Malaika wa Waha
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 319
- 885
shubaamit, ulivyozaliwa nahis ulikunywa maji ya uzazi ya mama yako ndomaan akili zako hazipo sawa somewhere.Hongera kwa kuwapenda wanaume wenzio wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shubaamit, ulivyozaliwa nahis ulikunywa maji ya uzazi ya mama yako ndomaan akili zako hazipo sawa somewhere.Hongera kwa kuwapenda wanaume wenzio wote
Baunsa anakatoa ukumbini ili kutuliza wanaume wenye hasira kali kwnyewe kanajifanya hakataki kanahoji kwanini wanarusha machupa,🤣🤣🤣🙌Jmn kafanyaje
Mchupi kama diaper iliyojaa kojo la mtotounamatusi wewe..🤣
sijakuzuia kuwapenda wanaume wenzio hasira za nini sasa we muhashubaamit, ulivyozaliwa nahis ulikunywa maji ya uzazi ya mama yako ndomaan akili zako hazipo sawa somewhere.
mnajidanganya na roho zenu mbaya watu wanaendelea na mabmbo yao nyie mmekaa na chuki zenu wewe wakujilinganisha na hamonize wewe???Na bado, Mamluki wote akiwemo Harmonize watakiona cha moto
Mkuu mbona kama unahamu sana ya kushika mimba? Kila comment yako ni swala la kushika mimbaHao mizee ya tangu 2010 ikishindwa kushika mimba za mume zao watakuja kuilalamikia ccm huku, subir tuu.
Nataka nikupe mimba wwMkuu mbona kama unahamu sana ya kushika mimba? Kila comment yako ni swala la kushika mimba
Shauri yako, mwanaume muda wote kuongelea kupata mimba jua kuna tatizo sehemuNataka nikupe mimba ww
Hy mimba nayozungumzia c nataka nikupe wwShauri yako, mwanaume muda wote kuongelea kupata mimba jua kuna tatizo sehemu
Ni machawa na makunguniWatu wamekurupuka na negative comments Kwa watu wa mbeya bila kufuatilia na kujua chanzo Cha tatizo
HahahahahaDiamond mwenyewe anakiri kuwa kuna mambo walifanya amabyo hata hayafai kupost hayo ni mambo gani kama siyo kulawitiana?
kweli wazanzibar wametudharau yani SA100 katunyoshe kidole cha kati na hadi zuchu naye anafanya hivyo hivyo .Kilicho wakera hasa ni hii ishara ya dole la lati
View: https://x.com/lifeofmshaba/status/1840444113025400944?t=HQa05gIZAhN0Xht5BZzddQ&s=09
Tamasha la mziki la Wasafi Festival lililoandaliwa kwa gharama kubwa limeingia dosari mkoani Mbeya baada ya nsanii wake Zuchu kurushiwa chupa za maji stejini pale alipoanza tu kutumbuiza hali iliyomfanya asiendelee
Ni utamaduni wa kiafrika na mwafika kushirikiana kila jambo kwenye jamii
Kiafrika wanasema tulie wote tucheke wote.. Ukienda tofauti na hii kanuni.. Wanakubiri pa kukupata!
Taifa liko kwenye mtanziko mkubwa wa watu kudhulumiwa uhai wao
Watu kutekwa na kuteswa mateso mabaya kabisa
Watu kutekwa na kupotezwa
Ilitarajiwa hata litoke tamko la kinafiki kutoa pole na walau kulaani haya matukio lakini ndio kwanza wako wanasema mitano tena kwa mama!
Walipaswa kujua ya kwamba mashabiki wanaowategemea kuwachangia na kuhudhuria matamasha yao ni wa
Itikadi zote
Vyama vyote
Jinsia zote nknk
Na ndio hawa wanaotekwa kuteswa na kupotezwa kila siku.. Ndio hawa hawa ambao ndugu jamaa na Watanyika wenzao wamefanyiwa yote haya.. Unategemea nini kuwaendea watu kama hawa ambao tayari umeshaonesha upande wako?
Kamati ya Wasafi Festival ina nafasi bado ya kujirudi na kuweka mambo sawa.. Mashabiki ndio kila kitu.. Wakipuuzia hili mwaka huu tamasha linaweza kuvunja rekodi ya kufanya vibaya.. Jambo ambalo ni baya sana kwa brand kubwa kama Wasafi kibiashara na kijamii
Sakata la Diddy ni kichocheo tuu cha kulipua yaliyojaa vifuani mwa watu
Kama ndio hivi apigwe tu!Inawezekana hicho kipengele hakijarekodiwa ila waliokuwepo eneo la tukio wanashuhudia kuwa hiyo kurusha chupa na matakataka ilianza baada ya kusema mitano tena kwa maza
Fimbo ya mbali una mbwembwe sana aiseeNa bado, Mamluki wote akiwemo Harmonize watakiona cha moto