Sakata la Lissu v Tigo: Serikali haitahusika kama hakuna barua za Serikali kwenda Tigo

Sakata la Lissu v Tigo: Serikali haitahusika kama hakuna barua za Serikali kwenda Tigo

Nikikumbuka voice ya kina January, Nape na Kinana zilivyovuja wakimsema namba moja wa kipindi kile, huenda walimtumia mtu kinyume na utaratibu na kwa kificho kufanya kazi hiyo
Kwanini unaanza speculations na wakati Cliffords anafahamu details zote na aliandika ripoti na kuiwasilisha kwa viongozi wa kampuni?

Wa kutumia watu huko tigo hata wewe unaweza.
 
Kwanini unaanza speculations na wakati Cliffords anafahamu details zote na aliandika ripoti na kuiwasilisha kwa viongozi wa kampuni?

Wa kutumia watu huko tigo hata wewe unaweza.


..kitendo cha serikali kutokufanya uchunguzi kunazipa nguvu tuhuma kwamba waliojaribu kumuua Lissu ni watu wa serikali.
 
Kwanini unaanza speculations na wakati Cliffords anafahamu details zote na aliandika ripoti na kuiwasilisha kwa viongozi wa kampuni?

Wa kutumia watu huko tigo hata wewe unaweza.
Labda sijaelewa uzi maana content inasema serikali haitahusika kama hakuna nyaraka za kuiomba tigo kufanya hivyo

Na ndo maana nimeanza na neno huenda, kwa maana nyingine "kama kweli" au assume kama kweli na sio kwamba nimefanya conclusion na ndio maana nika-link na matukio ya kina January, Nape na Kinana
 
Hata ningekua mimi ndo serikali naruka hyo kesi.

Tena kwa Ujasiri mkubwa haiwezekani Ufuate maagizo ya watsup/Voice call kwa issue nyeti kama hyo. Ni lazima tigo wa kili kua wameteleza.

By the way, hili ni funzo kwa wafanyakazi wengine serikalini/Private tujifunze ku documents vitu, ili kua salama incase mambi yaka run out of proportions.
 
sichochewi wala kuongozwa na mahaba au hisia za kusiasa kujadili mambo ya kisheria... :pulpTRAVOLTA:
Mr Gentleman;

Kama kweli huongozwi na hayo, kumbe unaongozwa na kitu gani Mr. Gentleman...?

Wewe huyu Tlaatlaah mwana - CCM unayeota ubunge wa Muhambwe - Kasulu - Kigoma usiongozwe na "siasa za ki - chawa chawa" kujadili mambo ya Tundu Lissu na CHADEMA...? Really..?

Nakujua "Gentleman". Wewe ni Chawa hasa wa siasa uchwara za ki - CCM....!!
 
Mr Gentleman;

Kama kweli huongozwi na hayo, kumbe unaongozwa na kitu gani Mr. Gentleman...?

Wewe huyu Tlaatlaah mwana - CCM unayeota ubunge wa Muhambwe - Kasulu - Kigoma usiongozwe na "siasa za ki - chawa chawa" kujadili mambo ya Tundu Lissu na CHADEMA...? Really..?

Nakujua "Gentleman". Wewe ni Chawa hasa wa siasa uchwara za ki - CCM....!!
Naongozwa kwa Neema na Baraka za Mungu, tafiti na facts evidence zisizo na shaka gentleman.

Na hiyo inaniwezesha kufanya vizuri mno katika masuala yangu yote ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa 🐒

na huo ushirikina wenu ati sijui hawa wengine ni nyumbu au hiyo ingine, ni useless tu kwangu gentleman..
 
Hata ningekua mimi ndo serikali naruka hyo kesi.
Tena kwa Ujasiri mkubwa haiwezekani Ufuate maagizo ya watsup/Voice call kwa issue nyeti kama hyo. Ni lazima tigo wa kili kua wameteleza.
Wenzio wanasema "maagizo ya Rais ni sheria kwao....."

Agizo la Rais John P. Magufuli la "Tunapokuwa kwenye vita ya kiuchumi halafu kukawa na watu wanapinga na kuwarudisha nyuma, wanajeshi mnajua namna ya kuwafanya" lipo very well documented na linajitosheleza kuwa ushahidi kuwa serikali ilihusika kutekeleza uhalifu huo na hilo halina ubishi...

