Claude Henry
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 323
- 350
Picha ya mwaka gani? Yanaweza kuwa mapigano ya miaka iliyopita. Wapotoshaji wanatumia njia zozote zile kutekeleza azma yao. Serikali imeonyesha uvumilivu mkubwa kwenye hili swala la Ngorongoro, vile vile imeonyesha ina nia njema ya kuwasaidia wakazi wa huko.Alichokuwa anakisemea PM bungeni yaan sijamwelewa kabisa ! mtu kaonekana damu inatoka kwenye mguu,katika maelezo yake haoneshi nini kimesababisha hadi yule mzee miguuni aonekane anavuja damu ,ni kama askari aliyefundishwa namna ya kupiga risasi kwenye miguu but PM anadai the whole scenario has been fabricated ! duhhh hii nchi ngumu sana kuishi aisee
Watahama,hakuna namna,mgodi wa bulyanghulu watu walihama 1990s,wamasaai ni Nani wasihame!Stupid mind
Bulyang'hulu 1990s watu walihama kupisha mgodi,wanadai watahama tuKichwa chako unafugia nywele na kubeba meno tu, huna akili hata ya kuvukia barabara.
Ubongo wako umejaa fungus na una kaswende ya ubongo.
Bulyang'hulu watu walihamishwa kupisha mgodi 1990s,wanadai siyo specialIvi kweli we' ni binadamu mwenye akili timamu...🤔
Wasukuma walihamishwa bulyng'hulu kupisha mgodi,na wengine kufukiwa na magreda,wamasai siyo specialWewe ndio mtu special sio?
Embu toa upumbavu wako hapo
Kama serikali iliweza kuhamishia wanyama pori burigi chato.
Watafute pori jingine wawahamishie hao wanyama wawaache wamasai nao ni binadamu kama Mimi na we we.
Nyie binadamu mliopata madaraka ya kuongoza acheni ulevi wa madaraka. na kuonea binadamu wenzenu
Kwangu Mimi binadamu mwezangu ni muhimu kulipo mnyama hata biblia inasema hivyo
Hakuna cha alternative,utahamisha hifadhi badala ya Masai?Hello Great Thinkers..
HIli sakata limenisikitisha sana,
Kuona Mzee mtu mzima akipigwa kwa sababu tu anatetea ardhi yake, sehemu aliyokulia na kuipenda Maisha yake yote, his livelihood kisa tu serikali imeona pana potential ya kutengeneza income is not right..
Nimeandika topic hii ili kama mna mawazo/ideas wapi pana Potential serikali ipeleke nguvu zake huko...( best alternatives),
Mimi naanza, tuanze na eneo letu kubwa tu Arable land kwa ajili ya kilimo, Nadhani hii ni area mojawapo haijawa fully exhausted.
Kuachia this untapped resource Freely halafu kwenda kushikiana mtutu na kumwaga damu za watu eti kwa vile tu sehemu itaingiza income, hapana kwa kweli si sahihi.
Kisha msinicheke, kama wanyama wanahamishwa wengine wanapelekwa Nje, haiwezekani kujenga Park Nyingine? kinachohitajika ni nini? si wanyama, miti,ziwa, hivi vitu mbona vinakuwa created easily tu..LOL...hii ni gharama sana kuliko kuhamisha Wamasai ila hakuna gharama kama uhai wa mtu, unakufa leo unaweza kubargain na Sir God akuongezee hata one minute? kwa nini watu wanakuwa na guts watu wengine wauwawe ili kulinda tu ' interests' zao...?!
Tena msiseme hamna funds za kujenga Park nyingine, mafisadi mna hela za kutisha tuu... wengine zimewazidi mnaweka hadi kwenye makontena! 😀 😀 😳 😳 😳 ,
Anyway i know sometimes nahorojeka humu, but im sending my message kwa serikali itafute na kutumia resources zake vizuri, Kisha sio kutumia mabavu kwenye sehemu ya maelewano tu na kutumia logic...!
Anyway kama great thinkers, kulaumu kwa yanayotokea haisaidii..
So, i humble request kama unajua tufanye nini, au wapi serikali inaweza kuinvest bila kumwaga damu..
Then pataje,
Becky....
Sheria ya Tanzania ni kwamba ardhi ni mali ya umma na serikali wanaweza kukuondoa muda wowote kwenye ardhi ambayo umepewa haki ya ku stay kwa ajili ya kupisha sgughuli za maendeleo ila lazima wakulipe fidia, au wakupe eneo jingine lenye mandhali kama walilokuhamisha.Hicho kimefanyika sababu wamasai wanapelekwa Handeni ambako wamejengewa nyumba za kuishi,shule,visima vya maji,zahanati na kutengenezewa barabara.Tanzania hakuna serikali!?..wajibu wa raia kwa serikali no nini!?..Tanzania hakuna Sheria!?..Sheria inasemaje kuhusu ardhi!?
Point ya msing uliyoandika ni moja tu.. kuwa iangalie namna zingne za kupata hyo income... BasHello Great Thinkers..
