Sakata la Zari na makalio bandia

Sakata la Zari na makalio bandia

Status
Not open for further replies.
Z
Achana na habari zote zinazotikisa kwa sasa,habari ya Zari a.k.a Boss lady kuweka makalio ya bandia imeshika kasi.

Kama mtakumbuka majuzi hapo Zari alihudhuria hafla ya tangazo la Vodacom ambalo yeye na mwenzi wake Diamond wameingia mkataba wa kulitangaza bibie Zari alipigilia kigauni matata chekundu.

Hafla hiyo imezua ming'ono mingi kuhusu Zari wengi wakidai ni mzee kuliko anavyopost picha zake yeye mwenyewe (too much editing) maana wadau waliokuwa pale walimpiga picha original ambazo zimezua kizaazaa.

Achana na hilo la sura balaa kubwa lipo kwenye shape aliyoonekana nayo Zari kwenye hafla hiyo kuwa tofauti na ile tuliyoizoea hadi wadau kuhoji je bibie Zari nae ni mdau wa kigodoro? (kuvaa nguo za ndani zilizotuna kuboresha muonekano wa shape)

Maneno pembeni, hapa kuna picha za Zari kabla akiwa na shape tuliyoizoea na shape 'TATA'.

View attachment 321993

View attachment 321994
Zari mpigaji tuu pesa,mtu anayejiheshimu hawezi zaa watoto 4 kila mtoto na baba yake,hivyo kila kituko afanyacho ni sawa tuu akilini mwake.
 
Z

Zari mpigaji tuu pesa,mtu anayejiheshimu hawezi zaa watoto 4 kila mtoto na baba yake,hivyo kila kituko afanyacho ni sawa tuu akilini mwake.
Eeeeh unasema?????

Ngoja waje wenye timu zao......
 
Mi naona kama kanenepa tu.
Kuna interview moja alifanyiwa na sporah zile picha alizopiga pia alikuwa kama hapo alipo na nguo nyekundu.
Kwenye web ya sporah show zipo mie siwezi kuweka picha.

But watu mbona wamekuwa defensive sana au bosslady ni marufuku kusemwa??!!!
 
Hizi team cjui ugoro mara vigodoro hawana zuri kwao.....huyo zari kwa shape n neema za allah kajaliwa ...... huyo bibi wa sinza mori yeye aendelee kuchambia dawa za kichina mana hips n tako lake hayana uwiano... tuache ushabiki madam amezidiwa kila ki2 n zari

na mkorongo juu..
 
Bongo bwana, umbea tu. Afaidi mwingine, mpiga kijembe mwingine!
 
HAHAHAHAHAHAAAAA ZARI APANIC HUKO INSTAGRAM KAMA KAWAIDA YAKE,KAAMUA KUNIJIBU!
Sikiliza nikupe ushauri wa bure Zari,acha kupanic maana naona unasema kwamba mimi na wale waliodai wewe ni mdau kigodoro tumepanic,kwa majibu haya ni nani aliyepanic zaidi?
Why using too much energy kuprove kuwa hutumii kigodoro?
Hujui hapa ndio umezidi kutupa doubt zaidi?
Je unajua kama wewe ni celebrity tayari?
Utaacha lini hizi ligi za kipumbavu za kubishana hadi na Anonymous kama Nifah?
So Zari alikujibu wewe?
Mweee
 
Wewe mwanamke unapenda kweli habari za kimbeambea sijui kwanini. Au mwenzetu labda ni muajiriwa wa Global Publishers kwa Shigongo?
Hujui kwanini na huwezi kujua.
Wewe ulitaka nipende nini?
 
Kubwa kuliko yote Diamond karidhika, kamkubali na anampenda, Zari nae ni mwanamke alie mkubali Diamond na kumpenda ndio maana aka amua kumzalia mtoto. Haya mengine ni nyongeza tu, na jinsi wanavyo vutwa nyuma wao ndio wanazidi kusonga mbele. Wa mbili havai moja zari ana nyota nzuri.
Kama kumzalia mwanaume mtoto ndio kumpenda basi alimpenda zaidi Ivan aliyemzalia watoto watatu.
 
Mmmmh,kazi ipo,
Achana na habari zote zinazotikisa kwa sasa,habari ya Zari a.k.a Boss lady kuweka makalio ya bandia imeshika kasi.

Kama mtakumbuka majuzi hapo Zari alihudhuria hafla ya tangazo la Vodacom ambalo yeye na mwenzi wake Diamond wameingia mkataba wa kulitangaza bibie Zari alipigilia kigauni matata chekundu.

Hafla hiyo imezua ming'ono mingi kuhusu Zari wengi wakidai ni mzee kuliko anavyopost picha zake yeye mwenyewe (too much editing) maana wadau waliokuwa pale walimpiga picha original ambazo zimezua kizaazaa.

Achana na hilo la sura balaa kubwa lipo kwenye shape aliyoonekana nayo Zari kwenye hafla hiyo kuwa tofauti na ile tuliyoizoea hadi wadau kuhoji je bibie Zari nae ni mdau wa kigodoro? (kuvaa nguo za ndani zilizotuna kuboresha muonekano wa shape)

Maneno pembeni, hapa kuna picha za Zari kabla akiwa na shape tuliyoizoea na shape 'TATA'.

View attachment 321993

View attachment 321994
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom