Kwanini unaanza speculations na wakati Cliffords anafahamu details zote na aliandika ripoti na kuiwasilisha kwa viongozi wa kampuni?Nikikumbuka voice ya kina January, Nape na Kinana zilivyovuja wakimsema namba moja wa kipindi kile, huenda walimtumia mtu kinyume na utaratibu na kwa kificho kufanya kazi hiyo
Kwanini unaanza speculations na wakati Cliffords anafahamu details zote na aliandika ripoti na kuiwasilisha kwa viongozi wa kampuni?
Wa kutumia watu huko tigo hata wewe unaweza.
Labda sijaelewa uzi maana content inasema serikali haitahusika kama hakuna nyaraka za kuiomba tigo kufanya hivyoKwanini unaanza speculations na wakati Cliffords anafahamu details zote na aliandika ripoti na kuiwasilisha kwa viongozi wa kampuni?
Wa kutumia watu huko tigo hata wewe unaweza.
Mr Gentleman;sichochewi wala kuongozwa na mahaba au hisia za kusiasa kujadili mambo ya kisheria...
Subirini mleta hoja,yeye atajua jinsi Gani atathibitisha,acheni kumsemeaHapo Hakuna namna Maana kama Hawana vithibitisho waΓ΄ kama Kampuni kΓ»bwa watajishushia heshima kuwa wanaendesha mambo Yao kiholela, pia itaondoa uaminifu Kwa wateja
Naongozwa kwa Neema na Baraka za Mungu, tafiti na facts evidence zisizo na shaka gentleman.Mr Gentleman;
Kama kweli huongozwi na hayo, kumbe unaongozwa na kitu gani Mr. Gentleman...?
Wewe huyu Tlaatlaah mwana - CCM unayeota ubunge wa Muhambwe - Kasulu - Kigoma usiongozwe na "siasa za ki - chawa chawa" kujadili mambo ya Tundu Lissu na CHADEMA...? Really..?
Nakujua "Gentleman". Wewe ni Chawa hasa wa siasa uchwara za ki - CCM....!!
Shetani yuleHaya mambo ya JPM huko mbinguni yatahitaji session maalum mfanano wa criminal session za duniani, na zinaweza kuchukua miaka kuisha
Wenzio wanasema "maagizo ya Rais ni sheria kwao....."Hata ningekua mimi ndo serikali naruka hyo kesi.
Tena kwa Ujasiri mkubwa haiwezekani Ufuate maagizo ya watsup/Voice call kwa issue nyeti kama hyo. Ni lazima tigo wa kili kua wameteleza.
Uhalifu wowote wa sampuli hii (mara nyingi) huwa hauna documents rasmi ndugu The mission 2017. Ndiyo maana kuna criminal investigation maana yake ni ili kutafuta ushahidi uliofichika na unaweza kuwa aidha wa kusikika na kushikika au circumstantial...By the way, hili ni funzo kwa wafanyakazi wengine serikalini/Private tujifunze ku documents vitu, ili kua salama incase mambi yaka run out of proportions.
Haaπ€π€ haa.....Naongozwa kwa Neema na Baraka za Mungu, tafiti na facts evidence zisizo na shaka gentleman.
kwanza ni muhimu ukaepuka kupotosha jamii. binafsi sina haja kujinasibu popote, kwa lolote na kwa yeyote yule..Haaπ€π€ haa.....
Wewe huyu Tlaatlaah uongozwe na Neema ya Mungu, tafiti na facts..?
Unapaswa utuoneshe tuone na tukusome kwa sababu unachokisema na kujinasibu nacho is absolutely contrary na maandishi na matendo yako...
Je, haijaandikwa kuwa "...mtawatambua kwa matendo yao...?"
Ooh, now I get you...zaidi sana,
siwezi kubabaika hata kidogo na hiyo sijui unaita contrary ama nini ya mtu awaye yeyote yule dhidi ya maoni na mitazamo yangu,
Haa haaπππ..kwasabb si muhimu sana kwangu kutokana na wingi na uzito wa majukumu mengi niliyonayo kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa π
ni vizuri ukacheka ipasavyo ikiwa unajiskia kufanya hivyo gentleman, ili upate relief hata ya madeni tu yanayokuandama achilia mbali maisha mchakamchaka..Ooh, now I get you...
Kumbe huwa unatoa maoni yako tu na sio FACTS tena based on UTAFITI..!!??
Haa haaπππ..
Gentleman unachekesha sana aiseee..
Kwa majukumu ya kisiasa, YES Mr. Gentleman hayo majukumu unayo. Tena unafanya siasa chafu za uchawa
Mtu mwenye majukumu mengi ya kijamii & kiuchumi kitaifa na kimataifa hana sura kama yako, hana upuuzi kama wako...!
Pole kwa kukupiga nyundo...
Gentleman;ni vizuri ukacheka ipasavyo ikiwa unajiskia kufanya hivyo gentleman, ili upate relief hata ya madeni tu yanayokuandama achilia mbali maisha mchakamchaka..
Yaani hata umesahau kuwa ulitangaza humuhumu JF kuwa unawania ubunge, kazi ya kisiasa lakini leo unasema u "mgeni nayo"maswala ya sijui ya sura ama sijui ati nyundo, sifahamu kama ni siasa. Na kama ni siasa basi naweza kua mgeni nayo..
Sijui umetumia lugha gani hapa. Hueleweki.....But mimi nafasi siasa real gentleman π
relax gentleman na upunguze makasiriko π€£Gentleman;
You are very wrong..!
Wanaoandamwa na madeni ni Chawa wa CCM ukiwemo wewe Tlaatlaah. Ndiyo sababu umechagua kuwa chawa (mdudu dhalili na mchafu aishie kwa kunyonya damu za viumbe vingine)..
Umechagua u - chawa ili ujidhalilishe kwa kulamba miguu ya bwana zako upate chakula cha kupelekea mkeo/mumeo na watoto wako..
Sisi ni wapambanaji wa kupambania haki na ustawi wa kila mtu. Tunakula kwa jasho letu, kwa kufanya kazi kwa nguvu na akili zote. Hatuko tayari kupiga magoti kwa wezi na matapeli wa CCM ili watupe mapesa yao ya wizi na ufisadi...
That's the difference between you & us...
Yaani hata umesahau kuwa ulitangaza humuhumu JF kuwa unawania ubunge, kazi ya kisiasa lakini leo unasema u "mgeni nayo"
Mnafiki mkubwa wewe..
Sijui umetumia lugha gani hapa. Hueleweki.....
Kwa heri, usiku mwemaπΆπ»πΆπ»πΆπ»πΆπ»πΆπ»πΆπ»πΆπ»