Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Report ya polisi haijasema hayo! Imesema amekamatwa kwa kusafilisha binadamu? Jiulize hao binadamu Zumalidi kakutwa nao anawapeleka wapi kwenye wapi kwa maslahi gani hadi iwe jinai?

Watu wanaweza kukusanyika kwa mtu kufurahi ,kusali au kufanya msiba, je ni kosa watu kukusanyika kwa mpendwa wao?
Kabla ya kumkatamata kuna upelelezi au tukio la uharifu. Huyu maza anayejiita mfalme (yaani wa kike anajiita dume) anawahadaa kwa picha la kutengeneza imani na kanisa but behind the scene ni mharifu.

Anajiita mungu, si ayeyuke awatoroke polisi?

Acha awajibishwe, akikutwa na kosa afungwe 20 yrs akanyooke huko.

Sasa wewe mtoa mada sijui ndo utakua mungu mpya wa kondoo wa Zumalidi???
 
Hizi dini hizi inabidi serikali ama iwe kama kagame ama laa kuwe na utaratibu maalumu. Zinauwa nguvu kazi kabisa mtu anabaki kuzunguka akisema anahubiri. na mbaya zaidi wengi wao ni wanawake.
Sawa kabisa kama ni hivyo serikali ichukue hatua kwa wote... Huyu dada Hana tofauti na Mwamposa kuna watu wanalala na kuamka Kawe mbona Mwamposa hashikwi?ndio kwanza anasindikizwa na escort ya police... Tanzania ni moja na binadamu wote sawa... wafungie makanisa yote tujue moja
 
Usitukane watu,we mwerevu leta fact.. mbona unakimbia?'
Mie sijajibu hoja yako dada/mama/Bibi niliyemquote mwingine kabisa , just deal with your issues unless hao wapumbavu niliowaona umejihisi nawe nimekuona but sijakutaja wala sikuwa nakujibu wewe, ndio maana toka mwanzo nilikuambia take a chill pill kidogo.

Don't get personal na pia upumbavu sio tusi.
 
Sababu gani za kisheria zilizosababisha kanisa lake kufungiwa?
Walisema hakusajili kanisa lake na pia hatambuliki yupo kwenye denomination gani kwahiyo afuate hizo taratibu kwanza,Sasa yeye akatoka pale akaanza kufanyia ibada nyumbani kwake.kuna video ipo YouTube alivyofungiwa kanisa na mkuu wa wilaya ya nyamagana alielezea vizuri hizo sababu unaweza kuangalia.
 
Mie sijajibu hoja yako dada/mama/Bibi niliyemquote mwingine kabisa , just deal with your issues unless hao wapumbavu niliowaona umejihisi nawe nimekuona but sijakutaja wala sikuwa nakujibu wewe, ndio maana toka mwanzo nilikuambia take a chill pill kidogo.

Don't get personal na pia upumbavu sio tusi.
Call me Bibi inatosha...Yeah nimejihisi kweli hujakosea maana ni miongoni mwa wale tunaoona Bibie kaonewa.... Ila kwa jinsi umejieleza hapa hamna neno Mimi na wewe tumefunga mjadala maana t umeshindwa kufika muafaka.
 
Bado mleta mada ana hoja ya msingi, kuna uvunjwaji mkubwa kwenye ukamataji watu, kwa nini polisi aliyevaa kiraia aruke ukuta kuingia kwako? Je mwenye nyumba akiamua kum shoot?? Kwa nini ukamataji usifanyike kwa kufuata sheria na taratibu? Pili kama huu mfumo wa aina hii ya ufunguaji mashtaka itaendelea basi hata wewe Kuna siku utabambikiwa kesi kwamba umeiba kifaru kama yule mwanakijiji kule ukraine [emoji12][emoji12]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa mambo yanayoendelea kama taifa kuna umuhimu tena wa haraka sana kupitia upya sheria zote zinazohusu Dini na kuabudu
 
Kabla ya kumkatamata kuna upelelezi au tukio la uharifu. Huyu maza anayejiita mfalme (yaani wa kike anajiita dume) anawahadaa kwa picha la kutengeneza imani na kanisa but behind the scene ni mharifu.

Anajiita mungu, si ayeyuke awatoroke polisi?

Acha awajibishwe, akikutwa na kosa afungwe 20 yrs akanyooke huko.