HIli sakata limenisikitisha sana,
Kuona Mzee mtu mzima akipigwa kwa sababu tu anatetea ardhi yake, sehemu aliyokulia na kuipenda Maisha yake yote, his livelihood kisa tu serikali imeona pana potential ya kutengeneza income is not right..
Nimeandika topic hii ili kama mna mawazo/ideas wapi pana Potential serikali ipeleke nguvu zake huko...( best alternatives),
Mimi naanza, tuanze na eneo letu kubwa tu Arable land kwa ajili ya kilimo, Nadhani hii ni area mojawapo haijawa fully exhausted.
Kuachia this untapped resource Freely halafu kwenda kushikiana mtutu na kumwaga damu za watu eti kwa vile tu sehemu itaingiza income, hapana kwa kweli si sahihi.
Kisha msinicheke, kama wanyama wanahamishwa wengine wanapelekwa Nje, haiwezekani kujenga Park Nyingine? kinachohitajika ni nini? si wanyama, miti,ziwa, hivi vitu mbona vinakuwa created easily tu..LOL...hii ni gharama sana kuliko kuhamisha Wamasai ila hakuna gharama kama uhai wa mtu, unakufa leo unaweza kubargain na Sir God akuongezee hata one minute? kwa nini watu wanakuwa na guts watu wengine wauwawe ili kulinda tu ' interests' zao...?!
Tena msiseme hamna funds za kujenga Park nyingine, mafisadi mna hela za kutisha tuu... wengine zimewazidi mnaweka hadi kwenye makontena! [emoji3] [emoji3] 😳 😳 😳 ,
Anyway i know sometimes nahorojeka humu, but im sending my message kwa serikali itafute na kutumia resources zake vizuri, Kisha sio kutumia mabavu kwenye sehemu ya maelewano tu na kutumia logic...!
Anyway kama great thinkers, kulaumu kwa yanayotokea haisaidii..
So, i humble request kama unajua tufanye nini, au wapi serikali inaweza kuinvest bila kumwaga damu..
Then pataje,
Becky....
Duh dada basi nitakuoa msamehe bure mrembo wangu.Nijulikane kupitia wewe Who tf are you?
Una nini kwenye hii forum?
Jf imekupa umaarufu gani wewe kiande?
Tenaaa kaa chonjo
Umenena vemaAisee wewe ndo pumbavuuu kabisa,wanyama walikuwepo kabla ya masai.Masai walimove kutoka Kenya eneo la Masaimara wakajongea Serengeti kwa lengo la kutafuta malisho na maji kwa ajili ya mifugo yao.Serikali ya kikoloni ikaona ni vyema Serengeti ibaki kama National Park ikabidi wahamishiwe eneo la Ncaa kusudi Ncaa iwe km land multiple use na kumbuka kipindi hicho inakadiriwa walikuwa km wamasai 3000 tu wakiwa na mifugo michache ambayo isingeweza kuathiri eneo la ncaa.Kumbuka hayo yalikuwa mawazo ya mkoloni Mwingereza ambae nae hakuwaza mbele kuwa hawa pia ni binadamu kuna kuzaliana,mifugo k uzaliana n.k.Leo tunaongelea Masai zaidi ya 150000 na mifugo zaidi ya 1m,so wame- suffocate eneo la wanyama asili waliowakuta,wanyama asili wamehama maeneo yao kwa kukosa malisho na maji.
Leo wamasai wajanja wamejenga nyumba za kudumu badala ya zile za Manyatta,.
Kibaya zaidi maasai matajiri walioko mijini wamehamishia mifugo yao hifadhini kwa ndugu zao.
Lengo la uhifadhi ni kuhakikisha vijukuu na vitukuu vyako vinaona hawa wanyamapori,husiwe mbinafsi na kuangalia karibu km nguruwe.
Wametafutiwa eneo potential lenye mahitaji yote muhimu sana tena kuliko Ncaa halafu bado unalalamika???Yaani km mkoloni alikosea kuwasukuma Ncaa aidha kwa maslahi yake na sisi tuendelee na mawazo yake na makosa yake?Hii ni nchi yetu wote na keki inayopatikana huko ni yetu wote.Anyway km Wamasai wangehamishiwa jangwani hata mimi ningelikuwa upande wako.
Acha ufala wewe unadandia yasiyokuhusuDuh dada basi nitakuoa msamehe bure mrembo wangu.
Tena wewe fala kaa mbali na comment zanguDuh dada basi nitakuoa msamehe bure mrembo wangu.
Wewe matusi yako ndio unaona mapya???Una vitusi vya kizamani na kitoto sana.
Wewe mnuka kun.du hilo aliyekwambia mtu kuitwa dada ni dhihaka nani huyo.
Shahawa za kisasa wewe kajambe kushoto
Nikiwa msichana wewe inakuwasha hiyo chupi yako ya material ya mgomba?Wewe matusi yako ndio unaona mapya???
Nitakuua na wivu, na bado nyooo...
Kwani kuwa mwanamke ni tusi?! mbona hujikubali wewe?! au unadhania unaweza ukajificha ndani ya ID fake, wewe ni msichana na ni mdogo sana sidhani hata kama umefika 24 years, kakojolewe utulie mapepe pumbafu