Tetesi: Sakata la Makonda, Clouds na Nape kutua Bungeni na kupotelea huko

Tetesi: Sakata la Makonda, Clouds na Nape kutua Bungeni na kupotelea huko

Je kuna uhakika gani kama alivamia au alikwenda? Clouds wenyewe wanasema Makonda pale palikuwa kama kwake alikuwa anaweza kuja au kukaa mpaka saa 9 usiku je ni uharibifu gani umefanyika Clouds wanasema hakuna sasa utasemaje hapo?

Kwanza nipe tafasiri ya kuvamia na kutembelea kuhusu kutembea na Police wenye silaha hyo ni kawaida yule ni kiongozi na kuna OPS anaweza kuzifanya usiku usiku
Viwana sheria pori koko nyie nanyi mnatuchosha uvamizi ni uvamizi uwe u eleta madhara ama laa! Kwan mwizi akiingia ndani kwako na asiiibe inafuta uhalisia kuwa yeye ni mwizi!? Nyie viwanasheria pori koko huenda ndio mnao mpotosha aliye juu ndio maana mambo yanaenda shaghalabaghala.
 
Maisha yanaendelea tu naona negativity strategy ni kila kona sasa,watu wa media nao,watu wa law nao.

But Serikali haiwezi kupangiwa wala kuendeshwa kwa matakwa ya watu wenye nia ovu kwa wanyonge.

Serikali naamini itaendelea kupigania kuhakikisha huduma kwa wanainchi zinakuwa bora zaidi
Unafiki mwingine bwana hatari sana ,watanzania hamuishi kujipendekeza , hakjui kuusimamia ukweli ,au mnarubuniwa na mameno matamu ya aliye juu wakati haishi katika maneno yake!? Anaongea hili anatenda hili , hao wananchi wepi unaongelea mwenzangu wakati wananchi haohao ndio walio pata tetemeko kagera na wakatelekezwa , watumishi nao ni sehemu ya wananchi wametelekezwa kwa kuto pewa haki zao, wanachuo nao nisehemu ya wananchi wametelekezwa unamaanisha wananchi wa nchi gani wewe ndugu.
 
Umenifumbua macho sasa kwanini kumbe hata suala la daudi bashite watu hawajaenda mahakamani sababu ni moja tu kuwa wakienda mahakamani watashindwa lizungumzia vizuri saw sawa ngoja tuone
Hata mm nimeipenda. Bora jamaa wauchune tu, hii kitu iende bungeni. Maana masuala yake yakipepelekwa mahakamani yatakutana na kizingiti kiitwacho DPP
 
Sasa na ushahidi wote huo wahusika wanasubiri nini kwenda mahakamani? kama mahakama za Tanzania hawaziamini, kwanini wasitumie mahakama ya Afrika Mashariki? Watu wanoogopa kwenda mahakamani kwasababu mahakama itafichuwa na mengine yasiotakiwa kufichuliwa.
Hapana wamestukia mchezo mchafu wa DPP
 
kabla ya kutumia msemo jaribu kwanza kupima relevance ya msemo huo. msemo wako wa ''utakurupuka kuwatolea nguo na kuwaonyesha kama wewe ni mwanaume?'' ni mkubwa sana kulinganisha na issue ndogo sana kama ya kutafuta ukweli wa ufojaji wa vyeti wa daudi. hivi unadhani daudi angekua anasingiziwa na kwamba angekua na vyeti halali angekaa kimya na kubaki kuishia kutafuta huruma ya mungu kwa kwenda makanisa kibao ndani ya siku moja na kuishia kujidhalilisha kwa kulia hadharani kama mtoto mdogo?? mtu huyo kweli vyeti halali anavyo tu vimekaa sandukuni? suala la vyeti ni rahisi sana ni kama kumsukumiza mlevi kwenye mteremko tu. gavana wa nairobi aliposhutumiwa fasta akamwaga vyeti hadharani. huyo daudi wako anashindwa nini?
unasema ''si waje na ushahidi wao''.... duh. ushahidi gani ndugu? ulishamsikia makonda mwenyewe akidai wamsemao walete ushahidi?? siamini kama makonda na ma fa fa fa yote olevel anakuzidi kufikiri
Haha, mkuu kama nimekuwaza kwa mfano huo basi unisamehe, likini nia ilikiwa kukuonyesha kuwa sio kila kitu utakacho ambiwa umefanya na watu wasio kujuwa basi ni ukweli unefanya. Inawezekana Makonda au washauri wake wameamuwa kufight hii issue kwa kukaa kimya. Tukumbuke Makonda ni mwanasiasa japo ni mfanyakazi wa serikali, kilicho mezani kuhusu Makonda ni siasa, na wao watatumia hii issue kumuumbuwa yoyote atakayejitokeza kujaribu kilichokonowa. Kuna uwezekano mkubwa wamesha weka vyeti vizuri, wanataka yoyote aende mbele na wao wammalize.
 
