Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nitakucheki mkuu, naenda Useri mara moja.Olele ipi, nipo mengen hapa nakunywa Bia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakucheki mkuu, naenda Useri mara moja.Olele ipi, nipo mengen hapa nakunywa Bia!
Hiyo sasa ni chuki binafsi.Duh kuna afande mmoja namjua yupo pale moshi ngoja nimsubiri mtaani yaani ni kiherehere balaa anakamata watu ovyo kwa kosa la kubambikwa !! Magu oyeeee
Usipodai chako shauri yako labda mdaiwa hayumo kwenye list itakuwa bahati yakoMtoa mada atuhakikishie kama taarifa hii inatoka katika chanzo cha uhakika watu tuanze kudai madeni mapema kabla hawajatumbuliwa.
Nimeipata kwa aliyekuta jinanlake jituoni na kweli hana cheti aliniomba nimuombee maana hana la kufanya ss hivi na hajui itakuwajeUnataka tuende vituoni ili tukapoteze viungo vyetu kwa ufukunyuku hah hah..habari hii wewe umeipata wapi?
Basi, kama imekuja kimyakimya itamalizwa hivyo hivyo..kitaani polisi hawatoshi, serikali ingekuwa na uwezo ingeajiri vijana kila baada ya miezi sita kufikia idadi kamili ya polisi wanaotakiwa kulinda raia na mali zake, ila ndio hivyo anyway hili nalo litapita!Nimeipata kwa aliyekuta jinanlake jituoni na kweli hana cheti aliniomba nimuombee maana hana la kufanya ss hivi na hajui itakuwaje
usifurahie mwenzako kupata matatizo. huku ni kuongeza idadi ya wahalifu mtaani ukizingatia wana mbinu za kijeshi
umuombee nini cheti au maombiNimeipata kwa aliyekuta jinanlake jituoni na kweli hana cheti aliniomba nimuombee maana hana la kufanya ss hivi na hajui itakuwaje
Ndiomana hawana huruma wakianza kuwashughulikia RAIA kwa sababu wengi hawajui uchungu wa vyetiMno. Kwenye vyombo vya usalama ndiko kwenye vyeti vya magumashi kupita sehemu nyingine.
Ongezeko la raia wasio na ajira hujaliona??, wastaafu ambao hawatalipwa hujaona, yatima walioachwa na vifo vilivyosa banishwa na zoezi la vyeti feki hujaona??? Marehemu waliokufa na familia kunyimwa mafao yao in the name vyeti feki, upoo, tuache double standard nao wahakikiwe km wengine.Usishangilie majanga.unapenda ongezeko la ujambazi ?
Ndio ana cheti feki tulimjua maana jina lake la halali tunalijua alisoma na mdogo wangu ila kwa sasa tunashangaa anatumia jina lingine feki maana wakati sakata la vyeti limeanza amekuwa mpole anamwamkia kila mtu wakati alikuwa kama nyoka akikukamata utakoma !! Kwa hili Magu nampa tano !! Heshima irudi mtaani ! Labda mtoa mada adanganye nitahuzunika sana !!
Kesho tu namvamia kwake hahahaahUsipodai chako shauri yako labda mdaiwa hayumo kwenye list itakuwa bahati yako
Nipo Olele kwenda Moshi ni mbali sana mkuu.
Nmecheki kwa mdau flani kaniambia ni kweli kituo chao pia wamepelekewa ila jw hakunaPolice na jwtz wasiwaguse kwanza maana wakiwapiga chini mitaani hku itakuwa shida..
Ova