Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Huyuu nahisi anakaribia kufaaa tuliaaa palee ndioo wakiona kama wakoo nusu heaven
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyuu nahisi anakaribia kufaaa tuliaaa palee ndioo wakiona kama wakoo nusu heaven
Aisee ilikuwa ya mradi au ya kwake binafsi ?...kuna maada hapa kijiweni tulikuwa tunabishana kuwa hakuna kazi ya kuajiriwa unaweza kulipwa kibongo bongo ukaendesha gari binafsi kama hizo isipokuwa siasa
Aisee noma mzee, basi ndio maana Trump amekuwa mkaliNdinga yake Binafsi Bwashee!! Fedha za Projects zinakuwa ndefu sana!
Pata tatizo ujue tabia za wabongo hii ndio hali halisi sasa nongwa muda wote ili stress zituue mm nawaambia tu hatutakufa..Kupanga kuchagua
Kuna waliochagua watafia wakiwa makazini, wapo waliochagua wakiwa makazini wanapiga biashara kadhaa, na wale ambao hawapo kote kote.
Kifupi tu, sakata la usaid liwe fundisho kwa mnaoendelea na kazi huko...mjue saa yoyote mwanaadamu anashuka...mkiwa ofisini, mjipange, mtengeneze biashara na mali za kutoshaaa.
Hata wakija na style ya trump, mnaenda kansan kushukuru kwa yote na maisha yanaendelea.
otherwise, kila la kheri na karibuni mtaani... tuendelee na mapambano.
Nyingi haziendi kwa wahusika ,zinaenda mifukoni mwa viongozi walengwa wanatoswa..Aisee noma mzee, basi ndio maana Trump amekuwa mkali
Haiwezekani wajasiriamali wàfanye biashara na wafanyakazi nao wàfanye biashara.Kupanga kuchagua
Kuna waliochagua watafia wakiwa makazini, wapo waliochagua wakiwa makazini wanapiga biashara kadhaa, na wale ambao hawapo kote kote.
Kifupi tu, sakata la usaid liwe fundisho kwa mnaoendelea na kazi huko...mjue saa yoyote mwanaadamu anashuka...mkiwa ofisini, mjipange, mtengeneze biashara na mali za kutoshaaa.
Hata wakija na style ya trump, mnaenda kansan kushukuru kwa yote na maisha yanaendelea.
otherwise, kila la kheri na karibuni mtaani... tuendelee na mapambano.
Hahahaha mkuuu KUNA mabosi ukoo nao huko Wana biashara balaaaaaHaiwezekani wajasiriamali wàfanye biashara na wafanyakazi nao wàfanye biashara.
Mbona nyinyi wajasiriamali hamuendi kuajiriwa?
Dunia hàiwezi Kuwa na watu wote wanatanya shughuli moja.
MkuuuuPata tatizo ujue tabia za wabongo hii ndio hali halisi sasa nongwa muda wote ili stress zituue mm nawaambia tu hatutakufa..
Ila imeniuma yaani hadi website imefutwaa yule baba anaroho mbaya sana sana.
Oyawee wapo huko kucheza na 10 to 11 figures za mishahara na marupurupu nothing elseWatu hawajui kuwa NGOs zinapata funding sehemu nyingi, si USAID tu?
Na hawajui kuwa kuna watu wengine wako kwenye NGOs kwa sababu hizo ndizo taaluma zao na wanataka kusaidia jamii pia, sio kupiga pesa tu?
Hakuna cha masikini hapa unaongelewa uhalisia wa mambo ila Condom za bure zilitusevu sana USAID ZanaKawaida yetu masikini kufurahi waliojipata wakianguka mana panakuaga na kadharau flani hivi kanajitokezaga
Aisee mbona waajiriwa wengi tu wana hizo gari. Ila wale wa level za juu.Aisee ilikuwa ya mradi au ya kwake binafsi ?...kuna maada hapa kijiweni tulikuwa tunabishana kuwa hakuna kazi ya kuajiriwa unaweza kulipwa kibongo bongo ukaendesha gari binafsi kama hizo isipokuwa siasa
Jela hii jela au ni jela ya wamama wengineNinapenda sana kusaidia jamii, hususan watoto ambao baba zao wapo jela.
Kuna watu nilikuwa naongea nao leo wanasema wamepewa barua ya kusitiahiwa mikataba yao ndani ya siku 90Kupanga kuchagua
Kuna waliochagua watafia wakiwa makazini, wapo waliochagua wakiwa makazini wanapiga biashara kadhaa, na wale ambao hawapo kote kote.
Kifupi tu, sakata la usaid liwe fundisho kwa mnaoendelea na kazi huko...mjue saa yoyote mwanaadamu anashuka...mkiwa ofisini, mjipange, mtengeneze biashara na mali za kutoshaaa.
Hata wakija na style ya trump, mnaenda kansan kushukuru kwa yote na maisha yanaendelea.
otherwise, kila la kheri na karibuni mtaani... tuendelee na mapambano.