Sakata la USAID, mlio makazini mjifunze kupanga ni kuchagua, msisubiri kiwake mje kuwa Wajasiriamali

Sakata la USAID, mlio makazini mjifunze kupanga ni kuchagua, msisubiri kiwake mje kuwa Wajasiriamali

Wengi wao wana savings za kutosha kwenye mutual funds so i think they will just be okay. Pia uzoefu wao kwenye NGOs unawafanya wawe marketable kwenye NGOs nyingine ambazo hazipati funding from the US.​
Na pia wamezoea sababu kila baada ya miaka 3-5 or 7 ya kuphase out miradi (iliyomingi) Huwa tunarudi mitaani na kutafuta kazi upya. Au kabla miradi haijaisha huwa tuko kujump ikiwa mtu umefanikiwa kusecure kazi nyingine.
 
Atakuwa anapanda bajaji, wewe utakuwa na IST, yaan unafurahia mwenzio kukwama
Wapi nimefurahi best? Hapo nimeonyesha namuonea huruma kwa hali aliyokuwa nayo sasa , mimi natembea kwa mguu au bodaboda sina hata baiskeli.
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa MDH ana mawe kinoma alikuwa ana-push LC 300 Series kama ya Lugumi sasa sijajua kwasasa ana hali gani.
LC300 lazma itafutiwe parking nzuri😀 atatembelea IST kama Uber driver ikiwa miaka yote hakuwa amewekeza!
 
Kuna kitu wengi hawajajua hawa jamaa wa NGOs wengi contracts zao huwa ni mwaka mmoja mmoja na hata miradi yao huwa ni ya muda fulani. Hivyo maisha yao muda wote wamejiandaa kupigwa chini tofauti na ajira nyingi za serikali zenye permanent contracts.

Sidhani kama wengi wataadhirika sanaa kiasi cha kuuza magenge mtaani kama tunavyofikiria.
Contracts za NGO's kubwa nyingi ni miaka mitano mitano mkuu🤣 hao wa mwaka mmoja wachache. Ila ni miaka mitano ya kupiga hela sana kama ukikaa vizuri na ma boss wako.
 
Naomba ntambue uwepo WA MH trump
 
Back
Top Bottom