Sakata la RC Malima na Mkurugenzi Mwanza halina tofauti na wale wauguzi kubishania vifaa tiba feki

Sakata la RC Malima na Mkurugenzi Mwanza halina tofauti na wale wauguzi kubishania vifaa tiba feki

Kwani anautofauti gani na walamba asali wengine?
Tofautisha serikali na mtu binafsi, serikali ikiamua kuvaana na wewe, inakuvaa kama taasisi, na haitakuachia kirahisi, Sabaya unamuona, alitegemea ulinzi wa mtu binafsi, sio taasisi, na ili ulindwe na taasisi fata matakwa na maslahi ya nchi, sio vitumbo vyenu hivyo vimejaa vibambara na viporo vya ugali wa mtama.

Anayelalamika hapo ni serikali, Malima ni kisemeo tu Cha serikali, anaongea kwa niaba ya hao wananchi wanaokaa Jiji la mwanza, I mean, ni wananchi ndio wamesema mmeuza kiwanja Chao wakati waliwapa mkitunze, na wao wamekitunza kwa miaka dahari, wamepita wakurugenzi na maafisa ardhi wangapi hapo? Walikuwa wajinga kukiacha nyie ndio mna akili? Hata kufanya Public Private partnership mlishindwa? Shnz typ

Hivyo viwanja Wana mwanza unaowaona hapo mjini ndio wamiliki, sio nyie mliokaa hapo kwenye hizo ofisi
 
Sasa ambacho hujaelewa nini!..
CCM ni tiketi ya kuwa Mkurugenzi lakini siyo Wakurugenzi wote ni wanasiasa!

Tofautisha mwanasiasa na mwanachama!
Wakurugenzi ni wanachama lakini siyo lazima wawe wanasiasa!

Ni kama mshabiki wa simba na mchezaji ....huwezi kusema mashabiki wa soka ni wasakata kabumbu
Una uhakika unachosema, Yani uwe na cheti halali Cha ndoa alafu unasema hujafunga ndoa.
 
Una uhakika unachosema, Yani uwe na cheti halali Cha ndoa alafu unasema hujafunga ndoa.
Huo mfano haufanan! Nimekwambia kuwa mwanacha wa siasa ni tofauti sana na kuwa mwanasia!

Mwanasiasa ni mhamasishaji wa siasa, na mwana chama ni mfuasi wa mlengo wa siasa!

Tofautisha mwanasiasa na mwanachama!
 
Tofautisha serikali na mtu binafsi, serikali ikiamua kuvaana na wewe, inakuvaa kama taasisi, na haitakuachia kirahisi, Sabaya unamuona, alitegemea ulinzi wa mtu binafsi, sio taasisi, na ili ulindwe na taasisi fata matakwa na maslahi ya nchi, sio vitumbo vyenu hivyo vimejaa vibambara na viporo vya ugali wa mtama.

Anayelalamika hapo ni serikali, Malima ni kisemeo tu Cha serikali, anaongea kwa niaba ya hao wananchi wanaokaa Jiji la mwanza, I mean, ni wananchi ndio wamesema mmeuza kiwanja Chao wakati waliwapa mkitunze, na wao wamekitunza kwa miaka dahari, wamepita wakurugenzi na maafisa ardhi wangapi hapo? Walikuwa wajinga kukiacha nyie ndio mna akili? Hata kufanya Public Private partnership mlishindwa? Shnz typ

Hivyo viwanja Wana mwanza unaowaona hapo mjini ndio wamiliki, sio nyie mliokaa hapo kwenye hizo ofisi
Ulitaka tuache nyumba za tope katikati ya mji?
 
Ulitaka tuache nyumba za tope katikati ya mji?
Zilipokuwepo mlipata hasara gani? Mlibuni uwekezaji? Serikali Ina maeneo ya wazi mangapi nchi hii? Mlitafuta private public partnership? Mililiboresha angalau kwa muda mfupi litumiwe na machinga?. Parking? Mnada wa jioni?

Hamna justification yoyote zaidi ya ufisadi mkubwa na wa kishenzi kabisa,

Kauzeni na viwanja vya furahisha,magomeni na mirongo
 
Mkurugenzi hawezi kula peke yake kwani mwenye sauti ya mwisho ni RC au DC. Mf. Mradi mkubwa ni lazima RC, DC kusaini. Akikataa kusaini hakuna kinachoendelea.
 
Hiyo ni siasa ni kama vile ukisikiaga WANANCHI NDO MABOSI wa VIONGOZI!
Mkurugenzi ni jembe au mikono ya serikali,
Miradi yote ya maendeleo iko chini ya Mkurugenzi! Huyo rais mkoa ni kiremba tu, rais ambaye hawezi kula bila saini ya Mkurugenzi ni kujifariji tu
You Know Nothing...

