Sakata la Lissu v Tigo: Serikali haitahusika kama hakuna barua za Serikali kwenda Tigo

Sakata la Lissu v Tigo: Serikali haitahusika kama hakuna barua za Serikali kwenda Tigo

Serikali ina Kesi ya Kujibu

Mashtaka dhidi ya Serikali

Katika mazingira ya tukio la kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, maswali mengi yanajitokeza kuhusu ikiwa serikali inayo kesi ya kujibu. Hii inahusisha uchunguzi wa jinsi taarifa zilizokusanywa zilivyotumika, na kama serikali ilihusika katika kupanga au kuwezesha tukio hilo. Kuwepo kwa uhusiano kati ya taarifa za mawasiliano na vitendo vya ukandamizaji wa kisiasa kunaweza kuleta wasiwasi kuhusu usalama wa raia na uhuru wa watu wenye mawazo tofauti.

Majukumu ya Serikali

Serikali ina wajibu wa kulinda raia wake, kuhakikisha usalama na ustawi wa wananchi. Hata hivyo, wajibu huu unakuja na dhamira ya kufuata sheria na taratibu zinazotakiwa. Ikiwa itabainika kwamba serikali ilihusika katika uhalifu wa aina yoyote, kama vile kupanga au kuruhusu tukio la vurugu dhidi ya Lissu, basi itakuwa na majukumu ya kujibu mashtaka hayo. Hii inamaanisha kwamba kuna haja ya uchunguzi huru na wa kina ili kubaini ukweli na kuwajibisha wahusika, kuhakikisha haki inatendeka.

Kukosekana kwa uwazi na uwajibikaji katika masuala kama haya kunaweza kuathiri imani ya umma kwa serikali, na pia kuleta taharuki miongoni mwa wapinzani wa kisiasa. Hivyo, ni muhimu kwamba hatua zinazofanywa na serikali katika kukabiliana na mashtaka haya zizingatie sheria na haki za binadamu, ili kudumisha amani na utulivu katika jamii.

Katika muktadha huu, mashtaka dhidi ya serikali yanaweza kuwa na athari kubwa si tu kwa Lissu bali pia kwa mfumo wa kisiasa nchini Tanzania. Hata hivyo, ni lazima kukumbuka kuwa haki ya mtu binafsi inapaswa kuheshimiwa na kulindwa, na serikali inapaswa kuwa tayari kujibu maswali kuhusu majukumu yake katika ulinzi wa raia.

Kwa hiyo, kesi hii ni muhimu katika kuelewa uhusiano wa serikali na raia, na inatoa fursa ya kuangazia jinsi masuala ya usalama na haki za binadamu yanavyoweza kuunganishwa katika muktadha wa kisiasa.
 
Serikali ina Kesi ya Kujibu

Mashtaka dhidi ya Serikali

Katika mazingira ya tukio la kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, maswali mengi yanajitokeza kuhusu ikiwa serikali inayo kesi ya kujibu. Hii inahusisha uchunguzi wa jinsi taarifa zilizokusanywa zilivyotumika, na kama serikali ilihusika katika kupanga au kuwezesha tukio hilo. Kuwepo kwa uhusiano kati ya taarifa za mawasiliano na vitendo vya ukandamizaji wa kisiasa kunaweza kuleta wasiwasi kuhusu usalama wa raia na uhuru wa watu wenye mawazo tofauti.

Majukumu ya Serikali

Serikali ina wajibu wa kulinda raia wake, kuhakikisha usalama na ustawi wa wananchi. Hata hivyo, wajibu huu unakuja na dhamira ya kufuata sheria na taratibu zinazotakiwa. Ikiwa itabainika kwamba serikali ilihusika katika uhalifu wa aina yoyote, kama vile kupanga au kuruhusu tukio la vurugu dhidi ya Lissu, basi itakuwa na majukumu ya kujibu mashtaka hayo. Hii inamaanisha kwamba kuna haja ya uchunguzi huru na wa kina ili kubaini ukweli na kuwajibisha wahusika, kuhakikisha haki inatendeka.

Kukosekana kwa uwazi na uwajibikaji katika masuala kama haya kunaweza kuathiri imani ya umma kwa serikali, na pia kuleta taharuki miongoni mwa wapinzani wa kisiasa. Hivyo, ni muhimu kwamba hatua zinazofanywa na serikali katika kukabiliana na mashtaka haya zizingatie sheria na haki za binadamu, ili kudumisha amani na utulivu katika jamii.

