We umemaliza kila kitu muna kaua mtoto .......eti alimwambia peter " mtoto yupo serious anaumwa lolote linaweza kutokea" ....Tuache kurembaremba maneno na kujiumauma huyu mtoto ameuwawa na mama yake mzazi fullstop
Mashetani kama Muna kwenye ukoo wetu anatengwa
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]sawa kaka angu!Punguza ukali wa maneno wewe alaaaaaa!!!!!!
Katika maisha usiruhusu mwanao amjue hawara yako labda mmeomuna alikuwa anaishi maisha ya hovyo hovyo sana mbele ya mtoto.....mtoto anapokuona mama unalala na mababa tofauti tofauti anapata picha gani?
nimeona kalala jr naye anadai amemlea mtoto (aliwahi kuishi na muna).
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]alikuwa anapigwa macheni shingoni, hereni sikioni saa kubwa huko kichwani utasema muimbaji wa akudo impact....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa Dada angu[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]sawa kaka angu!
Hakika mimi mwenyewe nilishauri kukiko peter akubali ujinga huu ni bora aende kuzuia kuzikwa mpaka mahakama itoe muongozo
Mechi na auze kikubwa jamaa kagharamia kuzaa nini! Kulea bwana
Watakua washazikaWapeleke suala hili Mahakamani mapema j3 asubuhi
"Nyambulisha" kidogo usemi wako hapo juu Mkuu Hashpower.Anaweza asiwe biological father lakini akawa social au legal father!
Na siku atakayochanganyiwa kimba kwenye mbogaHayajakukuta tulia ......siku ukinyweshwa maji ya chupi ndo utajua
Miye nilijuwa yule ni kama Demonte au wale mbilikimo wa kinaigeria Aki na Ukwa.Yule kwani ni mtoto? Siyo hawara wa Muna kweli? Mimi ninachojua ni kuwa Muna kafiwa na kiben ten chake! haiwezekani mama mzazi umlee mwanao vile! Nasema haiwezekani!
Kama ulikuwa unamsikia tu shetani kanisani na misikitini basi ukikutana na Muna ndio shetani mwenyewe kwenye umbo la binadamu.Muna ndo nani ? Kuuliza sio ujinga
Mkuu,kumbe ukiachana na siasa za ccm wewe ni mtu mwenye akili nyingi namna hii!!!!!!Huyo Zacharia atawashinda kabisa na huo mwili kamwe hautozikwa mpaka mahakama ifanye maamuzi....mtoto alizaliwa ndani ya ndoa na baba amekuwa akimuhudumia kabisa...
Hapa Zacharia lazima awashinde na mimi namshauri akaweke zuio mahakamani Muna asizike kabisa.....
Nitamshangaa sana Zakaria akikubali Muna azike mtoto ,atumie njia yeyote ile mtoto asizikwe mpaka ukweli ujulikane...ikiwezekana ni kuanzisha mtiti kama njia ya mahakama itashindikana....Hii itakuwa fundisho kwa wanawake wanaopenda kuuza miili yao bila kujali kitakacho tokea mbele....
Hii kali ya mwaka!Wakati mwingine wanakuaga hawana uhakika, hawa malaya kama Muna hulala hata na wanaume wa3 hadi wa4 kwa siku 2 tuu, ataacha kujichanganya?
Nna jirani yangu hapa yeye aliwaambia ukweli mabwana zake wasubiri mtoto azaliwe wakapime maana walipewa papuchi wote wakipishana saa 16,