DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Hapo ndo alitakiwa akapambane mahakamani kujitetea mwnywKawasafirisha kutoka wapi kwenda wapi jamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndo alitakiwa akapambane mahakamani kujitetea mwnywKawasafirisha kutoka wapi kwenda wapi jamani?
Uasherati wa mke au mume ni kosa la madai, mwenye mke au mume anaweza kupotezea tu.Simply fulani anafanya uasherati na hajakamatwa na mke au mume wake haimaanishi nawe hautakamatwa.
Kuna makosa yapo polisi sio wajinga yule ni mtu wa dini ana wafuasi wanajua yoteKuna watu wanaudhika pia wewe ukila Kitimoto. Lazima tujifunze kuishi kwa kuvumiliana imani na itikadi tofauti ilimradi watu hawavunji sheria wala kudhuru wengine.
Ajaonewa labda sababu ndie anaetrend kwa sasaSasa tunaenda sawa,kwa kuwa umekiri kwa kinywa chako kwamba makanisa mengi ni makanisa ya shetani,sasa kwa nini anaonewa mmoja? kwa nini Zumaridi?si wakamatwe wote?
Hii mada imekuzidi umri.... umesoma jujuu kwamba kajiita Mungu,hebu pitia kwanza you tube video zake ndio uje ki comment humu. namnukuu kama alivyojitambulisha""YEYE NI MFALME ZUMARIDI,MAMLAKA YA MUNGU CHINI YA JUA,,YUPO HAPA KUMUWAKILISHA ALFA NA OMEGA""sasa wapi kajiita ye ye ni Mungu'?? Unaelewa neno MAMLAKA ?Kuna kanisa linaitwa CHRIST MANDATE so wamejita Yesu na wao .... Wa Tanzania muwe mnajipa muda wa kuelewa mambo kabla hamjakurupukaPumzika sasa wacha mfalme Zumaridi apambane nayo yeye ndio mungu wenu. Kama wewe ni mkristo kweli usingemtetea sijali kuhusu mavazi yake kwanza libaya tu Ila ewe mkristo usikubali kumuita binadamu mwenzio au kumfananisha na Mungu.
Mie sijali anafanya mambo gani, anavaa nini, anaongea nini, anakaa na akina nani nk Ila kujiita Mungu aisee huyu hafai hata robo. Kwani angefanya hayo mazingaombwe yake bila kujiita hayo majina Kuna ubaya gani?
Kwani kuliita jina la Mungu kwa mizaha namna hii ni katazo kubwa kwenye biblia Kama wewe ni mkristo kweli basi kwako inatosha kuwa chukizo mbele yako kwakuwa hata mbele yake mwenye jina lipitayo majina yote ni chukizo na ubatili mkubwa kwa yite yanayofanyika pale.
Sijali anavaa nini Kama wengine wengi wanavyoisema in my view halitamanishi chochote libaya tu, Ila naudhika mtu kujiita Mungu.
Sijui sakata la huyu dada wala sielewi kabisaJoh Davie.,Malisa,Kuhani Musa,Mzee wa upako,Mwingira.... jamani tuwe wa kweli huyu mdada Kaonewaaaaa
kabisa... akiwajibishwa mmoja watatuliaYupo mtu wa ama kustaafishwa kwa maslahi ya umma ama kufukuzwa kazi,ukikaji umeshamiri.
Imeanza kuongea pumba nilianza taratibu nawe ili nione namna ulivyoivaa hii mada.Hii mada imekuzidi umri.... umesoma jujuu kwamba kajiita Mungu,hebu pitia kwanza you tube video zake ndio uje ki comment humu. namnukuu kama alivyojitambulisha""YEYE NI MFALME ZUMARIDI,MAMLAKA YA MUNGU CHINI YA JUA,,YUPO HAPA KUMUWAKILISHA ALFA NA OMEGA""sasa wapi kajiita ye ye ni Mungu'?? Unaelewa neno MAMLAKA ?Kuna kanisa linaitwa CHRIST MANDATE so wamejita Yesu na wao .... Wa Tanzania muwe mnajipa muda wa kuelewa mambo kabla hamjakurupuka
Kuna makosa yapo polisi sio wajinga yule ni mtu wa dini ana wafuasi wanajua yote
Yaani hamna hata la maana wameamua tu kumletea Tafrani.. Yeye anahubiri na kanisa lake na kapata wafuasi kwa hiari Yao sasa polisi wamemkamata kwamba Anashitakiwa kwa kosa la human trafficking...Sijui sakata la huyu dada wala sielewi kabisa
Hii nchi Ina wapumbavu wengi sana 😃Waumini wa zumaridi bana
My dear kama wewe ni mwandikaji mzuri wa research mbona issue ndogo kama hii umeshindwa kufanya research kabla hujaanza kuna comment? Unaweza kuwa na PHD ila kuna vitu vidogo vya dunia ni vikakuchenga,maana research zenu za siku hizi nazo mnazijua wenyewe mnavyofanya.... Asante kwa respect uliyonipa nami pia nairudisha kwako kwa taadhima... Mimi bado nipo hapa Leo na Zumaridi mpaka apewe Haki yake.. Have a nice evening!Imeanza kuongea pumba nilianza taratibu nawe ili nione namna ulivyoivaa hii mada.
Ila sababu unaonekana ni mwanamke sitaweza kubishana nawe sababu haya makanisa ndio maeneo yenu mnakokimbilia kupagawa kwenu.
I have big respect for you, ukitaka umri na uwezo wangu wa shule nitakuDM Hadi research zangu nilizowahi kufanya na ninazofanya na zipo kwenye level gani ya recognition academically.
But wacha uendelee na Zumaridi wako maana utakuj kunitusi bure.
Usitukane watu,we mwerevu leta fact.. mbona unakimbia?'Hii nchi Ina wapumbavu wengi sana 😃
Hizi dini hizi inabidi serikali ama iwe kama kagame ama laa kuwe na utaratibu maalumu. Zinauwa nguvu kazi kabisa mtu anabaki kuzunguka akisema anahubiri. na mbaya zaidi wengi wao ni wanawake.Yaani hamna hata la maana wameamua tu kumletea Tafrani.. Yeye anahubiri na kanisa lake na kapata wafuasi kwa hiari Yao sasa polisi wamemkamata kwamba Anashitakiwa kwa kosa la human trafficking...