Yeah....itakuwa kala hasaraItakuwa kamtia hasara, yule anaweza kutoa zawadi duka zima .
Mama kaamua tu kutuchemsha ila ukweli anaujuaWema ana utoto gani wa kufundishwa tabia mbaya????? Huyo mama nae haielewi jitu zima kama wema useme linafundishwa tabia mbaya kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeWanawake wachache sana wanaikubali na kuipokea hali ya kutokuwa na mtoto..!! Wema lazima achanganyikiwee kama sio kupagawaa... Labda anahisi diana anaweza mpa mimna sijuii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Amekata tamaa sanaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa[emoji16]Huoni anavyo sikitika ? Washamuaribu mtoto wa watu kihisia sasa kageugikia dick master 3000 anaanza kulia lia oh sijui nini kimemtokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni huyo ilikuwa ni magunia ya bangi sio mirungiHuyo huyo alikuwa PPF
Yes siku 14..alivyotoka tu akaenda mla denda yule teja wake Jumbe na mama ake akishuhudia mahakamani
Wema hajaanza vituko leo eti, watu toka tuko secondary huko anatupunguzia stress za mitihani ya necta[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anataka taifa limsaidie kuleaa mtoto...
Hilo danga lake ni lipi?Huyu mama kashachelewa mwanae ameamuwa kuwa msagaji na chaguo lake ni Diana, asimpige diana tu awapeleke kwenye ushauri nasaha waache kusagana, maskini Diana tangu danga lake la moshi liwekwe magereza anapata taabu sana, lile danga lilikuwa linamsaga vyema mtoto alitulia na skendo hakuwa nazo.
Cjui kwanini madem wa moshi/k.njaro,arusha wanapenda sana kusagana,haimaanish sehen nyingin hawasagani lakin maeneo hayo ni konki fire!Huyo huyo ndio alimuhamisha Diana Dar na kumtuliza moshi.
Nakumbuka vzr sanaa!!!tuu kumbe nawe mhenga eehhHaaaaahaaaaaa, kweli fyucha.. jamani, halafu wema inaonekana anapenda sana madenda unakumbuka alivyotolewa gerezani na mama ake baada ya kumuwekea dhamana alivyovunja kioo cha gari cha kanumba wakati huo wema anaishi na Jumbe, kutoka lupango tu kwenye viwanja vya mahakama akamvaa Jumbe na kumpa madenda hovyo hovyo na kutaka kuondoka nae, mama akapagawa akatishia kufuta dhamana, wema yuko baby , baby huku anakula denda tu Jumbe kabaik na aibu, cha eti leo afundishwe tabia mbaya na Diana? Litakuwa ajabu jipya la dunia.
Kumbukumbu kwenye udaku tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Hahah.. nimekumbuka, una kumbukumbu sana aseeh
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umesahau na vijana Arachuga wengi wanajiingiza kwenye ushoga....kwa hapa dar almost wale famous wametokea arusha na moshiCjui kwanini madem wa moshi/k.njaro,arusha wanapenda sana kusagana,haimaanish sehen nyingin hawasagani lakin maeneo hayo ni konki fire!
Sent using Jamii Forums mobile app
japo madam anaonekana kachoka but akinipa napiga kiroho safi
Mama nae kwanza anapenda media kama nini. Anaona kila kitu ni kupeleka kwenye media hajui anamdhalilisha mwanae
Umesahau na vijana Arachuga wengi wanajiingiza kwenye ushoga....kwa hapa dar almost wale famous wametokea arusha na moshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mbaya mkuu K ni K tu...haijalishijapo madam anaonekana kachoka but akinipa napiga kiroho safi