo kafanikiwa maana Mjadala umehamia kwny Muungano na dini na hivyo kuisiadia Serikali kama ilivyokuwa kawaida yake kusaidia kwa style ya aina yake na sasa katulia anakula Mgao wa kuvuruga mjadala
Kweli kabisa, wametegwa na wao wamenasa kirahisi sana.
 
Back
Top Bottom