Sasa wewe mtoa mada sijui ndo utakua mungu mpya wa kondoo wa Zumalidi???
NANI ALIWAHI KUWATOROKA WAYAHUDI?
 
Mleta mada Mimi nakuunga mkoano kwa asilimia Mia.. Hili suala la Zumaridi nilishasema tangu siku ya kwanza ni la kulikemea... Wale watu wamekusanyika kwa hiari Yao binafsi eti police anawakataza.... na huyo style Yao ya kuvamia ndio utopolo kabisa wa Hilo linanifanya jeshi la polisi ni ounevu tu.. wafuate sheria na haki
ungeeleza kwanza kaonewa vipi?
 
Elimu itolewe kwa Hao watoto wenu.. hajawateka,wapo pale kwa hiari yao,hajamfunga mtu kamba,kudhihirisha wana furaha na kiongozi wao ndio maana walianza kupambana na police... Tafadhali msikuze mambo
kupambana na polisi, unapambana vipi na polisi kabla hujajua kilichowaleta!?
 
Sio kweli,siku ya kwanza hawakugonga... waliruka kama makondoo.... usitetee vitu ambavyo vinaweza kukupata siku moja.. tukemee huu uonezi wa jeshi la polisi sio kutungatunga kesi zisizo na kichwa wala miguu
kumbe nawewe Ni kerubi Mana umejibu km mtu aliekwepo eneo la tukio
 
Nakaa eneo ambalo kanisa lake lilikuwepo na likafungwa. Kwa ujumla sikubaliani na huyu mama,Ila treatment ya polisi kwa raia,sio tu Lady Zuma,na wengine wengi hairidhishi.Wanatumia nguvu kupita kiasi.
ni police force sio service
 
Kabla ya kumkatamata kuna upelelezi au tukio la uharifu. Huyu maza anayejiita mfalme (yaani wa kike anajiita dume) anawahadaa kwa picha la kutengeneza imani na kanisa but behind the scene ni mharifu.

Anajiita mungu, si ayeyuke awatoroke polisi?

Acha awajibishwe, akikutwa na kosa afungwe 20 yrs akanyooke huko.

Sasa wewe mtoa mada sijui ndo utakua mungu mpya wa kondoo wa Zumalidi???
Tisa kumi, zumalid anajiita mfalme hkuna MTU amepelekwa palë kila mmoja kaenda Kwa Akili yake, tuwalaumu hawa ndugu zëtu Kwa kuingizwa mkenge na mfalme lkn zuma hana kosa lolote kujiita mfalme... Dini HIV sasa imekuwa biashara na kila MTU na ubunifu wake, Leo zuma kaanza Leo?? S alikuwepo na serikal ilikuwepo.. zuma anaweza kuwa ana makosa lkn treatment yake haikua sawa.... Leo makanisa mengi ya walokole wameanzisha miji yao ndan ya makanisa yao.......
 
utashi gani ulioongea wewe hapa zaidi ya hisia
Hisia zangu zipo kuna sehemu zinatumika sio kwenye kesi ya Zumaridi.. .. halafu wewe vipi? Hebu soma Uzi wote mbona kama unatafutatafuta comment zangu ndio unasoma?unanichosha bwana kurudiarudi Leo nilikuwa hapa siku nzima ulikuwa wapi?
 
Mkuu DP,Kama kuna taratibu za kufuata mbona ile siku ya kwanza police Hawa kufuata taratibu za kumkamata,walienda bila search warrant wakaingia kikomandoo.kwa nini rule ukuta wa mtu na geti lipo?,siku ya pili ndio wakaenda kiutaratibu Je hiyo imekaaje?
wewe Kuna vitu viwili unachanganya, search warrant na arrest warrant. Search warrant inahitaji kiongoz wa mtaa Ila arresting haihitaji uwepo wa kiongoz wa mtaa. Wewe hapa unaongelea kipi kilichovunjwa!?
 
wewe Kuna vitu viwili unachanganya, search warrant na arrest warrant. Search warrant inahitaji kiongoz wa mtaa Ila arresting haihitaji uwepo wa kiongoz wa mtaa. Wewe hapa unaongelea kipi kilichovunjwa!?
Ki moja katika hizo chochote tu kingefaa.... au wewe unashauri wangeenda na kipi katika hizo kuliko kuvamia kama maninja?
 
Back
Top Bottom