Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Na Malima ni mjanja mjanja sana,naona kakutana na mtoto wa mjini zaidi πEbu fikilia watu 6 halafu yeye anataka ale mzigo mwingi, kapewa kidogo KASUSA! anakimbilia kumwaga mboga
Sasa Mkurugenzi kasema atamwaga ugali wote wa madili haramu ya RC!
Umenena vema. Maccm yote ni majizi. Hapo mkurugenzi alikula peke yake,ndio maana dili limebumburukaKuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza
RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!
Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!
Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vinamgongano mkubwa sana wa kimaslahii nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!
Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!
Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!
RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!
Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!
Inje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!
Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!
Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!
Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!
Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!
Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!
UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!
Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Malima hawezi mzidi akili yule Mkurugenzi! Mkurugenzi nyota yake iko juu sanaNa Malima ni mjanja mjanja sana,naona kakutana na mtoto wa mjini zaidi π
Ngoja tuendelee kuoangalia hii filmMalima hawezi mzidi akili yule Mkurugenzi! Mkurugenzi nyota yake iko juu sana
Unajua RC ni boss wa DED? Unajua kikatiba RC ni Rais wa Mkoa?Pumba nazo dili! Naomba ulete huo mchele sasa hapa
Una mawazo ya kijinga sana! Akili yako yote imejaa wizi!Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza
RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!
Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!
Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!
Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!
Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!
RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!
Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!
Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!
Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!
Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!
Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!
Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!
Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!
UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!
Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Ni kweli hana ajualo, maana baada ya kuchimba suala la biashara ya viwanja hivyo ilivyokwenda, kakimbilia neno Dili tu.Umeandika pumba! Kitu hujui uliza uelimishwe
Kazi na majukumu ya RC na Mkurugenzi.Hiyo ni siasa ni kama vile ukisikiaga WANANCHI NDO MABOSI wa VIONGOZI!Unajua RC ni boss wa DED? Unajua kikatiba RC ni Rais wa Mkoa?
Kiwanja kimeuzwa kwa kufuata taratibu zote! Sema RC Hajaramba mgaoNi kweli hana ajualo, maana baada ya kuchimba suala la biashara ya viwanja hivyo ilivyokwenda, kakimbilia neno Dili tu.
Tafadhali mtoa uzi rudi jikoni upate taarifa kamili. Kama suala ni la kueleza kazi za RC na Mkurugenzi, ni vyema ufungue Uzi mwingine wenye kichwa cha habariKazi na majukumu ya RC na Mkurugenzi.
Hizi ni stori za darasa la nne B.Unajua RC ni boss wa DED? Unajua kikatiba RC ni Rais wa Mkoa?
Tena kakariri vibaya huyu!Hizi ni stori za darasa la nne B.
Kiuhalisia, vyeo vyote ambavyo MTEUZI ni mmoja vinalingana. Ukubwa wa cheo unategemeana na MTEULUWA ana ushawishi gani kwa MTEUZI.Tena kakariri vibaya huyu!
unaumwa si bureHiyo ni siasa ni kama vile ukisikiaga WANANCHI NDO MABOSI wa VIONGOZI!
Mkurugenzi ni jembe au mikono ya serikali,
Miradi yote ya maendeleo iko chini ya Mkurugenzi! Huyo rais mkoa ni kiremba tu, rais ambaye hawezi kula bila saini ya Mkurugenzi ni kujifariji tu
Nyie ni wapuuzi tuHizi ni stori za darasa la nne B.
Sijui viongozi wa nchi hii hupatikanaje... Malima ni mtu wa hovyo sana... tangu akiwa NW Madini ni mlafi, mchawi, mwasherati asiyeelezeka na mchimvi sana.Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza
RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!
Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!
Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!
Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!
Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!
RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!
Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!
Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!
Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!
Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!
Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!
Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!
Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!
UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!
Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Wapuuzi soon watakufiraNyie ni wapuuzi tu
Ni mtoto wa kigogo mwenzao. Hakuna CV nyingineSijui viongozi wa nchi hii hupatikanaje... Malima ni mtu wa hovyo sana... tangu akiwa NW Madini ni mlafi, mchawi, mwasherati asiyeelezeka na mchimvi sana.
Tunaomba source ya hii taarifaNgoma mbichi! Mkurugenzi kavurugwa kasema atamwaga madili haramu ya RC !
Mpigie simu atakujibu hivyoTunaomba source ya hii taarifa
Na huenda alipoulizwa "vipi?" akajibu "vipisi".Mkurugenzi amekula peke yake,Malima kachukia ππ