Kuvamia ni tresspassing, kupita kwenye eneo linalomilikiwa na mt mwengine bila ruhusa yake kwa wakati ule. Hata kama unadesturi ya kutembelea hilo kila siku. Tresspassing haina Kiongozi wala Polisi. Kama walikuwa na wasiwasi wa chochote kibaya basi unaweza kuvamia lakini lazima uwe na Kibali chaPlisi au Mhakama na ukioneshe kwa muhusika unapotaka kuvamia.

Kutembelea ofisi ina wezekana kuingia wakati mwafaka na ukabaki na wenyeji wako masaa yote. Lakini huwezi kuitembelea ofisi wakati wa "awkward Hours" na wenyeji wako " peers" hawapo na ukashurutisha yafanywe kwa matakwa yako.
Mr Baraghash kwanza ningependa kujua "awkward Hours" ni kuanzia saa ngapi mpaka sana ngapi kwani tukio limetokea kati ya saa 4 -5 wakati kipindi kikiwa hewani sasa hyo "awkward Hours" ni kuanzia saa ngapi

Pili kuhusu kushurutishwa au kutishiwa ni vitu ambavyo havina uhakika kwani mtu akatazwi kusema wangeweza kusema hata walifanyiwa vitendo vya kikatili nani angekataa so wanaweza kusema chochote hili kuweka mazingira ya hoja yao kuonekana nzito au kutafuta huruma ya watu kuwa wameonewa pia inasemekana walipewa fedha je ni sawa kwa wao kupewa fedha kama ile ni kazi yao na wamechukua hela za watu wangapi kuwachafua watu?

Ushahidi pekee ambao mpaka sasa unajulikana ni ushahidi wa CCTV ambao unamuonyesha MK akiingia Studio bhasi hayo mengine ni porojo tu
 
Laughable! and he is a god I suppose this ministe you sayr, so his word goes. I live in a world of information and discern from it what makes sense and what doesn't. I can never be blind to humanity out of fear or for the masses. It doesnt take a genius to know, a crime was committed and I saw what I attest to in my statements here. Go on about your business now. I cant cure daftness!

Okay sasa unachanganya mambo, the minister was answering a question in regarding the government (the employer of Makonda) not taking any action. He said he hasn't got enough evidence to stand a trial if they dismiss him and Makonda decided sue the government for unfair dismissal. Let me give you an example, if you slap your wife, will that lead to you been dismissed at work? The answer is no, Its a domestic dispute. But if your wife decide to sue you and you end up in jail, that will implicate you position at work and lead to you been dismissed. So why no one is filling the case, why not even you "HekimaniBusara" not filling a case against Makonda? Your all relying on untested information hopping the president will buy it and take action.
 
Viwana sheria pori koko nyie nanyi mnatuchosha uvamizi ni uvamizi uwe u eleta madhara ama laa! Kwan mwizi akiingia ndani kwako na asiiibe inafuta uhalisia kuwa yeye ni mwizi!? Nyie viwanasheria pori koko huenda ndio mnao mpotosha aliye juu ndio maana mambo yanaenda shaghalabaghala.
Mkuu Kkimondoa hakuna Mahakama yeyote duniani inayomfunga mtu kwa tuhuma tu

Hv wanavyosema kuvamia , kutembelea na kushitukiza maana yake unajua ?

Madhara na hasara ndio yana determine ukubwa wa tukio si vifaa vilivyotumika kuingilia au kufanyia uharibifu
 
Mkuu Kkimondoa hakuna Mahakama yeyote duniani inayomfunga mtu kwa tuhuma tu

Hv wanavyosema kuvamia , kutembelea na kushitukiza maana yake unajua ?

