Sakata la Wamasai Ngorongoro; Tuisaidie Serikali kuona 'Alternatives'

Picha ya mwaka gani? Yanaweza kuwa mapigano ya miaka iliyopita. Wapotoshaji wanatumia njia zozote zile kutekeleza azma yao. Serikali imeonyesha uvumilivu mkubwa kwenye hili swala la Ngorongoro, vile vile imeonyesha ina nia njema ya kuwasaidia wakazi wa huko.
 
Kichwa chako unafugia nywele na kubeba meno tu, huna akili hata ya kuvukia barabara.

Ubongo wako umejaa fungus na una kaswende ya ubongo.
Bulyang'hulu 1990s watu walihama kupisha mgodi,wanadai watahama tu
 
Wasukuma walihamishwa bulyng'hulu kupisha mgodi,na wengine kufukiwa na magreda,wamasai siyo special
 
Hakuna cha alternative,utahamisha hifadhi badala ya Masai?

Mkuu njia ya eviction hufanyika Duniani kote kwa ajili ya Uhifadhi kuanzia Asia,Africa hadi America na Masai sio wa kwanza kuhamishwa..

Mbona watu wamehamishwa kupisha uwekezaji wa migodi? Mbona watu wamehamishwa kwenye misitu ya serikali,vyanzo vya maji? Mbona Vijijini zaidi ya 8 vilivunjwa na watu kuhamishwa wakati wa upanuzi hifadhi ya Ruaha?

Wao wanadinda nini ikiwa wameandaliwa pahala pa kwenda na huduma zote zimewekwa? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220611-081458.png
    98.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220611-081546.png
    123 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220611-081603.png
    67.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220611-081135.png
    156.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220611-084348.png
    41.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220611-084421.png
    369.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220611-084455.png
    308.9 KB · Views: 2
The problem ni kwamba hatuwezi kupambana na serikali!!Hilo tu
 
Waamasai Watamkumbuka Tate Ole Nasha,Hivi Mbunge wa Ngorongoro kwa sasa ni nani?
 
Tanzania hakuna serikali!?..wajibu wa raia kwa serikali no nini!?..Tanzania hakuna Sheria!?..Sheria inasemaje kuhusu ardhi!?
Sheria ya Tanzania ni kwamba ardhi ni mali ya umma na serikali wanaweza kukuondoa muda wowote kwenye ardhi ambayo umepewa haki ya ku stay kwa ajili ya kupisha sgughuli za maendeleo ila lazima wakulipe fidia, au wakupe eneo jingine lenye mandhali kama walilokuhamisha.Hicho kimefanyika sababu wamasai wanapelekwa Handeni ambako wamejengewa nyumba za kuishi,shule,visima vya maji,zahanati na kutengenezewa barabara.
 
Hakika, ila tatizo tupo busy kufungua nchi...
 
Point ya msing uliyoandika ni moja tu.. kuwa iangalie namna zingne za kupata hyo income... Bas

Ila kwenye altenative ya kuhamisha wanyama instead ya masai.. uko wrong vibaya mno... Kabla ya masai hyo land ilikua na wanyama asilia...
 
Kama inawezekana wawaamishe wakazi wa dar es salaam hasa wa mbagala, posta, msasani, masaki, karia koo... wawahamishie lindi kule Ntwara... hayo maeneo ya Dar es salaam ni mazuri sana kwa kuhamishia wale wanyama wa ngorongoro.. kule wamaasai wamejiwekeza sana sio vizuri.. wanang'ombe, wananyumba sio vizuri
 
Umenena vema
 
Kweli ni jambo zuri kama wanataka kumpa ardhi mwekezaji amiliki, ila ningependeza umiliki wake uwe wa kikomo. .

Pia waarabu wametawala Zanzibar, ingependeza wangegawia ardhi au kumegewa kule zanzibar hata mji mkongwe ingeleta maana zaidi. Imagine kuwe na mbuga Zanzibar, itakuwa kivutio kikubwa sana. Na wazanzibari wanawapenda sana waarabu haitoleta shida, just thinking outside the box. .
 
Una vitusi vya kizamani na kitoto sana.
Wewe mnuka kun.du hilo aliyekwambia mtu kuitwa dada ni dhihaka nani huyo.

Shahawa za kisasa wewe kajambe kushoto
Wewe matusi yako ndio unaona mapya???

Nitakuua na wivu, na bado nyooo...

Kwani kuwa mwanamke ni tusi?! mbona hujikubali wewe?! au unadhania unaweza ukajificha ndani ya ID fake, wewe ni msichana na ni mdogo sana sidhani hata kama umefika 24 years, kakojolewe utulie mapepe pumbafu
 
Nikiwa msichana wewe inakuwasha hiyo chupi yako ya material ya mgomba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…