Sent from my CPH2197 using JamiiForums mobile app
 
Zilipokuwepo mlipata hasara gani? Mlibuni uwekezaji? Serikali Ina maeneo ya wazi mangapi nchi hii? Mlitafuta private public partnership? Mililiboresha angalau kwa muda mfupi litumiwe na machinga?. Parking? Mnada wa jioni?

Hamna justification yoyote zaidi ya ufisadi mkubwa na wa kishenzi kabisa,

Kauzeni na viwanja vya furahisha,magomeni na mirongo
Ulitaka nawe tukupe mgao wa shilingi ngapi? Tutahakikisha vijumb vyombe mshenzi katikati ya cbd tunavimalize hiwe mvua iwe jua.
 
Wanatafuta za kustaafia ambako V8, posho na nyumba ya bure halzitakuwepo tena
 
Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza

RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!

Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!

Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!

Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!

Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!

RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!

Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!

Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!

Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!

Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!

Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!

Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!

Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!

UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!

Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Sahihi kabisa.
 
Sasa huyo malima si ndio aliibiwa na mwanamke anayejiuza bunduki.

He is incompetent.

Hakuna haja ya kuandelea kumlea mtu ambaye hana uwezo.

Kama baba yake alionewa fadhila zimetosha.

Hatuwezi endelea kuingiza Taifa hasara kwa kufurahishana tu.

Fukuza huyu mjinga na wengine kama yeye the likes of Nape and Makamba.
 
Sasa huyo malima si ndio aliibiwa na mwanamke anayejiuza bunduki.

He is incompetent.

Hakuna haja ya kuandelea kumlea mtu ambaye hana uwezo.

Kama baba yake alionewa fadhila zimetosha.

Hatuwezi endelea kuingiza Taifa hasara kwa kufurahishana tu.

Fukuza huyu mjinga na wengine kama yeye the likes of Nape and Makamba.
Hana uadilifu wowote
 
Kuna tuhuma nzito zimetangazwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza

RC Adam Malima ameonekana akimtuhumu Mkurugenzi wa jiji kuhusika na utapeli wa kuuza viwanja viwili vyenye thamani ya Bilioni moja!
Hii ni taharuki na tuhuma nzito sana!

Ukitafakali kwa kina jambo hili linaibua maswali mengi sana yasiyo na majibu!

Vyeo hivi vya Mkurugenzi na RC vina mgongano mkubwa sana wa kimaslahi, nashauri viandaliwe utaratibu mwingine ikiwezekana cheo kimoja kifutwe ili kuondoa mgongano wa maslahi kwasababu!

Wakurugenzi ni wasimamizi wakuu wa watendaji katika eneo husika! Wakurugenzi ndiyo wenye wataalamu katika eneo husika, wakurugenzi ndiyo mikono ya serikali na vitendea kazi!,wakurugenzi siyo mwanasiasa ingawa wanatoka kwenye chama cha siasa!

Tofauti kubwa iliyopo kwa RC&DC ni hivi!

RC/DC ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama katika eneo, ni Icon ya serikali hasa kwenye masuala ya Kiitifaki (protocol)! Ni auxiliary leader katika eneo! Mikono yake mikubwa ni Polisi peke yake! Kwasababu wataalam mpaka migambo wote ni wa wakurugenzi!

Yaani RC/DC akitaka kula peke yake ni kwenye madili haramu ya kipolisi!

Nje ya hapo RC na DC hawezi kula bila mikono na baraka ya Mkurugenzi! Maana mambo yote ya dokomenti yako chini ya Mkurugenzi!

Hivyo tukirudi kwenye sakata la Mwanza!
HAKUNA MWEMA PALE lakini SHIDA Ni ule ulaji UMELIWAJE!

Mkurugenzi anaweza kutusua dili peke yake na likaisha bila msaada wa RC/DC
Na hili ndiyo maana wakurugenzi wanaonekana ni wabaya kila siku!

Mkurugenzi siyo mwanasiasa bali ni mtaalam! Hivyo kula yake haihitaji blaah blaah na makamera!

Kosa lililotokea Mwanza ni Mkurugenzi kula peke yake!

Na kama TAMISEMI ikikurupuka katika mgogoro huu tutarajie watapokea migogoro mingine mingi kutoka kwa RC na ma DC inchi NZIMA!

UKIONA ENEO HALINA MGOGORO UJUE MKURUGENZI NA RC/DC WANAKULA SAHANI MOJA!

Hakuna Eneo ambalo Halina upigaji! Wote wezi tu sema wanazungukana!
Wote wapigaji, sema mmoja kakosa mgao
 
Hana uadilifu wowote
Huyu mpuuzi analelewa kila siku kwani yeye nani nchi hii.

Inachosha kuandelea kumsikia huyu mjinga.

To hell witj kikwete na huruma za alichomfanyia baba yake.

Baba yake ndio aliiba pesa za serikali na kufunga akaunti zake haikuwa dhambi.
 
Back
Top Bottom