TIGO ataingia kama shahidi tu na ndicho kinachotafutwa toka kwa hawa TIGO ktk issue hii huko Uingereza. Yeye tunataka atupe majibu ya maswali haya: Nani ndani ya serikali (kwa jina na cheo chake) aliyewapa amri ya kutoa taarifa za siri za mteja wao pasipo kufuata sheria ili wakamuue? Lini, muda gani na wapi? Kisha tutataka na print out za mawasiliano ambayo yako served kwenye servers zao...
By the way, hili ni funzo kwa wafanyakazi wengine serikalini/Private tujifunze ku documents vitu, ili kua salama incase mambi yaka run out of proportions.
Uhalifu wowote wa sampuli hii (mara nyingi) huwa hauna documents rasmi ndugu The mission 2017. Ndiyo maana kuna criminal investigation maana yake ni ili kutafuta ushahidi uliofichika na unaweza kuwa aidha wa kusikika na kushikika au circumstantial...
 
Naongozwa kwa Neema na Baraka za Mungu, tafiti na facts evidence zisizo na shaka gentleman.
Haa🤔🤔 haa.....

Wewe huyu Tlaatlaah uongozwe na Neema ya Mungu, tafiti na facts..?

Unapaswa utuoneshe tuone na tukusome kwa sababu unachokisema na kujinasibu nacho is absolutely contrary na maandishi na matendo yako...

Je, haijaandikwa kuwa "...mtawatambua kwa matendo yao...?"
 
Haa🤔🤔 haa.....

Wewe huyu Tlaatlaah uongozwe na Neema ya Mungu, tafiti na facts..?

Unapaswa utuoneshe tuone na tukusome kwa sababu unachokisema na kujinasibu nacho is absolutely contrary na maandishi na matendo yako...

Je, haijaandikwa kuwa "...mtawatambua kwa matendo yao...?"
kwanza ni muhimu ukaepuka kupotosha jamii. binafsi sina haja kujinasibu popote, kwa lolote na kwa yeyote yule..

zaidi sana,
siwezi kubabaika hata kidogo na hiyo sijui unaita contrary ama nini ya mtu awaye yeyote yule dhidi ya maoni na mitazamo yangu, kwasabb si muhimu sana kwangu kutokana na wingi na uzito wa majukumu mengi niliyonayo kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa 🐒
 
zaidi sana,
siwezi kubabaika hata kidogo na hiyo sijui unaita contrary ama nini ya mtu awaye yeyote yule dhidi ya maoni na mitazamo yangu,
Ooh, now I get you...

Kumbe huwa unatoa maoni yako tu na sio FACTS tena based on UTAFITI..!!??
kwasabb si muhimu sana kwangu kutokana na wingi na uzito wa majukumu mengi niliyonayo kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa 🐒
Haa haa😀😀😀..

Gentleman unachekesha sana aiseee..

Kwa majukumu ya kisiasa, YES Mr. Gentleman hayo majukumu unayo. Tena unafanya siasa chafu za uchawa

Mtu mwenye majukumu mengi ya kijamii & kiuchumi kitaifa na kimataifa hana sura kama yako, hana upuuzi kama wako...!

Pole kwa kukupiga nyundo...
 
Ooh, now I get you...

Kumbe huwa unatoa maoni yako tu na sio FACTS tena based on UTAFITI..!!??

Haa haa😀😀😀..

Gentleman unachekesha sana aiseee..

Kwa majukumu ya kisiasa, YES Mr. Gentleman hayo majukumu unayo. Tena unafanya siasa chafu za uchawa

Mtu mwenye majukumu mengi ya kijamii & kiuchumi kitaifa na kimataifa hana sura kama yako, hana upuuzi kama wako...!

Pole kwa kukupiga nyundo...
ni vizuri ukacheka ipasavyo ikiwa unajiskia kufanya hivyo gentleman, ili upate relief hata ya madeni tu yanayokuandama achilia mbali maisha mchakamchaka..

maswala ya sijui ya sura ama sijui ati nyundo, sifahamu kama ni siasa. Na kama ni siasa basi naweza kua mgeni nayo..

But mimi nafasi siasa real gentleman 🐒
 
ni vizuri ukacheka ipasavyo ikiwa unajiskia kufanya hivyo gentleman, ili upate relief hata ya madeni tu yanayokuandama achilia mbali maisha mchakamchaka..
Gentleman;

You are very wrong..!

