bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Sample size and sampling technique?Majibu ya utafiti haya hapa sasa sijui mna ajenda gani nyingine?👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sample size and sampling technique?Majibu ya utafiti haya hapa sasa sijui mna ajenda gani nyingine?👇
Waulize TWAWEZASample size and sampling technique?
🙄🙄Mkuu acha uchochezi,unashawishi watu wafanye uhaini😞,mi sijauchoka ugali,jaribu kuwa chanya kwa sirikali.🤣
Sisi watanzania ni waoga. Tutalalamika tu, na viongozi wana jeuri kwa sababu wanajua sisi ni waoga na hakuna tunachoweza kuwafanya, hata kwenye uchaguzi hatuwezi kuwafanya lolote ndio maana ni wajeuri. Tofauti na viongozi wa sehemu nyingine duniani ambao wanasikiliza maoni na kutatua changamoto, pia wakiona mambo magumu wanajiuzulu au uchaguzi unawatoa madarakani. Ila kwa Tanzania hilo haliwezekani maana sisi watanzania (hata mimi) ni waoga sana.
Duniani kote dawa ya viongozi jeuri ni moja tu, kupinduliwa.
Kwasababu waliishajua udhaifu wetu ndio maana wanadiriki kusema tuhamie Burundi!Hakuna mtu muoga kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana. [emoji1787][emoji1787]
Hizi tozo ingekuwa ni nchi zingine za watu wasioogopa, wangeshaipindua serikali siku nyingi mno.
Ha haa sample size ya 3000 kwenye population ya karibia 60 million?Waulize TWAWEZA