Sakata la Tozo: Watawala wakisisitiza lazima zilipwe, wasikilize wananchi pia wanataka nini

Sakata la Tozo: Watawala wakisisitiza lazima zilipwe, wasikilize wananchi pia wanataka nini

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Naweza kuliita hili sakata la tozo kama kaa la moto!

Wakati watawala wakijaribu kwa kila namna kutetea tozo hizo zilizoidhinishwa na waheshimiwa wabunge wetu, upande wa pili wa wananchi wanazipinga vikali tozo hizo na hata kudiriki kuziita kuwa ni "day robbery".

Wakati huo huo wale wafanyibiashara, kama vile kampuni za simu na mabenki, ambao "wamelazimishwa" na serikali yetu, kuzipokea tu hizo tozo, wakishuhudia kupungua sana kwa wateja kwenye makampuni yao, kutokana na huo "ujambazi" unaofanywa na Serikali yetu, dhidi ya wateja wao ambao ni wananchi.

Hebu tujiulize, hivi ni kwanini watawala wetu wanazivunja sheria zao wenyewe walijoziwekea za kutomtoza mwananchi wake tozo ya zaidi ya mara moja kutokana na chanzo kile kile?

Hebu watawala wetu naomba mtueleze, hivi ni kwanini mfanyakazi wa nchi hii anakatwa kodi mara 2 kutokana na mshahara wake kukatwa PAYE, na papo hapo mshahara wake ukiingia benki ukatwe tena tozo?!

Hivi sasa tunashuhudia watawala wetu wakijiumauma, huku wakiliona hilo jambo ni la moto kweli kweli! Hebu nijaribu kueleza chanzo kikuu cha tatizo hili, ni kutokuwa na wawakilishi wa wananchi, ambao ni wabunge, ambao ni chaguo la wananchi.

Hivi unaweza kuwa na wawakilishi wa wananchi, wanaoweza kupitisha sheria za ukandamizaji, kama walivyofanya hawa wabunge wetu, kuhusiana na haya masuala ya tozo? Kama kungekuwa na uchaguzi ulio huru na haki, basi hizi dhuluma zote tunazofanyiwa na watawala wetu zingekoma.

#Kataa tozo
 
Hakuna mtu muoga kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana. 🤣🤣

Hizi tozo ingekuwa ni nchi zingine za watu wasioogopa, wangeshaipindua serikali siku nyingi mno.
Lakini fahamu tu kuwa kama Hawa watawala wetu, wanatuchukulia kuwa sisi watanzania ni waoga Sana, basi ipo siku ambayo haina jina, watashangaa namna watanzania tulivyogeuka na kuwa majasiri wa kutupa!
 
Lakini fahamu tu kuwa kama Hawa watawala wetu, wanatuchukulia kuwa sisi watanzania ni waoga Sana, basi ipo siku ambayo haina jina, watashangaa namna watanzania tulivyogeuka na kuwa majasiri wa kutupa!
🤣
Sisi watanzania ni waoga. Tutalalamika tu, na viongozi wana jeuri kwa sababu wanajua sisi ni waoga na hakuna tunachoweza kuwafanya, hata kwenye uchaguzi hatuwezi kuwafanya lolote ndio maana ni wajeuri. Tofauti na viongozi wa sehemu nyingine duniani ambao wanasikiliza maoni na kutatua changamoto, pia wakiona mambo magumu wanajiuzulu au uchaguzi unawatoa madarakani. Ila kwa Tanzania hilo haliwezekani maana sisi watanzania (hata mimi) ni waoga sana.

Duniani kote dawa ya viongozi jeuri ni moja tu, kupinduliwa.
 