Madhara na hasara ndio yana determine ukubwa wa tukio si vifaa vilivyotumika kuingilia au kufanyia uharibifu
Mhh ! Kasomee kuimba kwaya mkuu maana huna ulijualo kuhusu hicho unacho jifamya kukijua,.unacho kija wewe kuhusu tukio la clouds ni 0.25% ya tukio zima ndio maana unaleta uana sheria pori. Kama kiti hukijui usiwe shahidi mkae kimya tu yapite kama yalivyo pita huko kujipendekeza kwenu kuna dhihirisha ujinga mlio nao
 
Jipange tena
Linapotokea jambo lolote la kutisha au kuleta hofu binadamu yeyote mwenye ufahamu anangalia tukio ktk sehemu 2 na anajiuliza maswali 3

1 Kwa nini
2Kivipi
3Sababu

Leo mtu anayetangaza kabakwa lakini hata RB hana unatakiwa kujiuliza alibakwa kweli au yeye ndio alisababisha wambake

NOTE : Mazingira yanaweza kuvutia au kuamashisha waharifu au uharifu
 
Haha, mkuu kama nimekuwaza kwa mfano huo basi unisamehe, likini nia ilikiwa kukuonyesha kuwa sio kila kitu utakacho ambiwa umefanya na watu wasio kujuwa basi ni ukweli unefanya. Inawezekana Makonda au washauri wake wameamuwa kufight hii issue kwa kukaa kimya. Tukumbuke Makonda ni mwanasiasa japo ni mfanyakazi wa serikali, kilicho mezani kuhusu Makonda ni siasa, na wao watatumia hii issue kumuumbuwa yoyote atakayejitokeza kujaribu kilichokonowa. Kuna uwezekano mkubwa wamesha weka vyeti vizuri, wanataka yoyote aende mbele na wao wammalize.
wala hujanikwaza chochote. nadhani hujanielewa. maana yangu ni kwamba mfano ulioutoa unalenga kuonyesha kwamba kuwathibitishia watu kitu wanachodai sio kitu rahisi kiasi hicho hata kuufananisha na kuwavulia watu nguo. nimemaanisha kwamba sioni relevance hapo sababu suala la kutoa vyeti ni jepesi saaana saana. wala halihitaji jinsia. kuvua nguo inaweza kuwa ngumu sana maana audience yaweza kuwa na watoto, madada, mashangazi wapwa nk..
hayo unayosema yawezekana hakuna hata moja lenye mashiko. hawawezi kupambana na kashfa hii kwa kukaa kimya. tangu siku ya kwanza hajanyayua mdomo. halafu usijifanye kichwa ngumu kuelewa vitu vidogo. sijui kama unanielewa. wewe hadi sasa unaamini huyo bwana anaitwa paulo na kwamba ana vyeti halali? utakuwa wa ajabu sana maana unaamini ambacho hata muhusika mwenyewe hakiamini. unaamini kitu ambacho hata muhusika mwenyewe akikusikia atakushngaa.
 
Blackmail zote za makonda kumbe huwa anatumwa na Msukuma mwenzake hata GSM sasa wanapewa Tenda kimya kimya wapate pesa za kulea nyumba ndogo za msukuma mkubwa na msukuma mdogo, zile ndege zilizonunuliwa kwa cash GSM walipata 10% kubwa na kuna tenda kibao za kimya kimya ipo pesa nyingi ya kuwanunua wabunge wa CCM pia Ruge wa clouds ili wasitoe ushirikiano kwenye Dhambi zote zilizotendwa na Daudi Albert Bashite, ni vigumu bungeni hoja kupenya hasa endapo Tulia Naibu Spika atakuwa mjengoni, njia pekee ya kumaliza Tatizo ni kwenda Pemba watafutwe wazee wamsomee Elbadili Daud ingawa na mchawi sana lakini kwa kuwa dhambi zake ni za kweli lazima Elibadili itamshika tu na kumpa fundisho kama yule makamu wa Rais kule Zanzibar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha kuhusu Pemba
 
Chanzo cha yote ni blackmail za makonda Daudi kama kuna wa kulaumiwa ni hiyo ndoa ya wasukuma wawili wanaowabambikia watu kesi na kutumana kwenda clouds kufanya fujo kisha wanataka ushahidi, cctv zipo, walioporwa magari wapo, waliobambikiwa kesi wapo, na ushahidi wa mali zote za Daud upo, lakini kwa kuwa amefunga ndoa na msukuma mkubwa ni vigumu haki kutendeka popote Tanzania.
Ni lawama za genge Fulani. Kama kuna ushahidi wa yote hayo uweke hapa acha blabla
 
kama namuona Naibu spika anasema, "kanuni haziruhusu kujadili suala lilo mahakamani, kwakuwa Bonifas Jacob alifungua shaur hilo mahakamani mnamo tarehe fulan"

Ahaha ahahha, hii nchi ni hatar sana...
 
