Tetesi: Sakata la vyeti feki latua Polisi

Tetesi: Sakata la vyeti feki latua Polisi

Police na jwtz wasiwaguse kwanza maana wakiwapiga chini mitaani hku itakuwa shida..

Ova
 
Unataka tuende vituoni ili tukapoteze viungo vyetu kwa ufukunyuku hah hah..habari hii wewe umeipata wapi?
 
Mtoa mada atuhakikishie kama taarifa hii inatoka katika chanzo cha uhakika watu tuanze kudai madeni mapema kabla hawajatumbuliwa.
Usipodai chako shauri yako labda mdaiwa hayumo kwenye list itakuwa bahati yako
 
Unataka tuende vituoni ili tukapoteze viungo vyetu kwa ufukunyuku hah hah..habari hii wewe umeipata wapi?
Nimeipata kwa aliyekuta jinanlake jituoni na kweli hana cheti aliniomba nimuombee maana hana la kufanya ss hivi na hajui itakuwaje
 
Nimeipata kwa aliyekuta jinanlake jituoni na kweli hana cheti aliniomba nimuombee maana hana la kufanya ss hivi na hajui itakuwaje
Basi, kama imekuja kimyakimya itamalizwa hivyo hivyo..kitaani polisi hawatoshi, serikali ingekuwa na uwezo ingeajiri vijana kila baada ya miezi sita kufikia idadi kamili ya polisi wanaotakiwa kulinda raia na mali zake, ila ndio hivyo anyway hili nalo litapita!
 
usifurahie mwenzako kupata matatizo. huku ni kuongeza idadi ya wahalifu mtaani ukizingatia wana mbinu za kijeshi

Kwa akili yako unataka wahalifu tubaki sisi walimu na manesi tu? Waje tu nao tuongezeke! Sote ni watanzania!!
 
Mno. Kwenye vyombo vya usalama ndiko kwenye vyeti vya magumashi kupita sehemu nyingine.
Ndiomana hawana huruma wakianza kuwashughulikia RAIA kwa sababu wengi hawajui uchungu wa vyeti
 
Usishangilie majanga.unapenda ongezeko la ujambazi ?
Ongezeko la raia wasio na ajira hujaliona??, wastaafu ambao hawatalipwa hujaona, yatima walioachwa na vifo vilivyosa banishwa na zoezi la vyeti feki hujaona??? Marehemu waliokufa na familia kunyimwa mafao yao in the name vyeti feki, upoo, tuache double standard nao wahakikiwe km wengine.
 
Ndio ana cheti feki tulimjua maana jina lake la halali tunalijua alisoma na mdogo wangu ila kwa sasa tunashangaa anatumia jina lingine feki maana wakati sakata la vyeti limeanza amekuwa mpole anamwamkia kila mtu wakati alikuwa kama nyoka akikukamata utakoma !! Kwa hili Magu nampa tano !! Heshima irudi mtaani ! Labda mtoa mada adanganye nitahuzunika sana !!

Wewe kweli hujui hata unacho shangilia. Muombee sana na isijekuwa yuko humu jf akusikie. Wakirudi kitaa hata mavi ya mbuzi wataiba wale. Usiombe ukutane na walio zoea kupata mia mbili za bure kila siku na nauli bure kila aendako. Ghafla, aambiwe hatakaa aipate tena. Nakuambia, hicho kijiji kitawaka moto.
 
Kila mtu afanyekazi kulingana na kiwango chake cha elimu. Hao polisi wawe migambo wa miji na majiji. Magu toa kabisa hawa maana polisi inahitaji watu wenye uwezo wa kupambanua mambo. Wapo wengi hata kuandika maelezo ni shida. Acha vijana waliokosa usingizi kwa kusoma wafaidi tabu yao.
 
List tafadhali, mbona nyingine ziliwekwa online na zilitrend sana, then ziwe from trusted source
 
Nipo Olele kwenda Moshi ni mbali sana mkuu.

Ah ah. Hatimaye Mzee Magi kanikosha... Hawa walinimwagia sijui upupu au pilipili pale mnazo mmoja... Dah km ni kweli I am absolutely and extremely very very happy.

Eeeh Asante Mungu pia walimtegua mguu swayiba angu hawa tukijiandaa na ukuta. Nazisubili hizi habari kwa furaha sana
 
Police na jwtz wasiwaguse kwanza maana wakiwapiga chini mitaani hku itakuwa shida..

Ova
Nmecheki kwa mdau flani kaniambia ni kweli kituo chao pia wamepelekewa ila jw hakuna
 
Back
Top Bottom