Sakata la kuuzwa bandari za Tanganyika limeipasua nchi kwa udini. Waislamu walalamikia Chadema kwa udini

Hijab Ni Nini?
 
Umesahau na JWTZ, maana walisaini MOU pia
 
Waislam siasa kali kama huyu kwenye video. Halafu mtu anakuwaje Sheikh wa kuaminiwa wakati ana maneno machafu kama haya!? Inabidi akumbushwe KABLA ya kula apige mswaki vizuri sana kusafisha kinywa chale. Sijui kama kuna kiongozo wa kikiristo ana mdomo mchafu hivyo.
Your browser is not able to display this video.
 
Kemeeni wizi wa kuuza bandari
 
Utakuwa mjinga kuamini kwamba hilo kundi ndio waislam wa Tanzania.
Makundi ya namna hii siku zote yapo, na itakuwa ni upotofu mkubwa kuyafanya ndiyo wawakilishi wa dini hiyo hapa nchini.

Makundi ya aina hiyo katika dini zote, kunapotokea fursa kama hii waliyoipata, na ambayo imetolewa na serikali yenyewe, hufurahi sana kupata uwanja wa kuwagawa waTanzania katika makundi hayo wanayoyataka wao.
 
Katika yoote uliyoyasema katika andiko lako, hakuna lililoniamsha fikra kama haya uliyoandika katika aya hii niliyo'quote' hapa.

Sasa najiuliza: Laiti kama isingetokea hivyo, pengine tungekuwa hatusumbuki sana na hili dude liitwalo CCM!

Kuhusu maswala ya udini, binafsi nasema, it's about time, let chips fall where they belong.
Imetosha sasa kulembalemba na kubembelezana kwingi, huku kukiwa kumejaa unafiki tupu kwenye haya mavyama ya siasa.
Imetosha sasa, sote tujihesabu kuwa waTanzania tu bila ya haya ma-qualifications ya dini au ujana, na hata huo ujinsia.

Let's just be Tanznians. That's it!

Mtu kusemwa mavazi yake tu, inakuwa ni udini?

Akifanya mambo yasiyofaa, watu waogope kusema, kwa vile nyuma yake kuna dini anayohusika nayo?
 
Wewe mavi meusi kaa kimya. Nani alimteka Ulimboka ze Dk, nani alimg'oa meno Absalom Kibanda? Nani alimuua mwandishi nguli.
mashehe wooote wa kiislam ambao hadi leo wapo gerezani, wengine wamefungwa juzi, walikamatwa na kikwete. wangekuwa wamekamatwa na JOhn, pasingetosha. elimu elimu elimu. mimi ningekuwa muislam, ningeuacha uislam kwasababu ya magazeti kama haya na aina ya viongozi kama walio nao. ningeona naisaliti nafsi kuwasikiliza.
 
Usitake kuleta taharuki ati waliishambulia Hijabu ya Rais angalia mukhitadha wa usemi waliotumia. Kwa sisi watanzania wa kawaida tunamuheshimu Rais na kujua kuwa alipopata positions za juu kitaifa aliamua kumtafuta vazi rasmi la kumtambulisha; hapo mwanzo hakuwa anavaa Hijabu. Na yeye siyo wa kwanza. Hata Mwl. Nyerere mwanzoni mwa utawala wake alivaa Suit lakini baadae akatafuta vazi la kumtambulisha- CHOUNI LAI NA KAUNDA SUIT.
nikuambie kitu? Kwanza hizo Hijabu wanaojua Quran vizuri, hiyo siyo takwa la Quran.
Iran wakina Dada wameigomea na sasa Madikiteta wa Kiayatolah wameua na kuwafunga watu ili kuilazimishia Hijabu.
Saudi Arabia Serikali imepiga marufuku hizo Hijabu kwa wanafunzi wa level zote.
Ona hizi video

 
 
Yaani waislamu wako tayari nchi hii hata ipigwe mnada maadam tu anayeuza ni muislam na anayenunua ni muislamu, issue ya kwamba wataishije baada ya taifa kuuzwa hilo hawajali cha msingi ni muislam mwenzao ameuza na muislam mwingine akanunua.
Hii inashangaza aisee
 
Kweli kabisa, wametegwa na wao wamenasa kirahisi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…