Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui lolote.Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
Ghafla nimejikuta nampenda Lissu. Ni watanzania wachache sana wana akili na uwezo wa kumuelewa. Hawawezi kumuelewa lakini kwa akili zao ndogo wamejiaminisha wanamuelewa. Miongoni mwa waliojiaminisha hivyo wapo hadi maprofesa na madaktari wanaomuona kama mkurupukaji.. Hatari sana...kweli akili kubwa ni tunu.
Tik...tak...tik...tak...tik...tak...
Is it genuine?! Au Wahuni tu waliichoronga kisha wakafoji signature ambayo hata Tigo wenyewe huenda hawajui ni ya nani, na wao waka-act upon that letter?!Hiyo barua ipo mahakamani London.
Imetajwa kwenye appeal ya kwanza ambayo TIGO walishindwa kabla ya kukata rufaa mahakama kuu ya rufaa.
Subirini na yataibuka mengi.
Nilisahau kuhusu voice noteMzungu akitaka atathibitisha beyond doubt kuwa serikali ilihusika hata kama hakuna barua. Hiyo tech ni yake atashindwa nini kuthibitisha hata sauti za wahusika waliokuwa wakitoa maelekezo? Labda kama walikuwa wanawasiliana kwa braille system
Wote hao inabidi wajulikane mana hawajulikani lakini nyumba Yao imefahamika walipokuwa wanaishi ambayo ni TIGOSisi? Alikuwa anamaanisha kina Nani?
Serikali?
Tigo?
Wananchi?
Au wasiojulikana?
Saver Ina documents fake?Hata kama njia rasmi ilitumika.. wanaweza wakapindisha wakadai nyaraka ni feki
Hata tiGO under new supervision hawana kesi hapo!The tigo watabeba zigo lao, next time wajifunze
Sidhani kama upo sahihi kuhusiana na suala hili, hii ni kutokana na Mazingira halisi ya kiutawala yaliyopo kwenye nchi hii pamoja na unyeti wa suala lenyewe.Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
Ni mara ngapi mambo yanatokea wanadai nyaraka zilikua feki?Saver Ina documents fake?
hakuna ushahidi wowote, hilo zigo kadondoshewa tigo atalitafuna peke yake serikali imekaa paleee inawaangalia tu. na nina uhakika hapatakuwa na barua. ndio wajifunze sasa.Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
Mwambie suala la kufuatilia nyendo za mtu ni suala nyeti na TIGO wanatakiwa kujua na kulinda wateja.Mfanyakazi ndîo Tigo mwenyewe.
Tukio limefanywa na Tigo.
Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
hapa ndio tunapataka WananchiHii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.

Tulixa "MCHAZA" 🤣🤣😀😀mwanamke, ukitaka kujua maana ya MCHAZA waulize Wangoni au WandendeuleHivi Kenya nao wana Mirembe yao. Au huduma hiyo inawafaa wabongo tu