Sakata la RC Malima na Mkurugenzi Mwanza halina tofauti na wale wauguzi kubishania vifaa tiba feki

Sakata la RC Malima na Mkurugenzi Mwanza halina tofauti na wale wauguzi kubishania vifaa tiba feki

Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza

RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!

Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!

Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vinamgongano mkubwa sana wa kimaslahii nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!

Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!

Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!

RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!

Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!

Inje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!

Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!

Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!

Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!

Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!

Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!

UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!

Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Umenena vema. Maccm yote ni majizi. Hapo mkurugenzi alikula peke yake,ndio maana dili limebumburuka
 
Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza

RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!

Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!

Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!

Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!

Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!

RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!

Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!

Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!

Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!

Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!

Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!

Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!

Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!

UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!

Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Una mawazo ya kijinga sana! Akili yako yote imejaa wizi!

Mpuuzi mkubwa wee!
 
Umeandika pumba! Kitu hujui uliza uelimishwe
Ni kweli hana ajualo, maana baada ya kuchimba suala la biashara ya viwanja hivyo ilivyokwenda, kakimbilia neno Dili tu.

Tafadhali mtoa uzi rudi jikoni upate taarifa kamili. Kama suala ni la kueleza kazi za RC na Mkurugenzi, ni vyema ufungue Uzi mwingine wenye kichwa cha habari Kazi na majukumu ya RC na Mkurugenzi.
 
Unajua RC ni boss wa DED? Unajua kikatiba RC ni Rais wa Mkoa?
Hiyo ni siasa ni kama vile ukisikiaga WANANCHI NDO MABOSI wa VIONGOZI!
Mkurugenzi ni jembe au mikono ya serikali,
Miradi yote ya maendeleo iko chini ya Mkurugenzi! Huyo rais mkoa ni kiremba tu, rais ambaye hawezi kula bila saini ya Mkurugenzi ni kujifariji tu
 
Ni kweli hana ajualo, maana baada ya kuchimba suala la biashara ya viwanja hivyo ilivyokwenda, kakimbilia neno Dili tu.

Tafadhali mtoa uzi rudi jikoni upate taarifa kamili. Kama suala ni la kueleza kazi za RC na Mkurugenzi, ni vyema ufungue Uzi mwingine wenye kichwa cha habari Kazi na majukumu ya RC na Mkurugenzi.
Kiwanja kimeuzwa kwa kufuata taratibu zote! Sema RC Hajaramba mgao
 
Tena kakariri vibaya huyu!
Kiuhalisia, vyeo vyote ambavyo MTEUZI ni mmoja vinalingana. Ukubwa wa cheo unategemeana na MTEULUWA ana ushawishi gani kwa MTEUZI.

Mfano: RC Makonda alikuwa na nguvu kuliko hata Waziri Mkuu au Kamanda Sirro.

DC Sabaya alikuwa na nguvu kubwa kuliko RC Anna Mgwira.
 
Hiyo ni siasa ni kama vile ukisikiaga WANANCHI NDO MABOSI wa VIONGOZI!
Mkurugenzi ni jembe au mikono ya serikali,
Miradi yote ya maendeleo iko chini ya Mkurugenzi! Huyo rais mkoa ni kiremba tu, rais ambaye hawezi kula bila saini ya Mkurugenzi ni kujifariji tu
unaumwa si bure
 
Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza

RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!

Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!

Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!

Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!

Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!

RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!

Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!

Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!

Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!

Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!

Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!

Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!

Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!

UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!

Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Sijui viongozi wa nchi hii hupatikanaje... Malima ni mtu wa hovyo sana... tangu akiwa NW Madini ni mlafi, mchawi, mwasherati asiyeelezeka na mchimvi sana.
 
Back
Top Bottom