Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Mimi hata sielewi kuna jamaa twitter niliona anasema acha wafutwe tu aliporwa manzi yake na jamaa yuko USAID ...nafikiri ni ishu binafsi mbali mbališ¼Hivi USAID ndio taasisi ya kwanza watu kupunguzwa? Mbona imekuwa issue sana?