Yaonesha unapendekeza tujikite zaidi kwenye chuki binafsi kwanza ya hoja baadaye.
Hiiiiii bagosha!
Ukweli mchungu:
Sakata la Ndugai likifika mwisho fairly tutegemee:
1. Utawala na mihimili yenye uhuru kamili
2. Watawala kuwapo madarakani kwa ridhaa ya wananchi
3. Watawala kuwajibika kwa wananchi
4. Kuzaliwa kwa katiba mpya ya wananchi.
5. Kuzaliwa kwa Tanzania mpya.
Vita vitakwisha fairly si kwa hisani bali kwa kupiganwa haswa. Vita hivi anapigana Ndugai peke yake?
Wako wapi washirika?
Au tumechagua kuwa mashabiki (wapenzi watazamaji) tukiwa mkao wa kula?
What a shame?