Sakata la Spika Mstaafu Ndugai kukupa 'Ukweli' wako ulilikabili Mwenyewe 'Kimadaha' kwanini leo hii Sakata la Mafuta unataka usaidiwe Kusemewa?

Sakata la Spika Mstaafu Ndugai kukupa 'Ukweli' wako ulilikabili Mwenyewe 'Kimadaha' kwanini leo hii Sakata la Mafuta unataka usaidiwe Kusemewa?

Mbona Sakata la Mafuta na Wananchi Kulalamika / Kulilalamikia ni rahisi sana Kulifafanua kwa Watanzania ( Wananchi ) na Wakalielewa hata kuliko lile la Spika Mstaafu Ndugai kukupa Ukweli wako kuhusu 'Kukopakopa' hovyo sasa iweje tena leo unataka Watu wakusaidie Kukusemea ili Watanzania wasikulaumu na wasikuone upo upo tu Dar es Salaam, Zanzibar na Dodoma?
Honorary in chief of zayumba.

FB_IMG_16487125746142391.jpg
 
Ashushe mafuta ya kula tupike hata matembele na dagaa mwanza.tutakufa kwa njaa.
 
Naona hata deni ka taifa si haba “Deni la Serikali limeongezeka kwa TZS trilioni 7.76, sawa na asilimia 13.7.”

Akiambiwa ukweli anakuwa mkali kuwa anaonewa kwa kuwa ana maumbile ya kike.
Ni bora mama samiah anaweka wazi kuliko yule aliyekuwa anakopa at the same time anatuaminisha "Tunajenga kwa fedha zetu wenyewe" anaficha madeni ya kitaifa kwa msingi gani sijui.
 
Kuna mtu alitabiri humu mama atakua Rais then CHADEMA kuchukua nchi itakua kama mserereko nimeanza kuona dalili. .....
Ukisema Chadema watachukua nchi ni big NO!
Sema upinzani watachukua Nchi.
Chadema walipoteza imani kwa wananchi tangu 2015.
Mpaka sasa hawaeleweki wanacho simamia. Sijui risasi, au demokrasia ama ufisadi au katiba, yaani ni vurugu tupu!
Imekuwa ngumu sana kwao kuongelea matatizo ya wananchi.
 
Na kweli "mnadunda" maana mambo hayaendi kabisa.

Mama anatawala kwa dharau kubwa akiamini watanganyika ni wasahaulifu kiasi kwamba hata uwafanyie ubaya kiasi gani baada ya muda mfupi wameshasahau.

Historia inamwonesha hivyo...ila atambue shida na taabu ni mwalimu.
Wewe kama mambo yako hayaendi wakati huu ambapo pesa ziko mitaani basi elewa kuwa una matatizo binafsi. Ama hujitumi au huelewi maana ya kujituma ni nini.
 
Back
Top Bottom