Katika muktadha huu, mashtaka dhidi ya serikali yanaweza kuwa na athari kubwa si tu kwa Lissu bali pia kwa mfumo wa kisiasa nchini Tanzania. Hata hivyo, ni lazima kukumbuka kuwa haki ya mtu binafsi inapaswa kuheshimiwa na kulindwa, na serikali inapaswa kuwa tayari kujibu maswali kuhusu majukumu yake katika ulinzi wa raia.

Kwa hiyo, kesi hii ni muhimu katika kuelewa uhusiano wa serikali na raia, na inatoa fursa ya kuangazia jinsi masuala ya usalama na haki za binadamu yanavyoweza kuunganishwa katika muktadha wa kisiasa.

Kesi hii imesukwa katika muundo wa Kuua Ndege wawili Kwa jiwe Moja.
Kwa vile kuishtaki serikali na kuituhumu Moja Kwa Moja kuhusika na tukio la Lisu itakuwa na mlolongo mrefu katika Kutoa ushahidi na uthibitisho hivyo njia au upenyo rahisi NI huu WA kuanzia na wale waliotoa location ya kîla alipokuwa LISU. Alafu hao ndîo watatumika kama mashahidi katika Kesi ñyiñgine ya tukio la September 7
 
Kwamba NI kick tuu
Big....

NDiO

Kama hutaki kufuatiliwa unazima location, na ikitokea umezima location halafu bado wanatoa Taarifa za location yako....

Labda unayo kesi??

Zaidi ya hapo ni kiki tu hizi.

Nani asiyejua Kampuni za Simu zina taarifa zako nyingi tu?

Nani asiyejua Serikali yeyote ile Duniani wakikohoa tu, Taarifa zako wanazo?

Muulizeni hata huyu MMello. Akipewa tu barua kutoka mahakamani, anacheua tu.
 
Big....

NDiO

Kama hutaki kufuatiliwa unazima location, na ikitokea umezima location halafu bado wanatoa Taarifa za location yako....

Labda unayo kesi??

Zaidi ya hapo ni kiki tu hizi.

Nani asiyejua Kampuni za Simu zina taarifa zako nyingi tu?

Nani asiyejua Serikali yeyote ile Duniani wakikohoa tu, Taarifa zako wanazo?

Muulizeni hata huyu MMello. Akipewa tu barua kutoka mahakamani, anacheua tu.

Hata ukizima location ilimradi Simu Ipo on na ina laini control room mnara utaonyesha upo location gàni.

NI kweli Kabisa, kuhusu tàarifa hata JF Kwa Sisi Wengine tunajua kuwa siô hundreds percent Ipo safe hata govoo isipohusika
 
Kwema Wakuu!

Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.

Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.

Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.

Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.

Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.

Haya
Sawa, kwa hiyo unamfariji Samia kuwa Taswira yake kimataifa ndo sasa itaimarika zaidi au siyo? nyau kasoro mkia😂
 
Kwema Wakuu!

Serikali haitahusika Kwa namna yoyote Ile Ikiwa haikuandika barua Wala Kûtuma email kwenda Kampuni ya Tigo kutaka kuingilia faragha na tàarifa za LISU.

Mambo ya serikali Kwenda Kwa makampuni au mashirika hufanywa kiofisi na barua lazima ihusike.

Mawasiliano yoyote àmbayo hayatahusisha njia rasmi huweza kuleta mkingamo wq kisheria.

Hivyo itasemwa kwamba kulikuwa na genge la Watu weñye Maslahi binafsi nje ya serikali àmbalo ñdilo liliwasiliana na Kampuni ya Tigo kutaka tàarifa za LISU.

Hii inatoa Somo Kwa wafanyakazi na Wamiliki WA makampuni kuwa Makini Wakati wanapata oda au maigizo Kutoka kwèñye mamlaka za kiserikali. Kwamba maagizo hayo yawe Kwa njia Rasmi ikiwemo kuandikwa Kwa barua kama ushahidi.

Haya
Changamoto husababishwa na binadamu. Binadamu anaweza kukusababishia changamoto kwa makusudi ama bila kujua hata wewe mwenyewe waweza jisababishia changamote kwa upumbavu, uzembe, ujinga, ushamba, na uvivu wa kufikiri ama kutenda
 
Back
Top Bottom