Mhh ! Kasomee kuimba kwaya mkuu maana huna ulijualo kuhusu hicho unacho jifamya kukijua,.unacho kija wewe kuhusu tukio la clouds ni 0.25% ya tukio zima ndio maana unaleta uana sheria pori. Kama kiti hukijui usiwe shahidi mkae kimya tu yapite kama yalivyo pita huko kujipendekeza kwenu kuna dhihirisha ujinga mlio nao
Si kila mtu anayesema anajipendekeza kwanza sina sababu ya kujipendekeza kitu pekee kinachoniunganisha na Tanganyika ni nchi ambayo nina ndugu zangu

Pia ww unaongea kimapenzi tu na ndio maana sijaona hoja yeyote unayoitoa zaidi ya kulazimisha kile unachoamini ww na sisi tuamini kitu ambacho si sawa

Sijui hzo takwimu za 0.25% umezitoa wapi na kwa vigezo gani na kwa kipimo kipi
 
wala hujanikwaza chochote. nadhani hujanielewa. maana yangu ni kwamba mfano ulioutoa unalenga kuonyesha kwamba kuwathibitishia watu kitu wanachodai sio kitu rahisi kiasi hicho hata kuufananisha na kuwavulia watu nguo. nimemaanisha kwamba sioni relevance hapo sababu suala la kutoa vyeti ni jepesi saaana saana. wala halihitaji jinsia. kuvua nguo inaweza kuwa ngumu sana maana audience yaweza kuwa na watoto, madada, mashangazi wapwa nk..
hayo unayosema yawezekana hakuna hata moja lenye mashiko. hawawezi kupambana na kashfa hii kwa kukaa kimya. tangu siku ya kwanza hajanyayua mdomo. halafu usijifanye kichwa ngumu kuelewa vitu vidogo. sijui kama unanielewa. wewe hadi sasa unaamini huyo bwana anaitwa paulo na kwamba ana vyeti halali? utakuwa wa ajabu sana maana unaamini ambacho hata muhusika mwenyewe hakiamini. unaamini kitu ambacho hata muhusika mwenyewe akikusikia atakushngaa.
Nilisema huko nyuma kwamba tusitumie hisia zetu za kibinadamu kwenye sheria. Sheria inasura tofauti na sura ya libinadu. Nadhami umeshasikia mtu anafanya mauwaji, na watu wamemiona, lakini sheria inaona vingine na kumwachia huru, mfano OJ Simpson. Mimi naweza kuamini yanatosemwa mtaani ni kweli, lakini sheria inaona hivyo na ndio maana nimekuwa nasema mwenye ushahidi wa kweli atusaidie aupeleke mahakani. Lakini mpaka sasa hivi ni bla bla za motandaoni ndio zimeshika hatamu.
 
Okay sasa unachanganya mambo, the minister was answering a question in regarding the government (the employer of Makonda) not taking any action. He said he hasn't got enough evidence to stand a trial if they dismiss him and Makonda decided sue the government for unfair dismissal. Let me give you an example, if you slap your wife, will that lead to you been dismissed at work? The answer is no, Its a domestic dispute. But if your wife decide to sue you and you end up in jail, that will implicate you position at work and lead to you been dismissed. So why no one is filling the case, why not even you "HekimaniBusara" not filling a case against Makonda? Your all relying on untested information hopping the president will buy it and take action.

Aaah, oh now I get your thought process. Moral standing is invalid, so if I witness lets say a child being raped and the victim apparently 'hasn't filed'. Only the court can confirm that is a crime. CCTV is not hear say, words are hear say. And we wonder why people are pulling out guns hadharani, kwa akili kama zako tu. I saw Makonda, i didnt hear it and for me..seeing is believing and I never said hearing makes a statement right. Whether a court finds him guilty or not, no one is blind. I will never victimize the victim, labda kwenyu ndo mshazoea kuwa watetezi wa jambazi. Every citizen of this country is a tanzanian child, the president is sworn to protect them. Eyes don't lie, the court is not a magical platform that can ever change that. Please, rais kwa kumkingia kifua makonda...how can the judicial system be trusted.
 
