Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Mimi mtoto wa kike siwezi kumuamini hata kwa machozi ya damu, haswa hawa watoto wa siku hizi.
Mimi ni mzazi pia .

Mleta mada unafikia hitimisho gafla sana
 
Alikiri na alisema ni msamaria mwema kwake, na km maelezo ya mama wa genge ni tofauti, mbna yeye Esther haku kana??

Kwan huyo kupotea kwake kumechukua mda gani had kupatikana?
je uongozi wa shule haupo? ama ni shule ya kata nachoamini shule mpaka iwe mabweni sio ya kilelemama kwa hio break ya kwanza........ kuna walakini
 
Esther wa miaka 18,kidato cha 5 si mtoto!
In otherwords ni "mwalimu" wa form 1 to 4.
Hayo aliyoyaeleza akihojiwa ipo siku yatajiweka peupeee peeee!
Sina shaka na imani yangu;
Wanafunzi ni waongo sana,
Wanafunzi si wa kuwaamini sana,
Wanafunzi ni wachomganishi mnoo!

Anaeleza haya baada ya mwezi mmoja na nusu! Kweli? Kweli? Kweli?
SIMWAMINI !
Je,mnamkumbuka Babu Seya?
 
safii.. there chances ya kwamba Esther nae ni muhuni tu!
 
Mr Q
Haijalishi mtoto huyu alikuwa akiliwa na baba Jose au la.
Haihalalishi kubakwa na mwingine.

My concern ni ubakaji wa mwalimu na RC na RPC kuwapa wazazi maelekexo ya kuongea mbele ya midia.

Why waelekezawe?
Ulikuwepo wakati wanapewa maelekezo ya kile cha kuongea
 
Yaan watu wanapoteza muda buree, ni kuliachaa tyuuh likaolewe kwa baba jose wake, amuache mwalimu wa watu, khaaah
 
Mwalimu Jimmy is guilty Hata Km hakubaka inaelekea ndio Tabia zake kunyanyasa watoto mpaka wanaona shule ni ngumu, atafutwe ahojiwe na wabobezi, asiendelee kufanya psychological damage kwa watoto wengine zaidi, ingependeza kama atasimamishwa kupisha uchunguzi juu yake
 
je uongozi wa shule haupo? ama ni shule ya kata nachoamini shule mpaka iwe mabweni sio ya kilelemama kwa hio break ya kwanza........ kuna walakini
Hivi mtoto aliwezaje kutoka shuleni?
 
Hakuna hiki kitu, bas huyo mama wa Gengeni alokutwa na Esther ndo atoe maelezo kamiliii, mbna rahisii tyuuh.
Ndio maana unaambiwa kuwa huu mkanda una mashaka naona unakomaa kama vile ulimshikia baba Jose aweke😂
 
Hivi mtoto aliwezaje kutoka shuleni?
hapo sasa hio ni kicheche imeshindikana kama ameweza toka nje ya shule na mlinzi hajamwona si balaa jingine. Waongeze mafuta ya taa kwenye chakula nahisi waliacha alikuwa high sana huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…