Sakata la kuuzwa bandari za Tanganyika limeipasua nchi kwa udini. Waislamu walalamikia Chadema kwa udini

Sakata la kuuzwa bandari za Tanganyika limeipasua nchi kwa udini. Waislamu walalamikia Chadema kwa udini

Wadini ni wale walioanza kushambulia Hijabu ya Rais badala ya utendaji wake

Wadini ni wale waliopanda majukwaani na Viongozi wa kiimani wao na kuanza kukashifu Viongozi wa kiimani wengine.

mjadala huu ulianza vyema kwa hoja kwa hoja lakini ghafla akaibuka Mamluki mmoja wa Mfumo aliepangwa kuuvuruga kwa kuanza kushambulia Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na kwa hilo kafanikiwa maana Mjadala umehamia kwny Muungano na dini na hivyo kuisiadia Serikali kama ilivyokuwa kawaida yake kusaidia kwa style ya aina yake na sasa katulia anakula Mgao wa kuvuruga mjadala


2015 Wakati kina Bashe wanajipanga kukinukisha ndani ya Ccm kwa kukatwa Lowassa akaibuka kwa style yake kumpa nafasi ya kutoka Ccm na kumpa jukwaa la kufanyia CCM

Wahuni sio watu wazuri
Ajabu hawa nyumbu bado wanamuona Dr Slaa mzalendo...
 
Serikali haijasaidiwa chochote hapa, usijidanganye, hao mamluki wanaoegemea udini wanajijua wameishiwa hoja, bandari na ule mkataba mbovu bado liko palepale..

Majibu sahihi yanatakiwa.
Wewe endelea kudhani hivyo hivyo ila wenyewe washajua ndio maana sasa wamerudi kwny hoja ya Katiba

unadhani waneishiwa band ndio sababu hawaoneshi mafuriko ya Mkutano wao wa Bandari walioutisha kwa ushirikiano wa Chadema na Viongozi wa kiimani kudhalilisha imani nyingine?

labda wewe bi Mtoto sana , mijadala yote ya namna hii imekuwa miaka yote , 1997 hadi Nyerere aliitisha Press conference kupinga kubinafsishwa NBC, the same to Tanesco hadi maandamano makubwa yalifanyika na mwishoni mipango ikaendelea na Ccm ikaendelea kutawala hadi muda huu

hata Mimi napinga Bandari kukodishwa lakini najua kuna Wahuni wametumwa kujifanya wako upande wetu ili wavuruge na hilo nakuahakikishia wamefanikiwa

mjadala wa Bandari utabakia Tweeter na JF kama ilivyo story ya Escrow, 1.5 Trillion, sijui uwanja wa Chato n.k
 
Ajabu hawa nyumbu bado wanamuona Dr Slaa mzalendo...
Mimi sina chama ila Chadema hapana!

Mienendo yao niliambiwa na Mzee mmoja tangu 2015 nikampinga ila nikajiwekea akiba ya kuwa huru. Nikajipa muda wa kuutafuta ukweli. Muda ukaniweka wazi ya kuwa Chadema ni hakuna kitu! Yale yale wanayosema watu juu yao ndiyo uhakika wa Chadema walivyo!

Wanajificha kwenye mambo mengine hata kama yakiwa na hoja za msingi lakini wana lao jambo!
 
Hoja itakayoletwa na ccm itajadiliwa kama ilivo hata wakitugawa kidini sawa tu
 
Mimi nilikuwa CSM sasahiv nimegairi,baada ya kumsikia Mbowe
 
Wadini ni wale walioanza kushambulia Hijabu ya Rais badala ya utendaji wake

Wadini ni wale waliopanda majukwaani na Viongozi wa kiimani wao na kuanza kukashifu Viongozi wa kiimani wengine.

mjadala huu ulianza vyema kwa hoja kwa hoja lakini ghafla akaibuka Mamluki mmoja wa Mfumo aliepangwa kuuvuruga kwa kuanza kushambulia Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na kwa hilo kafanikiwa maana Mjadala umehamia kwny Muungano na dini na hivyo kuisiadia Serikali kama ilivyokuwa kawaida yake kusaidia kwa style ya aina yake na sasa katulia anakula Mgao wa kuvuruga mjadala


2015 Wakati kina Bashe wanajipanga kukinukisha ndani ya Ccm kwa kukatwa Lowassa akaibuka kwa style yake kumpa nafasi ya kutoka Ccm na kumpa jukwaa la kufanyia Siasa huku akijua Lowassa angebaki hana pa kwenda lazima wangevurugana ndani kwa ndani kama inavyotokea sasa Ccm Zanzibar

Wahuni sio watu wazuri
Hijabu imekuwa Dini Siku Hivi,, Acheni utumwa
 
Wadini ni wale walioanza kushambulia Hijabu ya Rais badala ya utendaji wake

Wadini ni wale waliopanda majukwaani na Viongozi wa kiimani wao na kuanza kukashifu Viongozi wa kiimani wengine.

