Sakata la Usiku wa Oscars: Jada Smith avunja ukimya, Mauzo ya Show za Chris Rock yaongezeka

Sakata la Usiku wa Oscars: Jada Smith avunja ukimya, Mauzo ya Show za Chris Rock yaongezeka

Ni makubaliano ni open marriage kila mtu anaweza kula na kuliwa. Sasa kama mtu anaweza vumilia hilo anashindwaje vumilia utani kidogo jamani
Kwa kweli Will mwenyewe ndio ana majibu [emoji16][emoji16] ila hata ningekua mm jamaa angechezea mabanzi tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ahaa unajichekesha tu yanapita.
Willy angekuwa mtanzania tungesema jada kamroga
Jamani n mapenzi tu [emoji23] jamaa kapenda kweli hatak utani na mke wake.
 
Jamani n mapenzi tu [emoji23] jamaa kapenda kweli hatak utani na mke wake.
Kwakweli familia ya willy na jada ni ya kipekee hadi wazungu wenyewe walichoka wakati akifanya tour kwenye vyombo vya habari na kuzungumzia maisha yake na jinsi jada alivyokuwa napenda ngono mpaka akahisi atamuua.
 
Kwakweli familia ya willy na jada ni ya kipekee hadi wazungu wenyewe walichoka wakati akifanya tour kwenye vyombo vya habari na kuzungumzia maisha yake na jinsi jada alivyokuwa napenda ngono mpaka akahisi atamuua.
[emoji849][emoji849] hahaa mwanaume mwenyewe alinyanyua mikono juu...navyojua wanaume ndio mnaoongoza kupenda ngono had tunawakimbia muda mwingne ila kwa hawa habari ni tofauti[emoji23]
 
[emoji849][emoji849] hahaa mwanaume mwenyewe alinyanyua mikono juu...navyojua wanaume ndio mnaoongoza kupenda ngono had tunawakimbia muda mwingne ila kwa hawa habari ni tofauti[emoji23]
Willy angekuwa bongo angesema jada ana pepo la ngono.

Wanawake wapo, mimi niliwahi ishi na watu mwanamke anapenda ngono mpaka mbaba wa watu alikimbia akamwacha kabsa
 
Willy angekuwa bongo angesema jada ana pepo la ngono.
Wanawake wapo, mimi niliwahi ishi na watu mwanamke anapenda ngono mpaka mbaba wa watu alikimbia akamwacha kabsa
Ni kutoridhishwa au ni nini?
 
Wazungu walichoka mastory yao hadi wakaanzisha petition ya kuzuia aache kuyazungumzia
Wazungu hawakutaka ujinga[emoji23] inaboa kweli inakua kama wao ndio wa kwanza kuwa mapenzini.

Ila familia ya Will naona imechizika yote kuanzia wazaz hadi watoto.
 
Ni makubaliano ni open marriage kila mtu anaweza kula na kuliwa. Sasa kama mtu anaweza vumilia hilo anashindwaje vumilia utani kidogo jamani
Uzungu ukizidi kuna upoyoyo ndani yake.. Hii kitu open marriage kwangu haipo inakinzana na principles zangu zoote.
 
Back
Top Bottom