Uchaguzi 2020 Sakata la Sheikh Ponda na "masheikh rasmi"

Labda Askofu Kakobe baada ya kunyoosha mikono juu. Ni next to impossible kiongozi wa Wakristo kufanya hivyo kwani wengi wapo wapo tu kwa hofu kubwa ya kupatwa na yale ya Kakobe.
 

MIE NAIoGOPA SANA AMANI ISIYO NA HAKI kwa mawazo yangu kwenye haki amani inakuwepo lakini kama haki hakuna kuna woga unyonge kukatatamaa ( labda hiyo ndio mnayoiita amani) au...........

 
Mkuu, mimi mwenyewe ni CCM na kura yangu ni kwa Magufuli.
Lakini linapokuja swala la imani, chama changu (CCM) kwa miaka mingi imetukandamiza Waislam, kwa kutuundia chombo (Bakwata) kinacho tetea serkali kuliko Waislam.

Kwahiyo Ponda yuko sahihi kuwaamasisha Waislam waipigie chadema kwa kuamini kitawafuta machozi yao.

NB: Upande wangu, Wakrsto wamesha shika hatamu nchi hii, hivyo hata CDM wakishinda sidhani kama wataifuta Bakwata.

Tena ndio wenda hata Adhana watasema kelele.
 
Sasa Mzee wangu, ikitokea Wakatoliki au walutheri au wakristo wote kwa ujumla wakatangaza kura ni kwa flani(upande tofauti na aliochagua sheikh wako)kama alivyofanya Sheikh Ponda unadhani nini kitatokea baada ya matokeo!?
wanazo sababu za msingi kama za ponda? ishu hapa sio kuamka asubuhi na kutangaza hakuna atakae wafuata,ponda ana sababu na ndio maana wanajaribu kumtungua wanashindwa"hawajawahi kuwasaidia hao watu ponda anaowasemea"
 
Mbona waislam hamujiamin had muunde vi taasisi ili kuwapa comfort, mbona sisikii kuusu balaza la wakiristo, mbona sisikii chochote kuhusu mabalaza ya dini zingine au u islam ni deficiency flan ktk mind ...mnateseka sana , na shida zote duniani nyinyi ndo chanzo kwann kila siku nyinyi tu? IS, ALSHABAB BOKO HARAMU ..ifike wakati mji mji tathmin basi ndugu zetu
 
Andrew Nyerere ameshajamba shuzi huko Facebook.
 
Mazingira ya kisiasa ya wakati huo na Sasa ni tofauti kabisa.

Isitoshe kipindi hicho mambo ya Uamsho yalikuwa hayajashika kasi mpaka ilipofika mwaka 2012 ndio upepo ulibadilika.
 
Sasa Mzee wangu, ikitokea Wakatoliki au walutheri au wakristo wote kwa ujumla wakatangaza kura ni kwa flani(upande tofauti na aliochagua sheikh wako)kama alivyofanya Sheikh Ponda unadhani nini kitatokea baada ya matokeo!?

Waambie hao wakristo wamuunge mkono wamtakaye. Ila waisilamu wanapeleka kura zao kwa mtenda haki.
 
Simama na umma wa kiislamu, achana na genge la watu wa dhulma.

Fikiria kuna kesho akhera.
 

Kwani uliwahi kumuunga mkono lini? Yeye hataki kuungwa mkono bali anaongea ukweli fullstop.
 
Wewe huna akili, TEC na CCT ni mabaraza ya nini?
 
Wewe nawe ni wale wale, 'wavurugaji na wapenda mivutano'

Waislamu wamebadilika sana, siku hizi huwazolewi kirahisi

Wewe na Shehe Ponda mnapenda mivutano

Wakati nyinyi hampendi mivutano bali mnapenda makondoo.
 
Waambie hao wakristo wamuunge mkono wamtakaye. Ila waisilamu wanapeleka kura zao kwa mtenda haki.
Wakristo ni wanufaika mkubwa wa utawala huu wa kidhalimu wa ccm, lakini wakristo wengi huwa hawaitaki kabisa ccm na kiasili watu werevu huwa wanapigia kura upinzani.

Angalia mikoa yote yenye watu werevu ccm haitakiwi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…