Sakata la Wasafi Festival Mbeya, ishu sio sakata la PDiddy ni CCM. Wana nafasi bado ya kujirekebisha

Bushoke kipindi wamoto sana kwenye tamasha la fiesta akaletaga uccm wa kumsifia jk stejini wakulungwa wakampoapoa na ndio ukawa mwisho wake ,
Moral of the story fanya ufanyavyo usikubali kupopolewa na wakulungwa stejin kwa sababu ya wanasiasa maama baada ya hapo hutoboi
 
Ujinga mtupu , sasa Zuchu ndio Nchimbi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…