Sakata la USAID, mlio makazini mjifunze kupanga ni kuchagua, msisubiri kiwake mje kuwa Wajasiriamali

Sakata la USAID, mlio makazini mjifunze kupanga ni kuchagua, msisubiri kiwake mje kuwa Wajasiriamali

Pamoja na maelfu kupoteza ajira....
1. Kumbuka nao walikua wana wategemezi wao.
2. Kuna maelfu ya vendors wamepoteza malipo.
3. Kuna watu wamepoteza mitaji kwa uwekezaji wakitegemea tenda na kadhalika.
4. Kuna wafanya biashara wengi wanaenda kuharibikiwa na vitu walivyo nunua/stock wakijua watatumia kwenye kazi/tenda za mashirika.
5. HIV imeingia katika karibu kila familia na hawa watakua waathirika wakubwa kwasababu sidhani kama wengi wetu tutaweza kumudu gharama za kuwasaidia wapendwa wetu.
 
Pamoja na maelfu kupoteza ajira....
1. Kumbuka nao walikua wana wategemezi wao.
2. Kuna maelfu ya vendors wamepoteza malipo.
3. Kuna watu wamepoteza mitaji kwa uwekezaji wakitegemea tenda na kadhalika.
4. Kuna wafanya biashara wengi wanaenda kuharibikiwa na vitu walivyo nunua/stock wakijua watatumia kwenye kazi/tenda za mashirika.
5. HIV imeingia katika karibu kila familia na hawa watakua waathirika wakubwa kwasababu sidhani kama wengi wetu tutaweza kumudu gharama za kuwasaidia wapendwa wetu.
Namba 5 mkuu wanaweza survive ila tu. Kubugia makorokocho ndo waache .
 
Hivi Hawa walikatwa psssf ama nssf michangooo Badoo wanaweza Anza maisha na mafaoyaooo

Ila wajipange kule n rte za kwenda rudi
 
Watanzania wengi wanafarijika pale wanaposikia mwenzao kapata changamoto bila kujua kuwa athari zake nae zitamgusa.

Haowalio kuwa USAID wametoa ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.

Mishahara yao ilikuws inakatwa kodi ambayo inatumika kukuletea huduma za kijamii kama maji, umeme, elimu na barabara.

PIa nakukumbusha kuwa Ngombe akikonda hawezi kuwa swala
 
Pamoja na maelfu kupoteza ajira....
1. Kumbuka nao walikua wana wategemezi wao.
2. Kuna maelfu ya vendors wamepoteza malipo.
3. Kuna watu wamepoteza mitaji kwa uwekezaji wakitegemea tenda na kadhalika.
4. Kuna wafanya biashara wengi wanaenda kuharibikiwa na vitu walivyo nunua/stock wakijua watatumia kwenye kazi/tenda za mashirika.
5. HIV imeingia katika karibu kila familia na hawa watakua waathirika wakubwa kwasababu sidhani kama wengi wetu tutaweza kumudu gharama za kuwasaidia wapendwa wetu.
Umeandika vizuri sana ila tatizo ni hawa vijana wengi humu kwenye mitandao wanatafuta attention tu. Unakuta mtu anaanzisha uzi kama huu kumbe kwenye ukoo wake kuna karibu ndugu wanne au watano wanatumia hizi ARV za msaada wa Marekani na pengine hata kenyewe hakajua (Maturity).

Unakuta katika hiyo list uliyoweka hapo anarafiki au ndugu ambaye wateja wake wa uhakika ni wafanyakazi wa NGOs yaani hii chain ya Trump inagusa wengi kuna hadi miradi ya Kilimo kibao imefunguliwa huko kusini, sema ndo shida ya watu weusi kuna akili flani ya wivu wa kijinga hata kitu ambacho mtu anapata kwa uhalali wanachukia akiwazidi.
 
Watu hawajui kuwa NGOs zinapata funding sehemu nyingi, si USAID tu?

Na hawajui kuwa kuna watu wengine wako kwenye NGOs kwa sababu hizo ndizo taaluma zao na wanataka kusaidia jamii pia, sio kupiga pesa tu?
Kabisa bro, yaani hii USAID imechora picha vizuri kwamba wabongo wengi hawana uelewa mkubwa na Wana roho mbaya mno.
 
Watu hawajui kuwa NGOs zinapata funding sehemu nyingi, si USAID tu?

Na hawajui kuwa kuna watu wengine wako kwenye NGOs kwa sababu hizo ndizo taaluma zao na wanataka kusaidia jamii pia, sio kupiga pesa tu?
Yes mfano sisi tuna donors watatu akiwemo na USAID mwenyewe, pamoja na sekeseke hili, last week tulipokea new rates za ongezeko la Per diems.

Operation & intervention zinaendelea kama kawaida.
 
Wengi wao wana savings za kutosha kwenye mutual funds so i think they will just be okay. Pia uzoefu wao kwenye NGOs unawafanya wawe marketable kwenye NGOs nyingine ambazo hazipati funding from the US.​
 
Back
Top Bottom