Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Daah mkuu, umewahi kumuina baba Jose kwa picha?
Baba Jose ni mzuka, hakuna kitu kama hicho, ni script.. tu, wazazi wameongea wazi walioewa maelekezo waongee nini na waache nini, means ukeli ulifichwa kwa makusdi ndio maana wanataka haki itendeke
Haya tuambie alienda wapi baada ya kutoroka shule?
 
Shule zote walimu wanoko hawakosekani huwenda Jimmy ni miongoni mwa hao walimu wanoko, huwenda Jimmy alikua ana muadhibu sana binti so binti ana chuki nae sana ndoman alipotoroka akaamua kuandika kabarua kakipuuzi kuhalalisha utorokaji wake.

Naamini nina uhakika 100% huyo binti hakubakwa ila ni chuki tu kwa huyo mwalimu, sasa yamefika papaya kwa umalaya wake ndo ameamua amuangishie mwalimu ili kujisafisha kwa umalaya wake.
Ulisemalo ni kweli kwa maelezo ya awali ya wazazi wa Ester alikutwa na kitabu cha majibu kwenye mtihani aliponyanganywa hicho kitabu na kupewa karatasi nyingine kuanza upya vitimbi vilianzia hapo.
 
Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
Miaka 18, form five unabakwa bwenini halafu unaendelea na masomo hadi kesho yake, unasingiziwa kuingia na nondo unatandikwa bakora za kutosha. Unatoroka shule siku 38 huonekani.
Ina maana hata akili ya kuripoti nyumbani hakuwa nayo?
 
Ni saw huenda binti ana tabia mbaya, hii haimpi mwalimu uhalali wa kumdhalilisha.
Kazi ya mwalimu ni kubadili tabia.

Pili, maringira ya kulizima hili sakata liko wazi, mwenye shule analinda sifa ya shulw.

Kuhusu mahakama, huu ndio wito wa wazazi sasa wanataka ukwwli na haki vipatikane
Je, bint alikwenda ku report kwa dada mkuu? Matron Je? Kwa mama yake je?
Kama ni kweli ameyasema hayo, basi ameelekezwa na mama yake. Ila ongea ya yule mama at first it was obvious kuwa kuna kitu alikua akikitarajia kutoka kwa bint yake, hivyo hizi simulizi ni cover story kwa familia.
Huyo bint ni mkubwa sana kutokewa na hayo yote halafu aishie kukimbilia kwingine na isiwe kwao.
 
Yaani kwa akili zako kabisa unaamini binti wa level hiyo uliyoaandika anaweza kufanya ujinga huo?

Unaifahamu lakini Panda hill? Ficha ujinga wako ndugu.
Yaani unaamini kbs hao watu hawakuwa wanajua lolote lile, ila baada ya kauli ya waziri mkuu ndani ya masaa 24 wakajua yupo kwa muuza mkaa.
Tutumie akili zetu kufikiria kwa udadisi.
Nenda kawasaidie kutoa ushahidi polisi ili tuujie vizuri umalaya wa Esther.
 
Yaani ubakwe afu uende kwenye mitihani afu ndo ukimbie shule
Usiende polisi bali kwa mwanaume ambaye anakupeleka kwa mtu
 
Komenti nyingi za wanaume wenzangu zinaonyesha ushamba, ukosefu wa utu na kutokuthamini watoto na wanawake.

Hata malaya anayejiuza haihalalishi abakwe.
Ufike wakati tuheshimu watoto wetu wa kike na kuwathamini ili kuwa na walezi bora wa jamii kwa baadae.
Toto halina akili, form five hajui haki zake
 
Yaani ubakwe afu uende kwenye mitihani afu ndo ukimbie shule
Usiende polisi bali kwa mwanaume ambaye anakupeleka kwa mtu
Mother kamtengenezea bint yake cover story to save their faces, not knowing ndiyo wanazidi kujivua nguo. Kwa kutunga uongo wa aina hiyo inadhihirisha hiyo familia ni ya aina ya matukio ya hivyo ila kwa hiari.
 
Screenshot_2023-07-01-15-47-07-315_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-48-48-805_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-50-25-296_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-51-19-356_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-51-40-574_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-52-16-814_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-52-50-056_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-53-23-021_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-53-52-510_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-54-37-120_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-55-06-527_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-55-57-781_devian.tubemate.home-edit.jpg
Screenshot_2023-07-01-15-56-31-202_devian.tubemate.home-edit.jpg
 
Binti wa kidato Cha 5, mwenye akili timamu, anasoma masomo ya sayansi. Baada ya kubakwa na mwalimu Jimmy anaondoka kwenda kukaa kwa muuza mkaa Baba Jose badala ya kwenda kuripoti polisi au kurudi na kuripoti nyumbani.

Pelekeni mahakamani ili tijue mbivu na mbchi. Uongo na ukweli haupikiki chungu kimoja. Ma classmates wataitwa na tabia halisi ya Esther itawekwa hadharani
Exactly [emoji817]
 
Shule zote walimu wanoko hawakosekani huwenda Jimmy ni miongoni mwa hao walimu wanoko, huwenda Jimmy alikua ana muadhibu sana binti so binti ana chuki nae sana ndoman alipotoroka akaamua kuandika kabarua kakipuuzi kuhalalisha utorokaji wake.

Naamini nina uhakika 100% huyo binti hakubakwa ila ni chuki tu kwa huyo mwalimu, sasa yamefika papaya kwa umalaya wake ndo ameamua amuangishie mwalimu ili kujisafisha kwa umalaya wake.
Hili ulilolinena naliona pia. Walimu wanaitwa wanoko, ni wale wanaosimamia ipasavyo utaratibu na Sheria za shule. Wale Huwa wanaifanya shule iwe kwenye mstari sahihi at the expense of laizer fair teachers. Maua Kwa mwamba Mwal. Jimmy

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Walimu wengi wanaijidai wanoko na wataalam wa kurekebisha nidhamu shuleni ndio wanaongoza kwa umalaya na tabia chafu kuwafanyia wanafunzi,
Wanaficha tabia zao kupitia njia iyo.
Mwanafunzi anakuwa muoga kutoa taarifa endapo kafanyiwa ubaya kwa kuhofia ukali wa mwalimu, kama hujapitia changamoto za unyanyasaji shuleni huwezi kuelewa!...
Haki itendeke msitoe maoni kwa mihemko
 
Back
Top Bottom