Sakata la mwanafunzi kubakwa na mwalimu Jimmy lina ukakasi lakini ipo shida kwa mwalimu

Sakata la mwanafunzi kubakwa na mwalimu Jimmy lina ukakasi lakini ipo shida kwa mwalimu

Babdiko lina maswali mengi, kwa jinsi ninavyojua dom ukibakwa lazoma utasimulia tuu, na ingejulikana km umebakwa mapema sana.
Yule binti hakuwa bikira! Hivyo kubakwa kwake kuna mazingira ya kingono! Ni kama mkeo akibakwa na mtu alokuwa anamtongoza lazima ajishauri sana kufikia uamuzi wa kusema au kunyamaza!
Hivyo tunapomjadili huyu binti tujadili mazingira tabia yake kama ni Malaya ni udhaifu wa kibinadamu!
Tujadili waliostahili kumlinda je walitimiza wajibu?

Huyu binti hata kama ni Malaya kuna sehemu kakosewa kisaikolojia!

Ukiwa kama mzazi unaweza kuelewa maumivu ya mtoto!
Hata kama ni Malaya lakini hastahili kufanyiwa uzalilishaji wa kingono!

Nasimama kama mzazi
 
Huenda kalikuwa kanamtega lakini swali mwalimu Jimmy alifuata nn kwenye mabweni ya watoto wa kike?
Hamna shule ambayo mwalimu wa kiume anaingia bwenini kwa wanafunzi wa kike.
Pia huo muda anambaka ni kwamba hakukua na wanafunzi wengine wowote humo bwenini?

Na kitendo kwa kubakwa maana yake angetoka huko bwenini anachechemea unless denti naye alitoka ushirikiano.

Na kama alibakwa kweli, kitu cha kwanza angewasimulia wenzake kama aliogopa kuwaambia walimu.

Hii story ya mwalimu Jimmy ni kama haina uhalisia, inawezekana binti anadanganya.
 
Na yule aliyemyandua siku 38 utadili nae kwa level ipi?
Aliyemnyandua ni mwendelezo tu! Lakini ni bora huyo layman asiyejua misingi ya wanafunzi ...labda umbo la binti alimuona mtu mzima akaona ampe hifadhi, ukarimu uliozaa marupurupu ya ngono!
Ukatili wa muuza mkaa una afadhali kidogo vile mwanafunzi hakuwa na yunifom hivyo alionekana kama wanawake wengine tu!

Tatizo lipo kwa mwalimu mwenye dhamana ya kulinda na kusaidia palipoharibika yeye kaamua kuwa chanzo cha uharibifu! Huyu mwalimu hafai hata kama kasingiziwa lakini hafai

Nasimama kama mzazi
 
Hivi it is possible kubaka mwanafunzi bwenini? Kwa wale mnaoijua pandahill bwenini wanafunzi wanalala wangapi wangapi?
 
Hamna shule ambayo mwalimu wa kiume anaingia bwenini kwa wanafunzi wa kike.
Pia huo muda anambaka ni kwamba hakukua na wanafunzi wengine wowote humo bwenini?

Na kitendo kwa kubakwa maana yake angetoka huko bwenini anachechemea unless denti naye alitoka ushirikiano.

Na kama alibakwa kweli, kitu cha kwanza angewasimulia wenzake kama aliogopa kuwaambia walimu.

Hii story ya mwalimu Jimmy ni kama haina uhalisia, inawezekana binti anadanganya.
Elewa kiswahili binti hakuwa bikira unatakaa achechemee kwa lipi!

Kumuuingilia mtu pasipo lidhaa yake hata kama barmaid au kahaba ni ukatili mkubwa!

Hata kama hakuna ushahidi mwalimu Jimmy hafai kulea watoto!
Pia uongozi wa shule nao hauaminiki ubadilishwe!
 
Elewa kiswahili binti hakuwa bikira unatakaa achechemee kwa lipi!

Kumuuingilia mtu pasipo lidhaa yake hata kama barmaid au kahaba ni ukatili mkubwa!

Hata kama hakuna ushahidi mwalimu Jimmy hafai kulea watoto!
Pia uongozi wa shule nao hauaminiki ubadilishwe!
Ushahidi alibakwa na mwalm Jimmy uko wapi, au chuki binafsi tu zinawasumbua

Umeachana na RC saivi umehamia uongozi wa shule
 
Hivi it is possible kubaka mwanafunzi bwenini? Kwa wale mnaoijua pandahill bwenini wanafunzi wanalala wangapi wangapi?
Inawezekana kabisa ...watu wanafanya mapenzi kwenye uwanja wa mpira sembuse bwenini ambako ...wanafunzi wengine wamefurushwa amebakia Jimmy na binti kwenye kanga! Hiyo si ni pernat sasa mwl Jimmy aliona kapata dakika ya 90 akamaliza mchezo
 
Yule wala simfanyi chochote, ila huyu ambaye nimemkabidhi amlee mwanangu.
Kabisa yule muuza mkaa kafaidi kwa ukarimu, shida IPO kwa huyu aliyetakiwa kumlinda binti shuleni ndiyo hafai kuliko hata muuza mkaa
 
Yule binti hakuwa bikira! Hivyo kubakwa kwake kuna mazingira ya kingono! Ni kama mkeo akibakwa na mtu alokuwa anamtongoza lazima ajishauri sana kufikia uamuzi wa kusema au kunyamaza!
Hivyo tunapomjadili huyu binti tujadili mazingira tabia yake kama ni Malaya ni udhaifu wa kibinadamu!
Tujadili waliostahili kumlinda je walitimiza wajibu?

