Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Unamjua nani alimwagia hiyo Polonium na kwanini?Polonium ndio inamsumbuwa Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.
Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
Mbona hakuna mwanachadema aliye tayari kutaka suala la Richmond lirudishwe bungeni? Mnaogopa nini? Si ndio mngefurahi ili mkulu aliyepita atajwe na Lowassa ajutetee tuujue ukweli? Kama wanaume kweli, ombeni review!Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:
Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais
Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.
Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:
1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?
2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?
3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?
4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?
5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?
6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?
7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?
8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?
9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?
Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.
Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.
Halafu siasa zenyewe ni za kiushabiki tu hazina hata tija sijui nani aliroga WatanzaniaTuwe wastaarabu kidogo
Siasa hizi zisitufanye tupoteze utu wetu
Si jambo jema sana, kumuongelea mtu aliyetangulia mbele za haki
Tumuache apumzike kwa amani
Siasa ni mambo ya kupita tu hapa duniani
Leteni hoja ya Richmond Bungeni, acheni, kubabaisha.View attachment 499376
Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.
Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.
Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.
Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.
Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma![/QUOTE
Ok kama Lowassa hasafishiki basi nani aliye msafi? Fikilia sana hapa ni HOME OF GREAT THINKER
Unaishi kwa kuzani zani tu.. Lowasa hasafishiki ng'oooWangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?
Acheni visingizio. Kanuni zinaruhusu. Mwabieni TL awasomee. Hoja irudishwe bungeni ili FISADI Lipewe Natural justice.Kujiuzulu ulikuwa uwajibikaji wa kisiasa tu. Sasa mnaweza kumpeleka mahakamani tu. Hilo suala bungeni lilishatoka!
Waambieni wabunge zenu warudishe hoja ya Richmond Bungeni, mbona mnabweka sana??Polonium ndio inamsumbuwa Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.
Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
Mbona leo mmekuwa watetezi zaidi wa Kikwete na waoga wa kuirudisha hoja Bungeni??Kuhusu kauli ya Mnyika namuunga mkono na ndio maana hata mimi nilileta huu uzi hapa chini:
Hoja ya kurudisha Bungeni sakata la Richmond iende sambamba na kuondoa kinga ya Rais
Ukweli ni kwamba ukipitia taarifa ya kamati ya Mwakyembe mwanzo mwisho huwezi kuamini kuwa yote yale yalifanyika bila bwana fulanj kujua.Ni mwendawazimu pekee ndio atakaeamini hivyo.
Mtu mwenye akili lazima ujiulize maswali haya 9 yafuatayo hapa chini:
1.Kwanini Lowassa hakuhojiwa?
2.Lowassa angehojiwa na katika kujittetea unadhani angemtaja nani?
3.Na kama angetaja mtu/watu katika kujitetea,unadhani angetaja wa chini yake tu bila kumtaja bwana fulani?
4.Je,unadhani Mwakyembe na kamati yake hawakujua hatari ya kumuhoji Lowassa?
5.Kama wangemuhoji Lowassa, unadhani Mwakyembe na timu yake walikuwa tayari kumtaja(kumu-implicate) mh.sana wa wakati huo katika taarifa yao walioiwasilisha Bungeni?
6.Wangemtaja mh.sana wa wakati huo katika ripoti yao,unadhani nini kingefuata?
7.Unadhani Lowassa nae angeweza kueleza kila kitu mbele ya Bunge kabla ya kujiuzulu?
8.Na yeye kama angeeleza ukweli wote anaoujua,unadhani nini kingefuata?
9.Unadhani angeondoka Lowassa peke yake bila fulani kuingia matatani?
Haya mambo yanawezekana tu katika nchi za wenzetu na sio huku kwetu tunakowaona kina fulani kama miungu watu.
Tuache kupotezeana muda na kudanganyana.
View attachment 499376
Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.
Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.
Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.
Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.
Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Afadhali umeliona hili...Wanasiasa sio watu wa kuwaamini ni watu wa kuwaelewa.
Hapa kuna watu wanapata shida maana waliamini fisadi, sasa Wanalazimika kuamini ni Msafi.
Matumizi mabaya ya Imani haya
Unaongea nini wewe??Mwakyembe uwezo wake wa kufikiri na kuweka kumbukumbu ni "Bash.ite" Zerooo.
PhD yake anaidhalilisha utadhani nayo haikufuata utaratibu.
Huyu hata DAB akimwambia akamsafishie choo ataenda ilimradi tu asipoteze uwaziri.
Amepitia wizara ngapi mpaka sasa na alifanya nini kwenye wizara hizo? Kama sio kufumbiwa macho kwa madudu aliyoyafanya kwenye hizo wizara asingekuwa ofisini mpaka sasa.
Hii yote haisafishi sakata la RichmondMwakyembe uwezo wake wa kufikiri na kuweka kumbukumbu ni "Bash.ite" Zerooo.
PhD yake anaidhalilisha utadhani nayo haikufuata utaratibu.
Huyu hata DAB akimwambia akamsafishie choo ataenda ilimradi tu asipoteze uwaziri.
Amepitia wizara ngapi mpaka sasa na alifanya nini kwenye wizara hizo? Kama sio kufumbiwa macho kwa madudu aliyoyafanya kwenye hizo wizara asingekuwa ofisini mpaka sasa.
Hahahahaha...mkuu umemmaliza huyu.****
ULIWAHI KUONA WAPI DUNIANI MWIZI ANAOMBA ALIOWAIBIA WAMFIKISHE MAHAKAMANI,KAMA SIO KUNAJITOA FAHAMU KAMA MALAYA
Uchaguzi upi..?? Ninawasiwasi hii nchi itakuwa inavichaa wengi kuliko ule utafiti ulivyoeleza..!!Mbona uchaguzi alishinda ni usafi gani unaongelea wewe