ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Watu bado wanaota na kuwaza vitu visivyowezekana hapa tanganyika kwetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mkimpeleka Makonda mahakani na akasema yule kwenye CCTV sio yeye, ila ni mtu anafanana na yeye. Akasema wakati hiyo kitu inatokea yeye alikuwa nyumbani na mkewe na marafiki zake wanaangalia mpira kwenye Tv, mtasema nini? Maana hakuna aliye mkamata na kuthibitisha kama ni yeye. Hata hao walinzi kama walofundishwa cha kusema. Mara walionyeshewa bunduki, Mara walipigwa mtama, mara hapana hawakuonyeshewa bunduki wala kupigwa mtama. Mara hakuna mali iliyopotea au kuharibika. Kelele kila mahali. Hakuna ushahidi unaoweza kusimama mahakamani.Tuongelee CCTV video, ndo ilikuwa movie ya maigizo tu au?
Sasa na ushahidi wote huo wahusika wanasubiri nini kwenda mahakamani? kama mahakama za Tanzania hawaziamini, kwanini wasitumie mahakama ya Afrika Mashariki? Watu wanoogopa kwenda mahakamani kwasababu mahakama itafichuwa na mengine yasiotakiwa kufichuliwa.Chanzo cha yote ni blackmail za makonda Daudi kama kuna wa kulaumiwa ni hiyo ndoa ya wasukuma wawili wanaowabambikia watu kesi na kutumana kwenda clouds kufanya fujo kisha wanataka ushahidi, cctv zipo, walioporwa magari wapo, waliobambikiwa kesi wapo, na ushahidi wa mali zote za Daud upo, lakini kwa kuwa amefunga ndoa na msukuma mkubwa ni vigumu haki kutendeka popote Tanzania.
Next to being caught redhanded, cctv footage is the most damning evidence there is. huyu twin makonda would be forced amlete mahakamani to refute the cctv footage. And it takes a peanut brain like you to believe in tht shit you just wrote.Hivi mkimpeleka Makonda mahakani na akasema yule kwenye CCTV sio yeye, ila ni mtu anafanana na yeye. Akasema wakati hiyo kitu inatokea yeye alikuwa nyumbani na mkewe na marafiki zake wanaangalia mpira kwenye Tv, mtasema nini? Maana hakuna aliye mkamata na kuthibitisha kama ni yeye. Hata hao walinzi kama walofundishwa cha kusema. Mara walionyeshewa bunduki, Mara walipigwa mtama, mara hapana hawakuonyeshewa bunduki wala kupigwa mtama. Mara hakuna mali iliyopotea au kuharibika. Kelele kila mahali. Hakuna ushahidi unaoweza kusimama mahakamani.
Hivi mkimpeleka Makonda mahakani na akasema yule kwenye CCTV sio yeye, ila ni mtu anafanana na yeye. Akasema wakati hiyo kitu inatokea yeye alikuwa nyumbani na mkewe na marafiki zake wanaangalia mpira kwenye Tv, mtasema nini? Maana hakuna aliye mkamata na kuthibitisha kama ni yeye. Hata hao walinzi kama walofundishwa cha kusema. Mara walionyeshewa bunduki, Mara walipigwa mtama, mara hapana hawakuonyeshewa bunduki wala kupigwa mtama. Mara hakuna mali iliyopotea au kuharibika. Kelele kila mahali. Hakuna ushahidi unaoweza kusimama mahakamani.
Next to being caught redhanded, cctv footage is the most damning evidence there is. huyu twin makonda would be forced amlete mahakamani to refute the cctv footage. And it takes a peanut brain like you to believe in tht shit you just wrote.