Huyu binti hata kama ni Malaya kuna sehemu kakosewa kisaikolojia!

Ukiwa kama mzazi unaweza kuelewa maumivu ya mtoto!
Hata kama ni Malaya lakini hastahili kufanyiwa uzalilishaji wa kingono!

Nasimama kama mzazi
Tumpe ticha jimmy nafasi ya kumsikiliza ndugu, huo ni upande mmoja wa denti. Umemsikiliza ticha wacha tumpe nafasi.
 
Yule binti mwanafunzi aliyepotea!
Alipatikana akiwa amewekwa kimada na muuza mkaa!

Anasimulia binti huyo alifikia uamuzi huo baada ya kunyanyaswa shule na mwalimu Jimmy!
Binti anazidi kusimulia ilikuwa majira ya chakula alichelewa kufuata chakula, akiwa bwenini alikuja mwalimu akawafurusha wanafunzi!
Binti mwanafunzi kwakuwa alikuwa katoka kuoga akiwa na kanga alikabwa na mwl Jimmy akabakwa!
Baada ya hapo binti akaamua kutorokea mtaani hadi pale alipookotwa na muuza mkaa!

Ukiangalia kwa inje huyu binti unaweza kumuona ni anatabia za kimalaya Malaya huenda alimtega tega sana mwl Jimmy hata kumuahidi penzi lakini muda ulikuwa bado (playing around) yaan kama hataki nataka hadi pale mwl Jimmy akaamua kujichukulia ngono mkonononi! (Kama kweli)

Upande mwingine wa shilingi hata kama binti ni Malaya lakini ifike mahali wanaopewa dhamana hawastahili kuwa sehemu ya uharibifu!

1. Hata kama binti anadanganya je mwalimu Jimmy alifuata nini bwenini la wasichana wakati huwa kuna matron?
2. Hata kama binti anadanganya kwanini mwl atajwe tajwe?
3. Mwl Jimmy naye hatufai kabisa katika safari ya elimu ingawa kabinti kana umalaya lakini siyo sababu ya mwalimu kukiuka miiko ya ualimu
4. Yule binti tujiulize kwanini hajakwenda kwa mwalimu mkuu? Jibu ni jepesi tu HOFU, AIBU na kuhisi kutosikilizwa au kutopewa nafasi ya kusikilizwa huenda kulimfanya ajione hawezi kupata msaada!
5. Kwanini hakwenda kwa wazazi? Jibu ni lilelile hata wazazi wanajua tabia za kimalaya huenda mtoto aliona nako siyo pa kukimbilia sana pengine walimu walishawaambia wazazi mtoto mkaidi! N.k

Hivyo huyu binti pamoja na matatizo yake lakini haimuachi mwl Jimmy salama!

Huyo mwalimu Jimmy hafai kuitwa mwalimu hata kama wanafunzi ni Malaya!

Alichokifanya mwalimu Jimmy hakina tofauti na dakitali anaemuingilia mjazito kisa kamvulia nguo basi dakitali aone mama ananyege kumbe chango la uzazi tu
Nahisi binti ni msanii

Na si ajabu jamaa alishakua anakula hako katoto

Anyhow it is wrong for jimmy KULA wanafunzi
 
Ndiyo maana nikasema hata kama binti ni Malaya lakini mwalimu Jimmy hatufai kwenye malezi ya watoto! Nasimama kama mzazi!

Yaani ni sawa na mharifu aseme alikuwa mikononi mwa polisi lakini polisi mmoja alimpiga sana ! Halafu watu mseme huyo alokamatwa hana haki!

Natamani watu muelewe haki na wajibu pasipo kuangalia aliyefanyiwa ni Malaya au bikira!
Hakuna ushahidi wa kumfunga mwalimu Jimmy lakini hafai kuendelea kulea watoto! Ahamishiwe shule ya wavulana tu! Hafafai kubakishwa hapo hata kama hakuna ushahidi lakini hafai
Tangu lini Mwalimu wa Discipline akapendwa na wanafunzi?

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Tumpe ticha jimmy nafasi ya kumsikiliza ndugu, huo ni upande mmoja wa denti. Umemsikiliza ticha wacha tumpe nafasi.
Watoto wahojiwe je uadirifu na tetesi za tabia ya mwalimu kwa watoto wengine
 
Na hapa ushahidi ni mgumu maana alikuwa kwa baba Jose, sasa vipimo itanasa upande wa nani![emoji848]
Vipimo kwa mtu ambaye keshazoea ni ngumu

Huyo atajua mwenyewe na keshajitangaza kubakwa ategemee bullying yakutosha
 
Kwa ushahidi unathibitisha kuwa mwalimu jimmy alimbaka huyo Binti.

Mtu yoyote anaweza sema wewe umebaka Jana ila kama Hana ushahidi ni kazi bure.

Kama kweli alibakwa na mwalimu ushahdi uletwe na hatua zichukuliwe.

Halafu vipi kuhusu BABA JOSE muuza mkaa . Naona wanataka kumtoa kwenge equation zigi wamuangushie mwalimu jimmy

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mihemuko ya Watanzania utaiweza?
 
Yan binti abakwe na anyanyaswe halafu asiende kutoa taarifa kwenye uongozi wa shule
Kwanini asingetorokea nyumbani kwa wazazi akatorokea kwa wanaume
 
Back
Top Bottom