Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Kwa nini uharibu mawe ya kujengea nyumba.....!!!!
 
hili jambo linanitokea mimi mpaka muda huu kwa mke niliyeishi nae kwa miaka kumi na sita,mmoja wa watoto wangu ana utata mkubwa sana.nimekaa kimya nasubiria kinuke ila kiukweli ni mtihani sana wakuu.usiombe yakukute.
 
na ulemavu huo wawezamgusa huyo hawara yake kwamba alikuwa anatoka na mke wa mtu.kisu cha shingo kinamhusu huyo casto sijui castro.
 
Halafu kumbe alipewa hela ya kukata tiketi ya ndege yeye akachukua bus hapo huoni kama amechangia mtoto kudhofika kiafya mpaka anafika kenya ujinga wake umeleta madhara
ni mama mwizi wakati mwingine tunamlaumu mungu kumbe amemchukua mapema mtoto kuepusha ambayo yangejiri baadae,hakuna litokealo pasi na sababu.
 
huyo Muna ni kiboko. aliacha kumtambulisha mtoto kwa baba yake halisi akiwa hai anakuja kusema mtoto amekufa, kwa maslahi ya nani? wadada wa mjini bwana!!!!?
ni very kumanina hawa watu.
 
hili jambo linanitokea mimi mpaka muda huu kwa mke niliyeishi nae kwa miaka kumi na sita,mmoja wa watoto wangu ana utata mkubwa sana.nimekaa kimya nasubiria kinuke ila kiukweli ni mtihani sana wakuu.usiombe yakukute.
Si ukapime kwa siri...!!!DNA halafu hakuna utata mradi hajaja baba mwingine
 
Huyu jamaa labda aanze uanaume kwenye huu msiba alikua anagongewa na Kalala Jr mke wake huyo Muna na watu wote wanajua na anajiachia naye kila sehemu za starehe na Peter yupo kama Zombie hafanyi kitu
Mimi omera nijue nachapiwa.....
PI itanihusu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…