Mpunguze jazba za kibinadamu kwenye mkono wa sheria, mimi sikuzungumzia kama huyo ni Makonda au sio. Kama ushahidi ndio hiyo CCTV basi hautoshi kumsimamisha mtu mahakamani, kwasababu the image is not clear enough to pass the judgment. Umeleta mfano mzuri tu wa waalimu wa Mbeya. Tofauti ya hizo video mbili ni kwamba moja imekuwa recorded at broad daylight, na nyingine is at very law fuzzy light. Leo hii tukuchukulie askari kumi, na wote wamevaa kama hao waliokuwa kwenye hiyo CCTV, ukambiwa uwatambuwe kati ya hao kumi ni nani aliyeonekana kwenye CCTV, utaweza? Ndio maana Mwakyembe anasema ushahidi hautoshi kumpeleka mtu mahakamani maana atashinda, Chadema wanalijuwa hilo na ndio maana hawakwenda mahakamani kinyume na Lissu aluposema akitoka Arusha braki ya kwanza mahakamani. You can't proven guilty without reasonable doubt, with that kind of material.Tuliwahi kuwahukumu walimu kwa kumshambulia Mwanafunzi kwa ushahidi wa Video ya mtandaoni Hii video ingine si Ushahidi? Tunasahau Haraka mno
self pollution and confusion. Hao wachawi wako wa Pemba kama wangekuwepo si wangekuwa wamemuondoa Dr. Shein madarakani aliyechukua kiti cha urais licha ya kushindwa kwenye uchaguzi Mkuu 2015! Maajabu ya JF ni vichwa vya watu waliomo humu.Blackmail zote za makonda kumbe huwa anatumwa na Msukuma mwenzake hata GSM sasa wanapewa Tenda kimya kimya wapate pesa za kulea nyumba ndogo za msukuma mkubwa na msukuma mdogo, zile ndege zilizonunuliwa kwa cash GSM walipata 10% kubwa na kuna tenda kibao za kimya kimya ipo pesa nyingi ya kuwanunua wabunge wa CCM pia Ruge wa clouds ili wasitoe ushirikiano kwenye Dhambi zote zilizotendwa na Daudi Albert Bashite, ni vigumu bungeni hoja kupenya hasa endapo Tulia Naibu Spika atakuwa mjengoni, njia pekee ya kumaliza Tatizo ni kwenda Pemba watafutwe wazee wamsomee Elbadili Daud ingawa na mchawi sana lakini kwa kuwa dhambi zake ni za kweli lazima Elibadili itamshika tu na kumpa fundisho kama yule makamu wa Rais kule Zanzibar
Hawawezi kwenda mahakamani kwa kuwa hawana uhakika na jambo wanalozungumzia.ukishindwa kesi inabidi ulipe fidia.Vyanzo vinadai kuwa kulipeleka swala hili mahakamani, litanyima fursa ya Bunge kulizungumzia. Binafsi sitegemei jipya kupitia Bunge hili na kama ikitokea basi utakuwa muujiza wa kwanza wa Bunge letu katika Serikali hii "tata". Hoja ya "collective responsibility" ni changamoto katika mhimili huu mzito kuliko yote (Sauti ya Wananchi yenye Mamlaka kamili) kutokana na maslahi ya kivyama na hofu.
Nashauri mjadala huu ufungwe ama wenyekuhitaji kupata haki ama maamuzi sahihi yasiyo na shaka basi angalau waelekee kwenye mhimili wa "Mahakama"....kwa hoja kuu tatu:-
1. Kufungua shauri linalomtaka Makonda kuwasilisha vyeti vyake vya elimu hasa kidato cha nne (Wanasheria wapo na wanaweza kusaidia)
2. Clouds kumfungulia kesi ya jinai Ndugu Makonda kwa kuvamia kituo cha habari (Hili linahusu kituo cha habari chenyewe hasa katika wakati huu ambao Jamhuri inaona si kosa)
3. Nape kufungua shauri juu ya kutishiwa maisha na Askari kanzu (Hili lina muhusu Nape hasa ukizingatia mazingira ya Jamhuri kutokuona kama ni kosa)
Ndugu wanabodi, pamoja na madhaifu makubwa ya katiba yetu, bado katiba hii ya mwaka 1977 haijanyima haki kwa Wananchi wake. Bunge lina mamlaka kamili lakini aliwezi kutekeleza majukumu yake kikamilifu kutokana na sababu nilizozieleza hapo juu. Mahakama kama chombo chakutoa haki, bado kina fursa ya kutafsiri sheria, kukutanisha pande zote mbili ama kuchukua hatua (kutoa hukumu ama kuachia huru).
