Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh, kumbe...Anaogopeka kwasababu ametekeleza mission zao kubwa sana hivyo lazima wamlinde.
Ooh, kumbe...
Bila shaka hawa ni wajinga sana maana wanamlinda mwovu na uovu wake kwa gharama ya mauti yao....!!
Kwenye hizo mission zilikuwa za mwendazake au na mama yumo?.Anaogopeka kwasababu ametekeleza mission zao kubwa sana hivyo lazima wamlinde.
Wewe unajua nini.Hujui lolote.
Project Za Mwendazake na nyingine zake mwenye mkolomije kumfurahisha mwendazake.Kwenye hizo mission zilikuwa za mwendazake au na mama yumo?.
Good questions..Njia rasmi ndio njia gani?
Uhalifu mwingi siku zote hufanywa kupitia njia zisizo rasmi na ndio maana hakuna sheria inasema uhalifu uliofanywa kwa njia rasmi pekee ndio uhalifu
Point ya msingi ni uhalifu umefanyika na sio umefanyika kupitia njia gani.
Kwamba ikithibitika ni kweli serikali imehusika ila haikutumia njia rasmi, hiyo itafanya serikali kuwa sio muhusika wa jaribio la mauaji?
Kwa kauli yako hii, naona umelikana rasmi andiko lako kuu (uzi wako mkuu)..Kesi hii imesukwa katika muundo wa Kuua Ndege wawili Kwa jiwe Moja.
Kwa vile kuishtaki serikali na kuituhumu Moja Kwa Moja kuhusika na tukio la Lisu itakuwa na mlolongo mrefu katika Kutoa ushahidi na uthibitisho hivyo njia au upenyo rahisi NI huu WA kuanzia na wale waliotoa location ya kîla alipokuwa LISU. Alafu hao ndîo watatumika kama mashahidi katika Kesi ñyiñgine ya tukio la September 7
"Maprofesa" wengine wa UVCCM wagumu kuelewa ni hawa comte, Joseph Ludovick, Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah etcGhafla nimejikuta nampenda Lissu. Ni watanzania wachache sana wana akili na uwezo wa kumuelewa. Hawawezi kumuelewa lakini kwa akili zao ndogo wamejiaminisha wanamuelewa. Miongoni mwa waliojiaminisha hivyo wapo hadi maprofesa na madaktari wanaomuona kama mkurupukaji.. Hatari sana...kweli akili kubwa ni tunu.
Tik...tak...tik...tak...tik...tak...
Ndugu huwezi kuandika vizuri ukaeleweka?Mkuu umeweka vitu kama vitatu kwambo rasilimali kwakua niyaserikali moja ya sababu nianze kwanza na mtu anaetuumiwa kuratibu tukio uyu jamaa akuwa ktk mkoa wake na kisheria ukitoka ktk mkoa wako ww unamlaka yyte nje ya mkoa wako pili ikiwa sababu ni utumishi yani anawajibika mwajili kama ivi basi serikali inamadeni mengi mfano tu juzijuiz apa kulitokea polisi kupigana risasi kwasababu zao wenyewe.je ile famiria ya aliekufa inafaa kuishtaki serikali.na ikiwa ndio rasilimali lipo tukio la polisi kujipiga risasi mwenyewe kwasababu zake mwenyewe je nayo famiriayake iende mahakamani kuishtaki serikali sababu iyo bunduki ni Mali ya seeikali?
Sheria ni kutafuta Loophole tu....Tobo la kutokea.
Na rekodi ya mdomo nayo hana Amsterdam!?Kwa jinsi ninavyojua wabongo, nakuhakikishia hiyo barua haitakuwepo
Mahakama za wenzetu si sawa na hizi Mahakama za mchongo.Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
Pole.
Naambiwa barua zîpo za kutosha.
Ngoja tuone
gentleman,"Maprofesa" wengine wa UVCCM wagumu kuelewa ni hawa comte, Joseph Ludovick, Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah etc

rigHata kama njia rasmi ilitumika.. wanaweza wakapindisha wakadai nyaraka ni feki