Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
BREAKING: Mjumbe wa kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa ligi kuu Tanzania bara Ndugu Filimon Ntahilaja amejihudhuru nafasi yake muda mfupi uliopita na kutoka nje ya kikao baada ya maamuzi ya kutolewa ambapo yeye anaamini hayakuwa maamuzi sahihi.
Imefahamika kuwa Ndugu Filimon Ntahilaja hakuridhishwa na sababu Nyepesi za kuahirisha mechi hiyo na kuvunja kanuni kwa makusudi.
Ndugu Filimon Ntahilaja Rasmi sasa ameamua kujiondoa katika nafasi zake za kiuongozi kwenye mpira wa Tanzania.
Imefahamika kuwa Ndugu Filimon Ntahilaja hakuridhishwa na sababu Nyepesi za kuahirisha mechi hiyo na kuvunja kanuni kwa makusudi.
Ndugu Filimon Ntahilaja Rasmi sasa ameamua kujiondoa katika nafasi zake za kiuongozi kwenye mpira wa Tanzania.