Sakata la Plea Bargain limenikumbusha Kisa hiki cha Wezi

Sakata la Plea Bargain limenikumbusha Kisa hiki cha Wezi

Warejeshewe pesa zao, ushahidi si upo.
Kina bashite wabanwe warudishe pesa si wanazo mali
 
Bandiko lako kuu na ulichoandika hapo yawezekana una hoja ila umeshindwa kuiweka wazi kwa sababu unasukumwa na mtizamo wako kisiasa na chuki kwa sababu uliguswa kwenye maslahi yako binafsi
Hii scenario ya ukimsema jiwe , basi umeguswa na maslahi yako nayo ilikuwa ni mbinu ya jiwe kuwapumbaza watu,
Umenikumbuaha wezi wa mitaani south .africa , hilbrow na berea, back in late 90s
Wanakukaba halafu wakati wanakusachi na kukuibia wanalalamika kuwa wanakudai. Huwezi.kupata msaada maana kila mpitanjia anahisi kuwa mnajuana na hao wezi
 
Hii scenario ya ukimsema jiwe , basi umeguswa na maslahi yako nayo ilikuwa ni mbinu ya jiwe kuwapumbaza watu,
Umenikumbuaha wezi wa mitaani south .africa , hilbrow na berea, back in late 90s
Wanakukaba halafu wakati wanakusachi na kukuibia wanalalamika kuwa wanakudai. Huwezi.kupata msaada maana kila mpitanjia anahisi kuwa mnajuana na hao wezi

😂😂😂
Hata Wezi WA uswahilini Huko mwananyamala au Manzese na Tandale wanatumia mbinu hiyohiyo ukikutana nao Huko vichochoroni.
 
😂😂😂
Hata Wezi WA uswahilini Huko mwananyamala au Manzese na Tandale wanatumia mbinu hiyohiyo ukikutana nao Huko vichochoroni.
Haha sikujua kama hii mbinu iliwahi kuwepo huku Tanzania , nimeishi sana mwananyamalla ila niliporudi nyumbani sikutamani tena kuishi huko
Jiwe alikuwa akitaka kukusulubu kwanza anakupa jina la "mpiga deal". kutoka hapo kila atakachokufanyia watanzania hawatahoji.
 
Haha sikujua kama hii mbinu iliwahi kuwepo huku Tanzania , nimeishi sana mwananyamalla ila niliporudi nyumbani sikutamani tena kuishi huko
Jiwe alikuwa akitaka kukusulubu kwanza anakupa jina la "mpiga deal". kutoka hapo kila atakachokufanyia watanzania hawatahoji.

Tena ukisimamisha demu WA uswazi vichochoroni, sio ajabu wakaja wahuni wakijifanya ATI ni mdogo wao huku wakikusaura
 
Kiranja mkuu hakuwa Mwizi.

Kwa taarifa Yako alipandikizwa na sisi WAMILIKI WA SHULE, Ili atatue tatizo la wizi na uhuni shuleni na alifanikiwa Kwa kiasi kikubwa.

Waizi mlipandikiziwa JASUSI na liliporudi kufanya KAZI lililosomea mkadhani linawasaliti.

Tunza comment hii,

AJAYE atawafurahisha.
 
Sisi tulishahitimu
Kiranja mkuu hakuwa Mwizi.

Kwa taarifa Yako alipandikizwa na sisi WAALIMU Ili atatue tatizo la wizi na uhuni shuleni na alifanikiwa Kwa kiasi kikubwa.

Waizi mlipandikiziwa JASUSI na liliporudi kufanya KAZI lililosomea mkadhani linawasaliti.

Tunza comment hii,

AJAYE atawafurahisha.

Shule muda Sana.

Headboy Jizi, aliibia sio tuu Wanafunzi, aliibia mpaka shule na waalimu wake.
Sifa zake zilivuka mipaka ha shule mpaka zikafika mtaani.

Headboy Jizi, aliyetaka kuiba pekeake Kwa Uchoyo.

Headboy atakayekuja akae akijua kama anataka kuwa Msafi awe msafi kweli na sio mambo ya kinafiki.
 
Sisi tulishahitimu


Shule muda Sana.

Headboy Jizi, aliibia sio tuu Wanafunzi, aliibia mpaka shule na waalimu wake.
Sifa zake zilivuka mipaka ha shule mpaka zikafika mtaani.

Headboy Jizi, aliyetaka kuiba pekeake Kwa Uchoyo.

Headboy atakayekuja akae akijua kama anataka kuwa Msafi awe msafi kweli na sio mambo ya kinafiki.
Jinai Haina Graduation kwamba utahitimu,

Pia JINAI Haina UKOMO.

Unaeza pandishwa parade Ukiwa na miaka 100 na ukacharazwa mbele ya wajukuu zako.

Kuhusu ajaye kuwa msafi usiwe na shaka,

KATIBA ya Shule inatengezwa na WAMILIKI vzr Ili AJAYE asiwe Mwizi.
 
Jinai Haina Graduation kwamba utahitimu,

Pia JINAI Haina UKOMO.

Unaeza pandishwa parade Ukiwa na miaka 100 na ukacharazwa mbele ya wajukuu zako.

Kuhusu ajaye kuwa msafi usiwe na shaka,

KATIBA ya Shule inatengezwa na WAMILIKI vzr Ili AJAYE asiwe Mwizi.

Sawa. Kila Jambo zuri linahitaji Kujitoa haswa
 
Back
Top Bottom