Sakata la Wema Sepetu na Diana lafikia pazito

Weeeeee usinambie[emoji16][emoji16][emoji16]....kumbe ndivyo alivyorudigi kwa mamaake?

Uhuni wa kishamba sana huo[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnalaana nyie mnasagana wakati washakji wanapiga nyeto..
Ila sepwtunga unlips nzur
 
Alihojiwa
Weeeeee usinambie[emoji16][emoji16][emoji16]....kumbe ndivyo alivyorudigi kwa mamaake?

Uhuni wa kishamba sana huo[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
akasema ilifika hali akawa hata mafuta ya kupaka hana Jumbe anamwambia aombe kwa wifi ajipake, akachanganaya akili akaona karibu atapewa karai achome vitumbua kibarazani.
 
Na apambane haswa, hakumtaka kanumba wala Jumbe anataka kumuuza kwa madanga ili waendeshe magari mjini sasa sijui nani alaumiwe?
Ewaaaa....mtoto alimgeuza fursa mjini, unategemea nini?

Kipindi kile Ck walikuwa wanamuona wa maana kinoma!

Na ndio danga moja tu la maana wema alilowahi pata maishani, wengine ni fyucha[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ewaaaa....mtoto alimgeuza fursa mjini, unategemea nini?

Kipindi kile Ck walikuwa wanamuona wa maana kinoma!

Na ndio danga moja tu la maana wema alilowahi pata maishani, wengine ni fyucha[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Haswa mama alimpenda sana CK mpaka kumtuhumu kajala kamuibia wema bwanake, dah! wamama wa mjini tabu tupu.
 
Mtu mzima kama yule anatongozwa na Steve Nyerere ujue hajiheshimu zile audio alizo vujisha mwenyewe
 
Yaani ana danga pesa akipata anaifanyia vitu vya kijinga.
Yule akidanga akapata pesa cha kwanza ni kutunza jukwaani ili aonekane anazo, kulewa, kampani, kukodisha ndinga kali, pochi na pamba kwishnei[emoji119]

Juzi kati nimetembelea home ( Ni karibu na kwao pale sinza mori meeda bar kama unaelekea hostel) nikaona anachomoka getini kwao anaingia kwenye brevis akasepa! Nikawauliza home shost siku hizi hili ndo gari yake? Wakaniambia ndo wanamuona nalo siku hizi ...sasa sijui ni lake au kakodi!

Nikikumbuka Murano la Domo anasema anafugia mbwa wake[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni
kama ni lake itakuwa Bashite kamuunganisha mahali na kaambiwa marufuku kutangaza, maana siku hizi yeye na bashite dam dam.
 
Mama atulie tu Samaki ameshakauka huyo.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