Sakata la USAID, mlio makazini mjifunze kupanga ni kuchagua, msisubiri kiwake mje kuwa Wajasiriamali

Sakata la USAID, mlio makazini mjifunze kupanga ni kuchagua, msisubiri kiwake mje kuwa Wajasiriamali

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kupanga kuchagua

Kuna waliochagua watafia wakiwa makazini, wapo waliochagua wakiwa makazini wanapiga biashara kadhaa, na wale ambao hawapo kote kote.

Kifupi tu, sakata la usaid liwe fundisho kwa mnaoendelea na kazi huko...mjue saa yoyote mwanaadamu anashuka...mkiwa ofisini, mjipange, mtengeneze biashara na mali za kutoshaaa.

Hata wakija na style ya trump, mnaenda kansan kushukuru kwa yote na maisha yanaendelea.

otherwise, kila la kheri na karibuni mtaani... tuendelee na mapambano.
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa MDH ana mawe kinoma alikuwa ana-push LC 300 Series kama ya Lugumi sasa sijajua kwasasa ana hali gani.
Aisee ilikuwa ya mradi au ya kwake binafsi ?...kuna maada hapa kijiweni tulikuwa tunabishana kuwa hakuna kazi ya kuajiriwa unaweza kulipwa kibongo bongo ukaendesha gari binafsi kama hizo isipokuwa siasa
 
Tutaheshimiana sasa hivi waanze kuunza magenge tu ajira kushnei
Mkuuuuu KUPANGA kuchaguaaa
Hawa watu walikisahauu wengi sana
Na wengi waliliwa wake za watu na mabosi
MUNGU anajibu maombiiiiiii..YAAN madadaa walinyooshwa sana
NAKUMBUKA nilifanya mradii.mmoja na wahuni wakoo sinza opp na Kanisa la kkkt wanajiita kikundi cha walio na ukimwi

Hahahaha mnatengeneza bajetiii mzigoo unatokaa boss anakwambia
Tuma mil 5/10/15 bila maelezo ila ukirudisha ripoti utajua ujui zilitumikaje kwenye acc yake zingine kapambane nazo kijijini

Hahahaha tuliwanyoooshaaa...mara ya kwanza tukatafuta madiwan na viomgozi wengine kutafuta wenye vvu vijijin

Sainisha tukaondkka tukawatushia chaooo

Rest ilikuwa n kupiga simu tu.tunajifungia SEHEMU hapa hapa dar jamaa wanasainisha watyu anatokea.mmoja anaenda kuchukua makaratasi anawakatia mzigo HAPO semina ya wiki 3 kumbe watu wako dar...
 
Aisee ilikuwa ya mradi au ya kwake binafsi ?...kuna maada hapa kijiweni tulikuwa tunabishana kuwa hakuna kazi ya kuajiriwa unaweza kulipwa kibongo bongo ukaendesha gari binafsi kama hizo isipokuwa siasa
Huyuu nahisi anakaribia kufaaa tuliaaa palee ndioo wakiona kama wakoo nusu heaven
 
Back
Top Bottom