Sakata la Wamasai Ngorongoro; Tuisaidie Serikali kuona 'Alternatives'

Sakata la Wamasai Ngorongoro; Tuisaidie Serikali kuona 'Alternatives'

Nikiwa msichana wewe inakuwasha hiyo chupi yako ya material ya mgomba?
Tatizo uwe msichana halafu ukatae kuwa msichana, hapo ni tatizo kubwa sio kwa mama yako tu na baba yako pia..mxieww
 
Na nikuonee wivu wewe kuna mgawo wa hela humu au mb wanatoa bure?
Tuliza kalio hilo lenye mabonde mabonde mwanamke mchachu kama mavi ya mchicha
Sasa kumbe unajua hatupewi hela wala MB bure, wewe shida na Becky inatoka wapi?! malaya uliyechuja wewe!.
 
Wamasai siyo watu special,ardhi ni Mali ya serikali,Kama serikali imeona Kuna manufaa kuwahamisha wahame waende huko arable land
Mleta mada kama sio mkenya, basi anatumiwa na wakenya wanaofaidika na kinachoendelea katika ardhi yetu.
 
Kwanini watanzania tusiandamane kupinga hiyo mbuga kuuzwa badala yake tunawaachia maasai as if wao sio watanzania au siyo binadamu

Sisi sote ni watanzania na wale wachache wananyanyaswa tusimame nao kutetea ardhi yetu siyo kukaa kwenye mitandao kujajili shit shit tu
 
Back
Top Bottom