Wanaoandamwa na madeni ni Chawa wa CCM ukiwemo wewe Tlaatlaah. Ndiyo sababu umechagua kuwa chawa (mdudu dhalili na mchafu aishie kwa kunyonya damu za viumbe vingine)..

Umechagua u - chawa ili ujidhalilishe kwa kulamba miguu ya bwana zako upate chakula cha kupelekea mkeo/mumeo na watoto wako..

Sisi ni wapambanaji wa kupambania haki na ustawi wa kila mtu. Tunakula kwa jasho letu, kwa kufanya kazi kwa nguvu na akili zote. Hatuko tayari kupiga magoti kwa wezi na matapeli wa CCM ili watupe mapesa yao ya wizi na ufisadi...

That's the difference between you & us...
maswala ya sijui ya sura ama sijui ati nyundo, sifahamu kama ni siasa. Na kama ni siasa basi naweza kua mgeni nayo..
Yaani hata umesahau kuwa ulitangaza humuhumu JF kuwa unawania ubunge, kazi ya kisiasa lakini leo unasema u "mgeni nayo"

Mnafiki mkubwa wewe..
But mimi nafasi siasa real gentleman 🐒
Sijui umetumia lugha gani hapa. Hueleweki.....

Kwa heri, usiku mwema🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻
 
Gentleman;

You are very wrong..!

Wanaoandamwa na madeni ni Chawa wa CCM ukiwemo wewe Tlaatlaah. Ndiyo sababu umechagua kuwa chawa (mdudu dhalili na mchafu aishie kwa kunyonya damu za viumbe vingine)..

Umechagua u - chawa ili ujidhalilishe kwa kulamba miguu ya bwana zako upate chakula cha kupelekea mkeo/mumeo na watoto wako..

Sisi ni wapambanaji wa kupambania haki na ustawi wa kila mtu. Tunakula kwa jasho letu, kwa kufanya kazi kwa nguvu na akili zote. Hatuko tayari kupiga magoti kwa wezi na matapeli wa CCM ili watupe mapesa yao ya wizi na ufisadi...

That's the difference between you & us...

Yaani hata umesahau kuwa ulitangaza humuhumu JF kuwa unawania ubunge, kazi ya kisiasa lakini leo unasema u "mgeni nayo"

Mnafiki mkubwa wewe..

Sijui umetumia lugha gani hapa. Hueleweki.....

Kwa heri, usiku mwema🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻
relax gentleman na upunguze makasiriko 🤣

ni kujipanga tu my friend, maisha hayahitaji hasira. Ukiwa muadilifu vyeo na teuzi vinakufuata tu uliko 🤣
 
Nilichogundua tunawanasiasa wenye njaa lkn wanataka waonekane niwakombozi watanzania tukitumia vizuli akili zetu tunawagundua mchana kweupe kuwa awa njaa mipangoyao yao kuuiba pesa za azina wkt uhouho bado tuwaone wakombozi!!! Na wafuasiwao ndio awa majibu yao uko juu mmoja anasema mm niwafungulie kesi wasiojulikana!! Yani ndio kaona kajibu wkt mwasilika mwenyewe katuambiya anawajua wabaya wake. Sasa si awafungulie kesi wao kama walitumwa na serikali watasema na ushaidi wataleta. Ili kukomesha aya mambo ya kutumwatumwa wangine wataogopa kutumwa tumwa kama kweli walitumwa. Naww ikiwa unaelimu tumia basi kuwatetea watanzania na rasilimali zake. Elimu yako isiwe ya kuujumu taifa. Nitaandika tu ata bila kufanya uhariri ukisindwa kusoma pita mbali. Binafsi nitamueshimu tu mtetea rasilimali zetu. Sisi masikini azina yetu aina pesa za kugawa watu wakaishi ulaya. Tutaendelea kuelimishana.
 
Lkn anataka kufungulia kesi tigo na serikali mana kote kumenoma mipesa. Utamsikia kaka yetu Lisu akisema mwambieni mama Abdur anilpe pesazangu za matibabu pesa sio za mama pesa za watanzania kwann asisema anatudai kias gani ili tunaodaiwa tujue deni letu. Anasema ayo madocuments ni mengi sana kweli tunajua kapambambania uhai wake sana pole sana kaka yetu Lisu lkn tuambie unadai ngapi mm kusema ukweli ktk matibabu naona anayo haki kulipwa sababu za kisheria allikuwa mbunge lkn je kias gani tujue. Kwanza.
 
Back
Top Bottom