Wito wangu: " Kwa Bunge hili tulilonalo, Mahakama ni bora zaidi"
na wewe kwanini usijiulize kama alikuwa na kawaida ya kuenda kwanini safari hii waseme amevamia?Je kuna uhakika gani kama alivamia au alikwenda? Clouds wenyewe wanasema Makonda pale palikuwa kama kwake alikuwa anaweza kuja au kukaa mpaka saa 9 usiku je ni uharibifu gani umefanyika Clouds wanasema hakuna sasa utasemaje hapo?
Kwanza nipe tafasiri ya kuvamia na kutembelea kuhusu kutembea na Police wenye silaha hyo ni kawaida yule ni kiongozi na kuna OPS anaweza kuzifanya usiku usiku
...kwa kuoneza hoja yako, hata kama video hizo zingekuwa clear na zimepigwa kwenye day light/wazi, ni kwa vipi DPP atathibitisha jinai mahakamani kwa kuona zile picha, beyond reasonable doubt, kuwa kitendo cha RC Makonda na askari kuonekana wanaingia kinabeba taariga ya kweli na haki kuwa kulikuwa na nia/dhamira ya kufanya uhalifu, na uhalifu huo ukafanyika? Kumbuka ripoti ya Nape licha ya mapungufu yake inatamka bayana kuwa RC Makonda alikuwa regular visitor wa hapo Mawingu, na tena inathibitisha kuwa hakuna uhalifu wowote uliofanyika. Waswahii wameamua kujitundika kwa kumeza mihemuko badala ya kutumia akili zao tena za kawaida tu.Mpunguze jazba za kibinadamu kwenye mkono wa sheria, mimi sikuzungumzia kama huyo ni Makonda au sio. Kama ushahidi ndio hiyo CCTV basi hautoshi kumsimamisha mtu mahakamani, kwasababu the image is not clear enough to pass the judgment. Umeleta mfano mzuri tu wa waalimu wa Mbeya. Tofauti ya hizo video mbili ni kwamba moja imekuwa recorded at broad daylight, na nyingine is at very law fuzzy light. Leo hii tukuchukulie askari kumi, na wote wamevaa kama hao waliokuwa kwenye hiyo CCTV, ukambiwa uwatambuwe kati ya hao kumi ni nani aliyeonekana kwenye CCTV, utaweza? Ndio maana Mwakyembe anasema ushahidi hautoshi kumpeleka mtu mahakamani maana atashinda, Chadema wanalijuwa hilo na ndio maana hawakwenda mahakamani kinyume na Lissu aluposema akitoka Arusha braki ya kwanza mahakamani. You can't proven guilty without reasonable doubt, with that kind of material.
Na wewe kwa nini usijiulize sababu ya kituo cha radio na runinga Mawingu kudai 'kuvamiwa' Alhamisi usiku lakini taarifa za 'kuvamiwa' wakazitoa Jumapili? Muda wa siku 2 zote walishindwa nini kutoa taarifa polisi?na wewe kwanini usijiulize kama alikuwa na kawaida ya kuenda kwanini safari hii waseme amevamia?
Hivi rafiki jambazi akija kujambazi atakuwa amekuja kukutembelea ee? Think big
Blackmail zote za makonda kumbe huwa anatumwa na Msukuma mwenzake hata GSM sasa wanapewa Tenda kimya kimya wapate pesa za kulea nyumba ndogo za msukuma mkubwa na msukuma mdogo, zile ndege zilizonunuliwa kwa cash GSM walipata 10% kubwa na kuna tenda kibao za kimya kimya ipo pesa nyingi ya kuwanunua wabunge wa CCM pia Ruge wa clouds ili wasitoe ushirikiano kwenye Dhambi zote zilizotendwa na Daudi Albert Bashite, ni vigumu bungeni hoja kupenya hasa endapo Tulia Naibu Spika atakuwa mjengoni, njia pekee ya kumaliza Tatizo ni kwenda Pemba watafutwe wazee wamsomee Elbadili Daud ingawa na mchawi sana lakini kwa kuwa dhambi zake ni za kweli lazima Elibadili itamshika tu na kumpa fundisho kama yule makamu wa Rais kule Zanzibar[/
Ni ujinga uliokithiri kutafuta kumlaani mtu ambaye TAYARI AMEJILAANI MWENYEWE KWA MATENDO YAKE.