🤣

Sisi watanzania ni waoga. Tutalalamika tu, na viongozi wana jeuri kwa sababu wanajua sisi ni waoga na hakuna tunachoweza kuwafanya, hata kwenye uchaguzi hatuwezi kuwafanya lolote ndio maana ni wajeuri. Tofauti na viongozi wa sehemu nyingine duniani ambao wanasikiliza maoni na kutatua changamoto, pia wakiona mambo magumu wanajiuzulu au uchaguzi unawatoa madarakani. Ila kwa Tanzania hilo haliwezekani maana sisi watanzania (hata mimi) ni waoga sana.

Duniani kote dawa ya viongozi jeuri ni moja tu, kupinduliwa.
Lakini yote haya yanatokana na kuwa na Katiba mbovu.

Ndiyo maana kwa wote ambao wako "serious" wanaipigania Katiba mpya ya nchi kuwa la kufa na kupona!
 
Sijui huu mzigo wanao mbebesha mwanchi nikutukomoa manung'uniko ugumu wa maisha huza chuki ,chuki ikitawala kwenye jamii jamii hiyo mioyo yao hufa ganzi mwisho uasi utokea Kama ilivyo ilivyotokea Sri lanka
 
Naweza kuliita hili sakata la Tozo kwa hivi sasa, kama kaa la moto!

Wakati watawala wakijaribu kwa kila namna kutetea tozo hizo zilizoidhinishwa na waheshimiwa wabunge wetu, upande wa pili, wa wananchi wanazipinga vikali tozo hizo na hata kudiriki kuziita kuwa ni "day robbery"

Wakati huo huo wale wafanyibiashara, kama vile kampuni za simu na mabenki, ambao "wamelazimishwa" na Serikali yetu, kuzipokea tu hizo tozo, wakishuhudia kupungua Sana kwa wateja kwenye makampuni yao, kutokana na huo "ujambazi" unaofanywa na Serikali yetu, dhidi ya wateja wao ambao ni wananchi

Hebu tujiulize, hivi ni kwanini watawala wetu wanazivunja sheria zao wenyewe walijoziwekea za kutomtoza mwananchi wake, tozo ya zaidi ya mara moja, kutokana na chanzo kile kile?

Hebu watawala wetu naomba tu mtueleze, hivi ni kwanini mfanyakazi wa nchi hii anakatwa kodi mara 2 kutokana na mshahara wake kukatwa PAYE na papo hapo mshahara wake ukiingia benki ukatwe hiyo tozo??

Hivi sasa tunashuhudia watawala wetu wakijiumauma, huku wakiliona hilo jambo ni la moto kweli kweli!

Hebu nijaribu kueleza chanzo kikuu cha tatizo hili, ni kutokuwa na wawakilishi wa wananchi, ambao ni wabunge, ambao ni chaguo la wananchi.

Hivi unaweza kuwa na wawakilishi wa wananchi, wanaweza kupitisha sheria za ukandamizaji, kama walivyofanya Hawa wabunge wetu, kuhusiana na haya masuala ya tozo?

Kama kungekuwa na uchaguzi ulio huru na Haki, basi hizi dhuruma zote tunazofanyiwa na watawala wetu zingekoma.

#Kataa tozo#
Ukizifikiria tozo halafu ukiangalia life style zao + mavieite ya Polepole !! Unalewa bila kunywa !!
 
Naweza kuliita hili sakata la Tozo kwa hivi sasa, kama kaa la moto!

Wakati watawala wakijaribu kwa kila namna kutetea tozo hizo zilizoidhinishwa na waheshimiwa wabunge wetu, upande wa pili, wa wananchi wanazipinga vikali tozo hizo na hata kudiriki kuziita kuwa ni "day robbery"

Wakati huo huo wale wafanyibiashara, kama vile kampuni za simu na mabenki, ambao "wamelazimishwa" na Serikali yetu, kuzipokea tu hizo tozo, wakishuhudia kupungua Sana kwa wateja kwenye makampuni yao, kutokana na huo "ujambazi" unaofanywa na Serikali yetu, dhidi ya wateja wao ambao ni wananchi

Hebu tujiulize, hivi ni kwanini watawala wetu wanazivunja sheria zao wenyewe walijoziwekea za kutomtoza mwananchi wake, tozo ya zaidi ya mara moja, kutokana na chanzo kile kile?