Aaah, oh now I get your thought process. Moral standing is invalid, so if I witness lets say a child being raped and the victim apparently 'hasn't filed'. Only the court can confirm that is a crime. CCTV is not hear say, words are hear say. And we wonder why people are pulling out guns hadharani, kwa akili kama zako tu. I saw Makonda, i didnt hear it and for me..seeing is believing and I never said hearing makes a statement right. Whether a court finds him guilty or not, no one is blind. I will never victimize the victim, labda kwenyu ndo mshazoea kuwa watetezi wa jambazi. Every citizen of this country is a tanzanian child, the president is sworn to protect them. Eyes don't lie, the court is not a magical platform that can ever change that. Please, rais kwa kumkingia kifua makonda...how can the judicial system be trusted.
This is everyone of you orchestrating Makonda should be prosecution in regard to Clouds incident go wrong, you all want to punish him even though you've no authority to do so. Ni taasisi mbili katika nchi hii zina uwezo wa kumuhukumu mtu, Mahakama na Rais. Rais anaweza kutoa amri ya mtu awekwe detantio with no trial and court can also sentence you to a jail time. Now, you saw him on CCTV but you've no power to pass a judgment on him, only the court of law and President can do so. His employer (gov.) has already made up there mind that there's no enough evidence to take any action. I've asked you before with all that evidence which you say is enough, why no one has taken any action including clouds themselves?
 
Nilisema huko nyuma kwamba tusitumie hisia zetu za kibinadamu kwenye sheria. Sheria inasura tofauti na sura ya libinadu. Nadhami umeshasikia mtu anafanya mauwaji, na watu wamemiona, lakini sheria inaona vingine na kumwachia huru, mfano OJ Simpson. Mimi naweza kuamini yanatosemwa mtaani ni kweli, lakini sheria inaona hivyo na ndio maana nimekuwa nasema mwenye ushahidi wa kweli atusaidie aupeleke mahakani. Lakini mpaka sasa hivi ni bla bla za motandaoni ndio zimeshika hatamu.
unaposema hakuna aliyejitokeza kwenda mahakamani hadi sasa ninakuelewa. kwa sababu mkuu ameamua kukaa kimya wakati kuna mambo mengine yaliyokua wazi hakukaa kimya basi inatakiwa watu wakapigie kelele mahakamani. lakini ninaweza kubet daudi anaweza kukataa kwenda mahakamani. hili limeshajithibitisha kwa matukio mawili au matatu yanayoonyesha yeye hayuko tayari wala rafiki yake hayuko tayari huyo mtu kuhojiwa. aliitwa na bunge akakataa (taarifa zinasema aliamrishwa na mkuu kutokwenda), alitafutwa na tume ya nape kuhojiwa akakataa (kwa kuingia mitini), mahakama ilimuita kwa kesi ya mbowe akakataa kwenda na hakuna kilichofanyika. wewe hapo unaonaje? kwa sababu raisi ana mamlaka makubwa kikatiba anaamua mambo kwa kiburi hicho na mambo yanakwisha. anamwambia hakuna kwenda nae haendi waliomuita wanaogopa na kupotezea. kuna mifano mingi ambapo raisi alichukua hatua hata bila kusubiri mtuhumiwa ashikwe na hatia na mahakama. mfano suala la Kabwe yeye alishtakiwa na Daudi bashite kwa rais wakiwa mkutanoni alichofanya raisi aliuliza wananchi ''nitubue nisitumbue?' wananchi wakasema ''tumbua''. raisi akamtumbua Kabwe hapohapo bila kuchelewa. hizi tuhuma dhidi ya Daudi Bashite mbona zimevuka mipaka na raisi asituulize kama atumbue au asitumbue?
Kitwanga picha za video/taarifa za kwenye tv zilionyesha akiwa anajibu maswali akiwa amelewa na he was right away sacked based on that very evidence. huyu Daudi cctv footages zinaonyesha akivamia kituo cha tv akiwa na armed mixed forces hilo ni kosa au sio kosa? raisi hajaziona? mbona hakumtumbua? hivi huyu raisi akimwambia Daudi hakuna kwenda mahakani kama ambavyo imeshatokea kwa mambo mengine tutafanyaje? kwanini tusiamini kuwa hata kuhojiwa na kamati ya nape ni rasi ndiye alimkataza? raisi ana power kubwa ila anachofanya ni kuzijaribu powers zake kuona zinatoaje matokeo na akiyaona matokeo ndio kwanza anazidisha kiburi. alizuia kuitikia wito wa bunge ikawa. alizuia kwenda mahakani ikawa sawa. kiburi kikazidi akazuia kuohojiwa na na kamati ya nape na huyo aliyeitisha mahojiano hayo akafukuziliwa mbali. kwa staili hiyohiyo ipo siku ataamuru kitu ambacho watu hawataamini kabisa.
hiyo ya mahakani unayoisema ndugu uko sahihi lakini na akijitokeza wa kumshitaki daudi mahakamni utaona kituko cha mwaka. hatakwenda mahakani na mahakama ndio itakaa kimya.
 
Back
Top Bottom