Haya tuambie alienda wapi baada ya kutoroka shule?Daah mkuu, umewahi kumuina baba Jose kwa picha?
Baba Jose ni mzuka, hakuna kitu kama hicho, ni script.. tu, wazazi wameongea wazi walioewa maelekezo waongee nini na waache nini, means ukeli ulifichwa kwa makusdi ndio maana wanataka haki itendeke
Ukute ndugu yake au ana chuki na panda hillMtoa mada hajafikiri Kama great thinker
Ulisemalo ni kweli kwa maelezo ya awali ya wazazi wa Ester alikutwa na kitabu cha majibu kwenye mtihani aliponyanganywa hicho kitabu na kupewa karatasi nyingine kuanza upya vitimbi vilianzia hapo.Shule zote walimu wanoko hawakosekani huwenda Jimmy ni miongoni mwa hao walimu wanoko, huwenda Jimmy alikua ana muadhibu sana binti so binti ana chuki nae sana ndoman alipotoroka akaamua kuandika kabarua kakipuuzi kuhalalisha utorokaji wake.
Naamini nina uhakika 100% huyo binti hakubakwa ila ni chuki tu kwa huyo mwalimu, sasa yamefika papaya kwa umalaya wake ndo ameamua amuangishie mwalimu ili kujisafisha kwa umalaya wake.
Miaka 18, form five unabakwa bwenini halafu unaendelea na masomo hadi kesho yake, unasingiziwa kuingia na nondo unatandikwa bakora za kutosha. Unatoroka shule siku 38 huonekani.Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.
Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.
Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.
Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.
Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"
Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?
Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.
Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.
Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;
1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI
WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.
MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?
3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?
HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).
1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?
2. Kwanini alimtaja Jimmy?
3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?
4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?
SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.
ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.
Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.
Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.
2. Mmewakosea wazazi wote.
3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.
ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
Je, bint alikwenda ku report kwa dada mkuu? Matron Je? Kwa mama yake je?Ni saw huenda binti ana tabia mbaya, hii haimpi mwalimu uhalali wa kumdhalilisha.
Kazi ya mwalimu ni kubadili tabia.
Pili, maringira ya kulizima hili sakata liko wazi, mwenye shule analinda sifa ya shulw.
Kuhusu mahakama, huu ndio wito wa wazazi sasa wanataka ukwwli na haki vipatikane
Mtoto muongo huyo, hizo kashfa kwa Mwalimu Jimmy ni namna ya kumshusha huyo Mwalimu akilenga kumkomoa labda kwa kuwa yupo strict sana.Huyo mtoto sio wa kumwamini, atafute Kiki nyingine.
Nenda kawasaidie kutoa ushahidi polisi ili tuujie vizuri umalaya wa Esther.Yaani kwa akili zako kabisa unaamini binti wa level hiyo uliyoaandika anaweza kufanya ujinga huo?
Unaifahamu lakini Panda hill? Ficha ujinga wako ndugu.
Yaani unaamini kbs hao watu hawakuwa wanajua lolote lile, ila baada ya kauli ya waziri mkuu ndani ya masaa 24 wakajua yupo kwa muuza mkaa.
Tutumie akili zetu kufikiria kwa udadisi.
Toto halina akili, form five hajui haki zakeKomenti nyingi za wanaume wenzangu zinaonyesha ushamba, ukosefu wa utu na kutokuthamini watoto na wanawake.
Hata malaya anayejiuza haihalalishi abakwe.
Ufike wakati tuheshimu watoto wetu wa kike na kuwathamini ili kuwa na walezi bora wa jamii kwa baadae.
Mother kamtengenezea bint yake cover story to save their faces, not knowing ndiyo wanazidi kujivua nguo. Kwa kutunga uongo wa aina hiyo inadhihirisha hiyo familia ni ya aina ya matukio ya hivyo ila kwa hiari.Yaani ubakwe afu uende kwenye mitihani afu ndo ukimbie shule
Usiende polisi bali kwa mwanaume ambaye anakupeleka kwa mtu
Exactly [emoji817]Binti wa kidato Cha 5, mwenye akili timamu, anasoma masomo ya sayansi. Baada ya kubakwa na mwalimu Jimmy anaondoka kwenda kukaa kwa muuza mkaa Baba Jose badala ya kwenda kuripoti polisi au kurudi na kuripoti nyumbani.
Pelekeni mahakamani ili tijue mbivu na mbchi. Uongo na ukweli haupikiki chungu kimoja. Ma classmates wataitwa na tabia halisi ya Esther itawekwa hadharani
Hili ulilolinena naliona pia. Walimu wanaitwa wanoko, ni wale wanaosimamia ipasavyo utaratibu na Sheria za shule. Wale Huwa wanaifanya shule iwe kwenye mstari sahihi at the expense of laizer fair teachers. Maua Kwa mwamba Mwal. JimmyShule zote walimu wanoko hawakosekani huwenda Jimmy ni miongoni mwa hao walimu wanoko, huwenda Jimmy alikua ana muadhibu sana binti so binti ana chuki nae sana ndoman alipotoroka akaamua kuandika kabarua kakipuuzi kuhalalisha utorokaji wake.
Naamini nina uhakika 100% huyo binti hakubakwa ila ni chuki tu kwa huyo mwalimu, sasa yamefika papaya kwa umalaya wake ndo ameamua amuangishie mwalimu ili kujisafisha kwa umalaya wake.
Komenti za insta lini zimewahi kuwa bora?