Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mpuuzi......
Matusi.... acheni matusi na kulazimisha watu waamini mnachoamini. Mkubali kutokubaliana.PAKA
ni kipeperushi cha uchochezi wa kidiniHili gazeti la kuuzia vitumbua
Unaona akili yako ilivyo ndogo. Yaani Paka unaona ni tusi ila Uchawa unaona ni sifa.Matusi.... acheni matusi na kulazimisha watu waamini mnachoamini. Mkubali kutokubaliana.
Matusi......Cdm Ina vijana wa hovyo sanaakili yako ilivyo ndogo
Mimi siyo kijana wa siyo CDM. Wakati najiunga Jamii Forums Inawezekana kabisa wewe ulikuwa bado kinder.Matusi......Cdm Ina vijana wa hovyo sana
Kumbe wewe gaidi.Mwizi kila anayemuona ajuwa ni mwizi kama yeye.Hilo gazeti la magaidi
Wewe mkimbizi una nchi?Shida iko kwa Samia kuuza bandari yetu kwa wajomba zake bila kufuata utaratibu wa manunuzi.
Tpa waarabu
TANESCO waarabu
Tpdc waarabu
Shirika la posta waarabu
Misitu waarabu
Ngorongoro waarabu
Wanyamapori waarabu
Na zaidi.
Hao waarabu samia akawauzie nchi yao ya Zanzibar
Huu ndio ukwelimbona mambo ya udini udini yanazungumzwa sana katika awamu hii ya 6 kuliko awamu ya 5?!
na wanao lizungumza ni ndugu zangu wakristu wenzangu baadhi sio wote!!
mimi ni mkristu lakini nakereka sana na tabia hii mbaya, hebu tuwaige ndugu zetu mbona wakati wa Hayati JPM walikuwa hawatoi kauli hizi za udini?!
jambo hili linatuchafua sisi wakristu kuwa tuna matatizo na nongwa anapo tawala mtu wa dini nyingine ambayo kimsingi inaweza kuligawa Taifa letu na itatengeneza mfano mbaya kwa siku zijazo.
tuikemee tabia hiii sio nzuri hata kidogo kwa mustakbali wa Taifa letu.
Mungu mbariki Rais wetu na Serikali yote.
tunawaombea wale wote wenye chuki mungu awabadilishe.
Huo ufadhili wewe ndio ulikuwa ndio ulikuwa dalali?Gazeti lenyewe la kiislam linalofadhiriwa na warabu wa dpworld ni mjinga na mpumbavu pekee ndio atalinunua.
Ulitaka liwe Msema kweli?Jina la gazeti Lina sadifu yaliyomo
Kwani raisi ameuza rasilimali zipii, acha kunogesha genge bwanaa. Nyinyi endeleeeni na udini wenuu, hamfiki popote na juu ya hili la udini litawagarimu saana. Yaani kisa wawekezaji kutoka uarabuni imekuwa uuzaji wa nchii, hovyoo kabisa. Mwekezaji ni yoyote, kikubwa akidhi vigezooo tuuu basiii. Acheni propagandaaCcm wasipokuwa makini watalipasua taifa vipandevipande. Yaani issue ya bandari imekuwa ngumu kwao wameamua kutumia udini kutugawa. Na bahati mbaya kuna watu wameshalipanda gari la udini na wanaona wanapingwa wao.
Ifike hatua sisi watanzania tujitambue tuache kubeba propaganda za kishenzi za udini. Yaani kiongozi akikosea akosolewe kwa jambo lake bila kuangalia ni wa dini gani. Uislam wa rais Samia haumfanyi auze rasilimali za taifa wala ukristo wa Magu haukupaswa kumfanya anyanyase watu.
Tukikubali issue ya udini kutugawa tumekwisha na ccm walishalijua hilo wakiona jambo linawakaba koo wanaingiza udini na ndugu zangu waislamu tumekuwa tukiibeba sana hii agenda ya udini.
Kama watafanya vizuri shida iko wapi? kinacho takiwa sio waarabu wala wachina ni ubora wa mkataba kwa maana ya vipengele na utekelezaji wake, ila wewe una onekana una tatizo na uarabu wao sio vinginevyoShida iko kwa Samia kuuza bandari yetu kwa wajomba zake bila kufuata utaratibu wa manunuzi.
Tpa waarabu
TANESCO waarabu
Tpdc waarabu
Shirika la posta waarabu
Misitu waarabu
Ngorongoro waarabu
Wanyamapori waarabu
Na zaidi.
Hao waarabu samia akawauzie nchi yao ya Zanzibar
Yaaani hawa jama na chama chao cha udini, tusipokuwa makini watutugawa. Lakini taarifa hizi zingetolewa na gazeti la tanzania daima, ungeona mapongezi mengi saana. Tuwapuuze tuuu ndugu yanguuHuo ufadhili wewe ndio ulikuwa ndio ulikuwa dalali?
Mungu akubariki saana. Tuendelee kuwapa nondo kama hizi zako hawa wabaguziKama watafanya vizuri shida iko wapi? kinacho takiwa sio waarabu wala wachina ni ubora wa mkataba kwa maana ya vipengele na utekelezaji wake, ila wewe una onekana una tatizo na uarabu wao sio vinginevyo
Lingekuwa msema kweli na tumaini letu, hapa hawa jamaa wangeshangiria kwa vifijoo. Na kama serikali itawafumbia macha hawa vijana na chama chao, tutajikuta pabayaa. Yaaani wanadharau gazeti la kiislamu??Ulitaka liwe Msema kweli?
Kwa kauli zao kama hizi wakiambiwa wanaleta udini wanajifanya kukataa!Kumbe wewe gaidi.Mwizi kila anayemuona ajuwa ni mwizi kama yeye.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wewe udini na umasikini unakusumbua tu!Shida iko kwa Samia kuuza bandari yetu kwa wajomba zake bila kufuata utaratibu wa manunuzi.
Tpa waarabu
TANESCO waarabu
Tpdc waarabu
Shirika la posta waarabu
Misitu waarabu
Ngorongoro waarabu
Wanyamapori waarabu
Na zaidi.
Hao waarabu samia akawauzie nchi yao ya Zanzibar
Ccm washajua ukitaka kuwachezea waislam ingiza udini tu Basi utawachezea sharubu kwa kadili unavyotaka. Gazeti la dini linaandika Upumbavu wa kiwango hiki. Kwani bandari Ni UISLAMU? Hile ni mimaji ya chumvu tu ambayo Mungu katupa.