Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Hahahahahaha ila kalala junior ni mpuuzi sana ....tumbo kubwa kama pipa akili hana mjinga yule....anaona wenzie wanarumbana ye anaongeza upuuzi wake
 
haa haa huyo kalala jr naye kaibukia wapi? sasa kila mwanaume aliyeishi na muna akiibuka kuweka misiba, tutakuwa na misiba mingapi jameni..... nasubiri petit man naye aseme kitu
 
Kama anasema mtoto ni wa casto mbona hela za matibabu alikuwa anachukua kwa zakaria,Mimi siwezi nkafanyiwa huu upumbavu hata siku moja,zacharia inaonekana ni mpole sana halafu huyo muna naye inaonekana ni Malaya Malaya,wanawake kama hawa ndo wakupiga ngumi na ikiwezekana kuvunja miguu kabisa
 
Wanawake kama hawa ndo huwa wanauawa halafu wanawake wenzie wantakuja kusema ooo wanaume wana roho mbaya sijui wasulihishe kwa maongezi
 
Naona Demu anatoa Evidence kuwa aliuza mchezo nje ya ndoa.
Kama aliuza kwa nini amlazimishe PETER kutoa fedha. Mimi tungegawana majumba ya Serikali! Kumbe Ndo maana mtoto alikuwa akikuita Baba Peter maana kulikuwa na biological father pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…