Nimekupata mkuu...kwa kuoneza hoja yako, hata kama video hizo zingekuwa clear na zimepigwa kwenye day light/wazi, ni kwa vipi DPP atathibitisha jinai mahakamani kwa kuona zile picha, beyond reasonable doubt, kuwa kitendo cha RC Makonda na askari kuonekana wanaingia kinabeba taariga ya kweli na haki kuwa kulikuwa na nia/dhamira ya kufanya uhalifu, na uhalifu huo ukafanyika? Kumbuka ripoti ya Nape licha ya mapungufu yake inatamka bayana kuwa RC Makonda alikuwa regular visitor wa hapo Mawingu, na tena inathibitisha kuwa hakuna uhalifu wowote uliofanyika. Waswahii wameamua kujitundika kwa kumeza mihemuko badala ya kutumia akili zao tena za kawaida tu.
unasema ni kama kwake so hakuvamia polisi wenye silaha wa kazi gani? kuanzia lini mtu aende kwake na silaha labda apate taarifa kwamba mke wake yuko na mchepuko? na hata kama walikua kwenye operation kwa sababu yeye ni kiongozi iweje waingie na silaha sehemu ambapo kipindi kinaruka live? maana maelezo yanasema hivo. acha kutetea utumbo penye ukweli wekeni waziJe kuna uhakika gani kama alivamia au alikwenda? Clouds wenyewe wanasema Makonda pale palikuwa kama kwake alikuwa anaweza kuja au kukaa mpaka saa 9 usiku je ni uharibifu gani umefanyika Clouds wanasema hakuna sasa utasemaje hapo?
Kwanza nipe tafasiri ya kuvamia na kutembelea kuhusu kutembea na Police wenye silaha hyo ni kawaida yule ni kiongozi na kuna OPS anaweza kuzifanya usiku usiku
hii nchi yetu bwana kazi kwelikweli ssa tume imeundwa mtu anakimbia mahojiano ssa kma angekuwa innocent si angejisafisha huko??? hya kamati imetoa ripoti badala ifanyiwe kazi chs kushangaza muunda kamati ndoo katimuliwa....... afu na nyie badala ya kuhoji mnaanza kutetea ujingaJe kuna uhakika gani kama alivamia au alikwenda? Clouds wenyewe wanasema Makonda pale palikuwa kama kwake alikuwa anaweza kuja au kukaa mpaka saa 9 usiku je ni uharibifu gani umefanyika Clouds wanasema hakuna sasa utasemaje hapo?
Kwanza nipe tafasiri ya kuvamia na kutembelea kuhusu kutembea na Police wenye silaha hyo ni kawaida yule ni kiongozi na kuna OPS anaweza kuzifanya usiku usiku
sasa naelewa kwanni tanzania ina kila kitu ila mwaka wa 50 bado ni maskini sanaMaisha yanaendelea tu naona negativity strategy ni kila kona sasa,watu wa media nao,watu wa law nao.
But Serikali haiwezi kupangiwa wala kuendeshwa kwa matakwa ya watu wenye nia ovu kwa wanyonge.
Serikali naamini itaendelea kupigania kuhakikisha huduma kwa wanainchi zinakuwa bora zaidi
Hii kitu hukuisikia?Je kuna uhakika gani kama alivamia au alikwenda? Clouds wenyewe wanasema Makonda pale palikuwa kama kwake alikuwa anaweza kuja au kukaa mpaka saa 9 usiku je ni uharibifu gani umefanyika Clouds wanasema hakuna sasa utasemaje hapo?
Kwanza nipe tafasiri ya kuvamia na kutembelea kuhusu kutembea na Police wenye silaha hyo ni kawaida yule ni kiongozi na kuna OPS anaweza kuzifanya usiku usiku