Hebu watawala wetu naomba tu mtueleze, hivi ni kwanini mfanyakazi wa nchi hii anakatwa kodi mara 2 kutokana na mshahara wake kukatwa PAYE na papo hapo mshahara wake ukiingia benki ukatwe hiyo tozo??

Hivi sasa tunashuhudia watawala wetu wakijiumauma, huku wakiliona hilo jambo ni la moto kweli kweli!

Hebu nijaribu kueleza chanzo kikuu cha tatizo hili, ni kutokuwa na wawakilishi wa wananchi, ambao ni wabunge, ambao ni chaguo la wananchi.

Hivi unaweza kuwa na wawakilishi wa wananchi, wanaweza kupitisha sheria za ukandamizaji, kama walivyofanya Hawa wabunge wetu, kuhusiana na haya masuala ya tozo?

Kama kungekuwa na uchaguzi ulio huru na Haki, basi hizi dhuruma zote tunazofanyiwa na watawala wetu zingekoma.

#Kataa tozo#
Majibu ya utafiti haya hapa sasa sijui mna ajenda gani nyingine?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220825-152037.png
    Screenshot_20220825-152037.png
    44.8 KB · Views: 5
Naweza kuliita hili sakata la Tozo kwa hivi sasa, kama kaa la moto!

Wakati watawala wakijaribu kwa kila namna kutetea tozo hizo zilizoidhinishwa na waheshimiwa wabunge wetu, upande wa pili, wa wananchi wanazipinga vikali tozo hizo na hata kudiriki kuziita kuwa ni "day robbery"

Wakati huo huo wale wafanyibiashara, kama vile kampuni za simu na mabenki, ambao "wamelazimishwa" na Serikali yetu, kuzipokea tu hizo tozo, wakishuhudia kupungua Sana kwa wateja kwenye makampuni yao, kutokana na huo "ujambazi" unaofanywa na Serikali yetu, dhidi ya wateja wao ambao ni wananchi

Hebu tujiulize, hivi ni kwanini watawala wetu wanazivunja sheria zao wenyewe walijoziwekea za kutomtoza mwananchi wake, tozo ya zaidi ya mara moja, kutokana na chanzo kile kile?

Hebu watawala wetu naomba tu mtueleze, hivi ni kwanini mfanyakazi wa nchi hii anakatwa kodi mara 2 kutokana na mshahara wake kukatwa PAYE na papo hapo mshahara wake ukiingia benki ukatwe hiyo tozo??

Hivi sasa tunashuhudia watawala wetu wakijiumauma, huku wakiliona hilo jambo ni la moto kweli kweli!

Hebu nijaribu kueleza chanzo kikuu cha tatizo hili, ni kutokuwa na wawakilishi wa wananchi, ambao ni wabunge, ambao ni chaguo la wananchi.

Hivi unaweza kuwa na wawakilishi wa wananchi, wanaweza kupitisha sheria za ukandamizaji, kama walivyofanya Hawa wabunge wetu, kuhusiana na haya masuala ya tozo?

Kama kungekuwa na uchaguzi ulio huru na Haki, basi hizi dhuruma zote tunazofanyiwa na watawala wetu zingekoma.

#Kataa tozo#
Sisi watz tukiamua kwa kauli moja hakika wabunge wote watapigwa chini.tatizo ninaloliona watz tumegawanywa na kundi la watoto wa mafisadi.jamani tufanye kama Kenya uchaguzi ujao twende na upande wa pili tuachane na kijani kitatutesa sana tubadilike
 
Leo nimepata sms rasmi kutoka Benki yangu kwamba transaction zangu zote zitakatwa Tozo - kuanzia 1st July onwards.

Tumefikia pabaya mno, Wapangaji nao kulipa 10% ya kodi kama kodi, sijajua wenye nyumba ni bei gani na wao.
 
Back
Top Bottom