Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Hapo ni sawa umpe gari dereva aendeshe akiwa kalewa mwajiri anahusika vipi ikitokea ajali imesababishwa na dereva mleviMfanyakazi ndîo Tigo mwenyewe.
Tukio limefanywa na Tigo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni sawa umpe gari dereva aendeshe akiwa kalewa mwajiri anahusika vipi ikitokea ajali imesababishwa na dereva mleviMfanyakazi ndîo Tigo mwenyewe.
Tukio limefanywa na Tigo.
Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
Umeambiwa maafisa wa serikali walitumiwa kwa whatsap. Watu waliotuma hizo metadata wametajwa kwenye kesi hizi mbili. Acha speculation ya mambo ya kusadikika ili kupoteza upepo ndugu yangu - soma hapa hizi kesi uelewe mwanzo mwisho...Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
Humu ndani kuna watu wanapenda sana speculations za kupima upepo ili aone maoni ya watu... Hii kesi imeletwa hadharani kuja kuzima mjadara wa maandamano... maana sasa maandamano hayaongelewi, ni kesi tu.Mzungu akitaka atathibitisha beyond doubt kuwa serikali ilihusika hata kama hakuna barua. Hiyo tech ni yake atashindwa nini kuthibitisha hata sauti za wahusika waliokuwa wakitoa maelekezo? Labda kama walikuwa wanawasiliana kwa braille system
Masuala ya barua ni ya enzi za stone age siku hizi mawasiliano yapo digitalized, kuna email, voice note, sms etc.Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
Ngoja kwanza taarifa zitakuja tu. Kufukuzwa kazi kwa Clifford ni kwasababu ushahidi wa uongozi wa kampuni kutoa taarifa kwa waliotaka kumuuwa Lissu upo.Kwa jinsi ninavyojua wabongo, nakuhakikishia hiyo barua haitakuwepo
Jinai haihitaji mawasiliano rasmi ya kiofisi kinachoangaliwa palikuwa na nia ya kupanga njama za mauaji?Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
Duh!Kwema Wakuu!
Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.
Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.
Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.
Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.
Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.
Haya
Tigo watabanwa kuhusu kuachia kiholela taarifa nyeti za wateja kuwa accessed kirahisi na uwazi kwa wafanya kazi.Hapo ni sawa umpe gari dereva aendeshe akiwa kalewa mwajiri anahusika vipi ikitokea ajali imesababishwa na dereva mlevi
Bila shaka LIVE LOCATION ilikuwa connected na namba nyingine ya tiGo aliyekuwa ndiyr John Walker wa kufuatilia namba ya Lissu huyo ndiye atasema kibali cha kufanya hivyo alipata kwa nani. Naona Michael Clifford ameamua kujilipua kivyote.Sasa Jpm mwenyewe akikana kuwa hajawahi kuwasiliana na Tigo itakuwaje? Itathibitishwaje?
Ati kwamba Tundu Lissu ndio amepata hizi Taarifa?
Siku zote hizo alikuwa wapi?
Hivi ni nani anatakiwa ajue Location ya mtumia simu? Jiulize tu.
=============
Haya kama maigizo mengine wanayofanya wale wanaofaidika na "maridhiano' ya nyuma ya pazia.
Hatahivyo haya yote yanakuja kwasababu tu walishindwa kufanya Jogging/maandamano/maombolezo.
Wanatafuta headlines.
Bila shaka LIVE LOCATION ilikuwa connected na namba nyingine ya tiGo aliyekuwa ndiyr John Walker wa kufuatilia namba ya Lissu huyo ndiye atasema kibali cha kufanya hivyo alipata kwa nani. Naona Michael Clifford ameamua kujilipua kivyote.
Duh!
Kumbe wewe ni wale wale; tena wasiokuwa na hata ushawishi wa kitaaluma kuonyesha ushahidi wa kuonyesha wanao uelewa wa wanacho kizungumzia juu yake!
Eti "Mwandishi na Mtungaji"
Nchi hii tukiendelea hivi hivi, na viwango vya namna hii kuwa ndiyo mifano ya watu makini, hatutafika popote. Hili ni taifa linalo didimia kwa kasi sana sasa hivi.
Mungu tuepushe na janga hili.
Pole sana.
Sidhani kama iko hivyo.Tigo watabanwa kuhusu kuachia kiholela taarifa nyeti za wateja kuwa accessed kirahisi na uwazi kwa wafanya kazi.
Hapo tigo ana kibarua...