mjadala huu ulianza vyema kwa hoja kwa hoja lakini ghafla akaibuka Mamluki mmoja wa Mfumo aliepangwa kuuvuruga kwa kuanza kushambulia Uzanzibar wa Rais na Waziri mwenye dhamana na kwa hilo kafanikiwa maana Mjadala umehamia kwny Muungano na dini na hivyo kuisiadia Serikali kama ilivyokuwa kawaida yake kusaidia kwa style ya aina yake na sasa katulia anakula Mgao wa kuvuruga mjadala


2015 Wakati kina Bashe wanajipanga kukinukisha ndani ya Ccm kwa kukatwa Lowassa akaibuka kwa style yake kumpa nafasi ya kutoka Ccm na kumpa jukwaa la kufanyia Siasa huku akijua Lowassa angebaki hana pa kwenda lazima wangevurugana ndani kwa ndani kama inavyotokea sasa Ccm Zanzibar

Wahuni sio watu wazuri
Huyo Shehe ubwabwa aliyewazuia waislam kwenda Mkutanoni Temeke siyo mdini?

Waislam mbona tumekuwa walalamishi sana?
Upuuzi wa mkataba wa Bandari nyinyi hamuuoni? Au ni kwasababu anayeitaka bandari ni Mwarabu?
 
kama ni kweli basi tunaenda kuliangamiza Taifa letu. tunapaswa tukemee jambo hili sio zuri likiachwa liendelee.

tupo kwenye ulimwengu wa utandawazi, tusifanye mambo kwa mazoea kisha tukavuruga amani na utulivu wa nchi yetu.

narudia tena kusema wakristu wenzangu baadhi sio wote tuache chokochoko ya udini.

binafsi nakemea na kulaani vikali kwa wale wote wanao tumia udini kujenga hoja za taifa. waache mara moja.
Shehe Mwaipopo siyo mkristo!!! Mkemee
 
Mimi sina dini ila nyie watu wa dini mna tatizo mahali sasa hapo mnagombana nini cha maana mbona huku mtaani hayo mambo hamna watu wanaelewana na kufanya biashara pamoja na wanaishi pamoja nyumba za kupanga
 
Huyo Shehe ubwabwa aliyewazuia waislam kwenda Mkutanoni Temeke siyo mdini?

Waislam mbona tumekuwa walalamishi sana?
Upuuzi wa mkataba wa Bandari nyinyi hamuuoni? Au ni kwasababu anayeitaka bandari ni Mwarabu?
bado unashambulia Waislam eti walalamishi wakati wewe hapa unawalalamikia Waislam, au Wao hawana haki ya kulalamika ?

Magufuli kapiga watu Risasi kadhulumu watu kinyama lini Chadema ilikusanya Behewa la Maaskofu jukwaani kumshambulia Magufuli kwa udhalimu ule?

Padri Slaa wakati Mkatoliki mwenzake John anaua watu na kudhulumu watu uliwahi kuona anafungua mdomo ? Lissu aliefanya nae kazi kapigwa Risasi lakini aliishia kukejeli kuwa ni michezo ya ndani ya Chadema


Padri Slaa inapokuja issue ya inayomhusu Muislam huwa anashindwa kabisa kujificha chuki yake japo kaishi kwny Siasa miaka mingi sana.
 
Katika kitu Nyerere alifanikiwa nchi hii ni kudhibiti hawa hayawani. Akili zao zipo kwenye pilau na nyama nje hapo ni taahira wakubwa!
hao Mahayawani aliowadhibiti Nyerere maisha yao yana nafuu kuliko watoto wake waliorukwa na akili kwa laana ya dhulma
 
hao Mahayawani aliowadhibiti Nyerere maisha yao yana nafuu kuliko watoto wake waliorukwa na akili kwa laana ya dhulma
Haijalishi... mmebaki kama manyani tu... hamna la kufikiri zaidi ya kula na kunya. Mu viumbe dhalili sana!
 
Yaani waislamu wako tayari nchi hii hata ipigwe mnada maadam tu anayeuza ni muislam na anayenunua ni muislamu, issue ya kwamba wataishije baada ya taifa kuuzwa hilo hawajali cha msingi ni muislam mwenzao ameuza na muislam mwingine akanunua.
 
Sio Mara, ya kwanza,
Tuliwahi kugawanywa kidini na utawala,wa kikwete, walisema CUF ni chama cha kiislam,
CUF ilipokufa, ikaja Chadema, wakasema Chadema ni ya wachaga,
Hizi, ni, mbinu za, wahafidhina wa, ccm, huwa, hawana, jipya,yameiba mpaka yamevimbiwa, yatatumia hoja yoyote kuleta mgawanyo, ukitegemea watu wetu wengi ni maskini, hawana uelewa mkubwa
 
Back
Top Bottom