Hadi wamemtoa damu!Sijui hata kwa nini wanakuwa hivyo... sijui ni Elimu ndogo au ubabeHawa polisi wasenge sana, wanaingia kwa mtu kama majambazi tena kwa kuruka ukuta then una mpiga mtuhumiwa bila ushaidi wowote hii nchi ni ya ajabu na isiyojali raia wake
Wabongo kwa kuku
Acha kutetea ujinga,kama unaamini Kwa huyo changudoa endelea tu haina shidaKwahiyo wewe shida yako ni mfumo wa kitasisi..hayo mambo ya ajabu mbona yapo kwa kila imani..
#MaendeleoHayanaChama
Acha kutetea ujinga,kama unaamini Kwa huyo changudoa endelea tu haina shida
Chagua mojambona unaniambia niache,halafu niendelee ndio nifanyaje sasa?
Na mie nashangaa hapa.Ujinga huondolewa na watu kupewa ELIMU mbona kuna wachungaji wengine wanawauzia maji kwa bei ya jumla kama mafuta ya upako na hawakamatwi?
Mama wa watu kaona kuliko kudanga anahubiri wanamkamatia nini?
Nani kalazimishwa kusali pale?
Kwann wasikamatwe na wao?Wachungaji wote mi naona matapeli tu
Unawashwa.Chagua moja
Mwamposa, gwajima, masanja? Je hawa nao?Kwa kudanganya
Kwa kukusanya watoto wa wenyewe akawafuga kama mbuzi
Kuhubiri upumbavu
Kujipatia kipato kinyume na sheria
Kuwatumikisha watu na kuwafanya mabwege
Kujifananisha na Mungu
Soma Katiba utajifunza mengi
Usisahau kusoma Vitabu Vitakatifu pia
Kwaiyo kwa akili yako hao watu 149 wake kwa waume walikua kwenye kontena,,!? Tumia akili fala nini,,Kwani hao watu 149 walikuwa kwenye nyumba ya ibada? If not; hauwezi kuwalinganisha na Mwamposa au Wakatoliki wanaokuwa sehemu rasmi ya ibada.
Nikweli ndiyo maana siendi Kwa Zumaridi kama weweUnawashwa.
Waganga njaa tu wa mjiniMwamposa, gwajima, masanja? Je hawa nao?
Na wale kwa mwamposa? Misukule au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dmkali mwanangu... kwa hili la huyu Mchungaji na Unguli wako hapa JF unajidhalilisha bure tu. Ungekuwa wewe ndie RPC wa Mwanza ukatuma Vijana wakaishia kurekodiwa na kufanyiwa ule ujinga na yale mazombie ungwfanyaje?
Kumbuka tayari kuna watoto hawaendi kuanza Form I wamefungiwa ili wawe Zombies.
Naaaamini wengi wetu tungekuwa Askari baada ya zile fujo za Mara ya kwanza next time kwenda kuwakamata ingetokea nini?
Polisi wamefanya kazi nzuri mnooooooo. Sitaki kusema mleta mada ni miongoni mwa hao misukule, lkn niseme amejishushia heshima kusapoti ule ujima wanaofanyiwa hao mnaita mazombie, ile siyo kuabudu bali ni watu wamefanyiwa dhuluma ya akili
Wa tz bado hawana uelewa kabisaa, bora hata wee uwaambie lolBado mleta mada ana hoja ya msingi, kuna uvunjwaji mkubwa kwenye ukamataji watu, kwa nini polisi aliyevaa kiraia aruke ukuta kuingia kwako? Je mwenye nyumba akiamua kum shoot?? Kwa nini ukamataji usifanyike kwa kufuata sheria na taratibu? Pili kama huu mfumo wa aina hii ya ufunguaji mashtaka itaendelea basi hata wewe Kuna siku utabambikiwa kesi kwamba umeiba kifaru kama yule mwanakijiji kule ukraine [emoji12][emoji12]
Mkuu hizi mambo za Imani ni Ulaibu kwa baadhi ya wadau so tuwaacheNa wale kwa mwamposa? Misukule au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana mapozi na matashtiti mfalme Zumaridi lol
Huyu zumaridi japo ni mpigaji kama wapigaji wengine lakini utofauti wake na wachungaji wengine ni kuwa huyu zumaridi anapenda kusaidia watu na kile anachikipata hupenda kugawana na maskini wanaomzunguka ndo maana watu huwa hawakauki kwake wakipata mahitaji ya chakula na malazi buree.Hadi wamemtoa damu!Sijui hata kwa nini wanakuwa hivyo... sijui ni Elimu ndogo au ubabe
Mwaposa pale kwake ni nyumba ya ibada? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siyo nyumba ya ibada hiyo.
ππππNa wale kwa mwamposa? Misukule au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yote KWA yote hivi waumini wa zumaridi sahiv sadaka wanampa nani [emoji849][emoji849]nami ngoja nikafungue kakanisa kangu huko niibe waumini wa zumaridi waje KWA babyfancy church [emoji39][emoji39]
Nikweli ndiyo maana siendi Kwa Zumaridi kama wewe
Wenyewe wanataka wapigaji kama kina Mwam anawaambie kondoo wajimalize kila kitu,kondoo wanaanza kuhaha jinsi ya? kufika chamanzi yeye anasepa na V8 lake.... Eti wanadai ile ni usafirishaji haramu hakika haaingii akiliniHuyu zumaridi japo ni mpigaji kama wapigaji wengine lakini utofauti wake na wachungaji wengine ni kuwa huyu zumaridi anapenda kusaidia watu na kile anachikipata hupenda kugawana na maskini wanaomzunguka ndo maana watu huwa hawakauki kwake wakipata mahitaji ya chakula na malazi buree.