Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
kituo gani mzee hapa kwetu hakunaNmecheki kwa mdau flani kaniambia ni kweli kituo chao pia wamepelekewa ila jw hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kituo gani mzee hapa kwetu hakunaNmecheki kwa mdau flani kaniambia ni kweli kituo chao pia wamepelekewa ila jw hakuna
Jwtz vipi maana kuna scenerio naifahamu ya jamaa yangu sijui atapona
TusubiriHuko hatuendi mkuu hata kama hatupangiwi huko kwa moto!!!
Mh chuki binafsi hiziDuh kuna afande mmoja namjua yupo pale moshi ngoja nimsubiri mtaani yaani ni kiherehere balaa anakamata watu ovyo kwa kosa la kubambikwa !! Magu oyeeee
Duh balaa basi itakuwa maana hko cheti cha mtu mmoja kinatumiwa na watu 20Nmecheki kwa mdau flani kaniambia ni kweli kituo chao pia wamepelekewa ila jw hakuna
Hakuna, tutawadhibiti ondoa ShakaWatasababisha kuibuka kwamakundi ya uhalifu nchini km Al shababu na Boko haram
Kweli kabsa, bora Mara mia policePolice na jwtz wasiwaguse kwanza maana wakiwapiga chini mitaani hku itakuwa shida..
Ova
Hujielewi wwKwani police Nani si raia tu ovyo kabisa acha wafukuzwe tu Vyeti feki
Polis wenyew wachache kila siku wanauliwa ebu waacheni ..kwanz upolis na fom 4 WAP na WAP...kikubwa ulinzi hivo vyeti havitatulinda sisi